Asilimia kubwa ya Wanawake huanza enjoy Mapenzi kuanzia kwa Mwanaume wa Tatu na kuendelea

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,272
23,045
Utafiti huu nmeufanya kwa wanawake zaidi ya 100 wengi wanakiri hawakuwa waki enjoy mapenzi na their first boyfriends. Mpaka kuanzia wa tatu na kuendelea au wa pili.

Kisaikolojia image ya tendo la siku ya kwanza hubaki kichwani na kuonesha hali ya maumivu kila wanapoingilia kimwil hujenga picha ya mwingilio wa kwanza. Hivyo jambo hili huendelea kila wanapokutana na mwanaume yule yule.

Mahusiano hubadilika kwa mwanaume wa pili na sana sana wa tatu. Hapo wanawake huanza ku feel utamu wa tendo husika. Na huanza kufikia mshindo.

Kabla ya hapo wanawake wengi huwa hawamalizi wanapofanya mapenzi na boyfriends wao wa kwanza. Na wengi mahusiano yao huvunjika mara baada ya kuanza kufanya mapenzi.

Wanawake naamini pia nanyi mtatoa ushirikiano wenu katika huu utafiti.
 
Mngekuwa mnafanya tafiti za maana na tija kwa Taifa hakika Tanzania tungevumbua tiba ya covid-19 lakini wa Tz wamebase kwenye Mambo yasio na maana




Kwa tafiti za kimbumbavuu namna hii ni kikwazo katika kuelekea uchumi wa Kati
 
Wewe mpumbavuh zaidi ambaye upo huku badala ya kuvumbua tiba ya covid-19 maana ungekuwa na akili ungekuwa unashinda jukwaa linalohusiana na Tiba/Afya na Sayans.

Ni mpumbavuh na kilaza ambaye anakuja jukwaa la MMU akitegemea kusikia tafiti za Covid - 19

Mngekuwa mnafanya tafiti za maana na tija kwa Taifa hakika Tanzania tungevumbua tiba ya covid-19 lakini wa Tz wamebase kwenye Mambo yasio na maana




Kwa tafiti za kimbumbavuu namna hii ni kikwazo katika kuelekea uchumi wa Kati
 
Mngekuwa mnafanya tafiti za maana na tija kwa Taifa hakika Tanzania tungevumbua tiba ya covid-19 lakini wa Tz wamebase kwenye Mambo yasio na maana




Kwa tafiti za kimbumbavuu namna hii ni kikwazo katika kuelekea uchumi wa Kati
Tanzania iko uchumi wa kati!!?
 
Mngekuwa mnafanya tafiti za maana na tija kwa Taifa hakika Tanzania tungevumbua tiba ya covid-19 lakini wa Tz wamebase kwenye Mambo yasio na maana




Kwa tafiti za kimbumbavuu namna hii ni kikwazo katika kuelekea uchumi wa Kati

We umefanya upi au umemiss ku ride?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom