Wanaume wengi hufa mapema kwenye ndoa kwa sababu moja kubwa ya wao kuwa na umri mkubwa kuliko wake zao

safuher

JF-Expert Member
Feb 11, 2019
11,164
15,848
Wengi tumekuwa tukidiscuss kwa nini wanaume wengi huwa tunakufa mapema katika ndoa kuliko mababu zetu.

Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea.

Sasa tukija kwenye mas'ala ya ndoa wanaume wengi sana huoa wanawake waliowazidi umri, hii hupelekea mwanaume kuanza kuzeeka mapema na kufa mapema kuliko mwanamke.

Rejea katika history ya mtume Muhammad alioa mwanamke mkubwa kuliko yeye end of the day mwanamke yule (bi khadija) alifariki yeye mwanzo.

Baadae mtume alioa wanawake wengi ambao kawazidi umri lakini yeye ndio akaanza kutangulia kufa.

Kwahiyo hakuna maajabu sana kwamba ati ni formula kuwa mwanaume ndio huanza kufa, sababu kubwa ni hii hapa.

Haina maana kuwa wanawake hawafi mapema kuliko waume zao ambao waume ni wakubwa,laa hasha,hapa tunazungumzia ule ujumla wa mambo.

NB; Uwezo wa Mungu uko palepale.
 
Hapana hiyo si hoja bhana ,Hapo unamaanisha kuwa eti wanaume wote wanaokufa mapema wanakufa kwa vifo vya asili yaani kufa kwa ajili ya uzee!

Kutokana na uzoefu wangu wanaume wanafariki mapema zaidi kuliko wake zao wala si kwa sababu ya uzee,maana huwezi kusema mtu wa miaka 30+ mpaka 50 nae anafariki kwa ajili ya uzee

Uzee naoujua mimi wa kumchosha mtu mpaka afariki angalau uanzie 68+
 
Wengi tumekuwa tukidiscuss kwa nini wanaume wengi huwa tunakufa mapema katika ndoa kuliko mababu zetu.

Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea.

Sasa tukija kwenye mas'ala ya ndoa wanaume wengi sana huoa wanawake waliowazidi umri, hii hupelekea mwanaume kuanza kuzeeka mapema na kufa mapema kuliko mwanamke.

Rejea katika history ya mtume Muhammad alioa mwanamke mkubwa kuliko yeye end of the day mwanamke yule (bi khadija) alifariki yeye mwanzo.

Baadae mtume alioa wanawake wengi ambao kawazidi umri lakini yeye ndio akaanza kutangulia kufa.

Kwahiyo hakuna maajabu sana kwamba ati ni formula kuwa mwanaume ndio huanza kufa, sababu kubwa ni hii hapa.

Haina maana kuwa wanawake hawafi mapema kuliko waume zao ambao waume ni wakubwa,laa hasha,hapa tunazungumzia ule ujumla wa mambo.

NB; Uwezo wa Mungu uko palepale.
hujielewi
 
Wengi tumekuwa tukidiscuss kwa nini wanaume wengi huwa tunakufa mapema katika ndoa kuliko mababu zetu.

Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea.

Sasa tukija kwenye mas'ala ya ndoa wanaume wengi sana huoa wanawake waliowazidi umri, hii hupelekea mwanaume kuanza kuzeeka mapema na kufa mapema kuliko mwanamke.

Rejea katika history ya mtume Muhammad alioa mwanamke mkubwa kuliko yeye end of the day mwanamke yule (bi khadija) alifariki yeye mwanzo.

Baadae mtume alioa wanawake wengi ambao kawazidi umri lakini yeye ndio akaanza kutangulia kufa.

Kwahiyo hakuna maajabu sana kwamba ati ni formula kuwa mwanaume ndio huanza kufa, sababu kubwa ni hii hapa.

Haina maana kuwa wanawake hawafi mapema kuliko waume zao ambao waume ni wakubwa,laa hasha,hapa tunazungumzia ule ujumla wa mambo.

NB; Uwezo wa Mungu uko palepale.
Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea,Hii unazungumzia wapi mkuu au nchi gani...?
 
Hapana hiyo si hoja bhana ,Hapo unamaanisha kuwa eti wanaume wote wanaokufa mapema wanakufa kwa vifo vya asili yaani kufa kwa ajili ya uzee!
Mkuu mbona nimeshaelezea hapo juu hivi 👇👇👇
Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea,Hii unazungumzia wapi mkuu au nchi gani...?
Nchi zote iko hivyo.

Chukua vifo vya wazee wanandoa 50 utakuta asilimia kubwa ya vifo vya wazee hao wewazidi umri wake zao.
 
Sio kweli. Wanaume wengi hufa mapema kutokana na stress za kijinga wanazozisababisha wao wenyewe, pia kukaa na matatizo bila kumshirikisha mtu wanakufa ndani kwa ndani, madai yao wanakufa kiume. Wafe tu..
Hahahahaha daaaaah haya mkuu
 
Wengi tumekuwa tukidiscuss kwa nini wanaume wengi huwa tunakufa mapema katika ndoa kuliko mababu zetu.

Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea.

Sasa tukija kwenye mas'ala ya ndoa wanaume wengi sana huoa wanawake waliowazidi umri, hii hupelekea mwanaume kuanza kuzeeka mapema na kufa mapema kuliko mwanamke.

Rejea katika history ya mtume Muhammad alioa mwanamke mkubwa kuliko yeye end of the day mwanamke yule (bi khadija) alifariki yeye mwanzo.

Baadae mtume alioa wanawake wengi ambao kawazidi umri lakini yeye ndio akaanza kutangulia kufa.

Kwahiyo hakuna maajabu sana kwamba ati ni formula kuwa mwanaume ndio huanza kufa, sababu kubwa ni hii hapa.

Haina maana kuwa wanawake hawafi mapema kuliko waume zao ambao waume ni wakubwa,laa hasha,hapa tunazungumzia ule ujumla wa mambo.

NB; Uwezo wa Mungu uko palepale.
Hapo umeangalia upande wa umri pekee, wanaume wanapitia nyakati ngumu sana ktk maisha, na misononeko ni mingi sana, mwanaume yuko kwenye vita tangu anazaliwa, akiweza kushinda baadhi ya vita ktk maisha, maisha yake hurefuka. na wazazi wana mchango mkubwa sana ktk kuwaandaa na kuwawezesha kushinda vita na kurefusha maisha yao.
 
Mkuu upo sahihi! Lakini hili la umri ni moja ya sababu.
Zipo pia sababu nyingine mfano katika familia nyingi mwanaume ndiye muhangaikaji mkuu tena unawezakuta kaoa mtumishi lakini hata pesa ya chumvi ni au biki ya kuandikia mtoto mpaka baba ndo atoe!
Hivyo mwanaume anakuwa ni mtu wa kuhangaika na kuchosha mwili na ubongo kila siku!
Ipo pia factor ya elimu, katika ndoa mara nyingi mume huwa amesoma kuliko mke, Utafiti wa kisayansi uliofanywa na madaktari bingwa nchini Marekani umeonyesha kuwa mtu aliyesoma sana na kukwaruza ubongo wake kwenye vitabu, ana asilimia kubwa ya kufa mapema kuliko yule ambaye hakusoma au hajasoma sana!
Sababu nyingine za vifo vya mapema kwa wanaume ni tabia na style za maisha yetu, wanaume huwa tunawathibit wake zetu lakini sisi tunaajiachia kupita kiasi, unajikuta unachepuka unavyotaka, unalewa pombe unavyotaka n.k.
Mambo haya yote yana effect kubwa katika lifespan ya mwanaume!
 
Wengi tumekuwa tukidiscuss kwa nini wanaume wengi huwa tunakufa mapema katika ndoa kuliko mababu zetu.

Sababu moja kubwa ambayo tunaisahau ni kuwa kiasili mtu mwenye umri mkubwa sana ndio huwahi kufa kwa asilimia kubwa na hii ndio ilivyo kitamaduni tulivyozoea.

Sasa tukija kwenye mas'ala ya ndoa wanaume wengi sana huoa wanawake waliowazidi umri, hii hupelekea mwanaume kuanza kuzeeka mapema na kufa mapema kuliko mwanamke.

Rejea katika history ya mtume Muhammad alioa mwanamke mkubwa kuliko yeye end of the day mwanamke yule (bi khadija) alifariki yeye mwanzo.

Baadae mtume alioa wanawake wengi ambao kawazidi umri lakini yeye ndio akaanza kutangulia kufa.

Kwahiyo hakuna maajabu sana kwamba ati ni formula kuwa mwanaume ndio huanza kufa, sababu kubwa ni hii hapa.

Haina maana kuwa wanawake hawafi mapema kuliko waume zao ambao waume ni wakubwa,laa hasha,hapa tunazungumzia ule ujumla wa mambo.

NB; Uwezo wa Mungu uko palepale.
wewe ni me au ke?tuanzie hapo kwanza...
 
Ni kweli kuwa wanaume wengi wameoa wanawake waliowazidi umri??
Ndio naam Wanaume wengi tumeoa wanawake tuliowazidi umri.

Mfano babu yangu mimi ana miaka zaidi ya themanini,ila bibi yangu ndo anaitafuta 75.

Unaweza ukaona hapo gape lake lilivyo.

Mfano ungine bwana obama yeye amezaliwa mwaka 61 wakati huo mkewe ni mwaka 64,tofauti ni miaka mitatu japokuwa sio mikubwa ila ni kuonesha tu kuwa wanaume wengi tumeoa wake tuliowazidi umri,hio haina maana kuwa hatupo tuloowa waluotuzidi umri,kama mimi waifu kanizidi miaka mitatu,
 
Back
Top Bottom