Heshima kwenu wanajamvi.
Wakati huu ambao bado machungu ya kuondokewa na aliyekuwa Rais wa awamu ya tau Mzee Mkapa hayajaisha, naona ndani ya CCM wana wakati mgumu sana kwani Mzee mkapa ndiye aliyekuwa kama nguzo kwa huyu mgombea anayetetea nafasi kwa mara ya pili.
DALILI ZOTE ZINAONESHA KUWA...
WEX Africa founder Ogutu Okudo poses with a trophy at the Women in Energy Awards gala in Nairobi in 2018
FILE
JERICONSULTING.COM
A 28-year-old Kenyan woman, Ogutu Okudo, is among big names from across the continent featured in Forbes Africa's 30 Under 30 List for 2020.
Okudo is the founder and...
From left: Teresa Njoroge (a criminal justice reform advocate), Wawira Njiru (CEO Food4Education) and Nanjira Sambuli (Political analyst & researcher)
Five Kenyans were on June 1, 2020, selected to join the Ford Global Fellowship run by the Ford Foundation - an American private foundation with...
Kampuni hii ya Nyeri ambayo hutengeneza "speed governors" sasa inaanza utengenezaji wa simu za rununu.. Kenya yasonga mbele
=========
Wambugu Nyamu is a tech builder and the proprietor of Ekas Technologies Limited based in King’ong’o, Nyeri County.
The 53-year-old holds a Bachelor of...
Jana nlienda mtembelea jamaa yangu alikuwa na issue ya kumtandika kisawasawa mke wake. Nlishangaa sababu jamaa alikuwa kiukweli ni mpole sana.
Mara nyingi ukienda home kwake yeye ndo utamwona anahangaika kukuhudumia vinywaji chakula n.k mkewe anacheck tu movie au anachezea simu.
Nisiwachoshe...
Habari IGP Sirro.
Matumaini yangu nikuwa huwa naamini katika utendaji wako uko makini!
Na mbaya zaidi hiki chombo cha Polisi unakielewa vizuri sana kwa kuzingatia wewe umepitia ngazi mbali mbali katika jeshi hili!,Umekuwa ukifanya kazi kwa weledi sana. Mimi nitoe Rai kwako hasa katika kipindi...
Kusema na kueneza uwongo hapa hasa ukiwa chini ya kiapo ni kosa kubwa sana (felony) kwenye nchi yo yote hapa duniani. Na baya zaidi hasa uwongo huo unaweza kusababisha uvunjifu wa amani. Hata vitabu vitakatifu vya biblia Qurani vinaliorodhesha kosa hili kuwa kati ya dhambi kubwa ambalo adhabu...
Nimeipitia kwa mhutasali rasimu ya jaji warioba, Ni nzuri na imebeba mawazo halisi ya wananchi, nikagundua, ila za vyama makini vya upinzani vimekopy KUTOKA rasimu ya Jaji Warioba.
Nashauri wapinzani kuisoma Tena hadharani ili wananchi wakumbushwe tu kuwa, rasmu ya katiba mpya ni nzuri kiasi...
Papaa molinga yanga wamemsema sana.. ila timu kubwa ya zesco imeamua kumsajili..
Ikatokea molinga akafanya vizuri zesco.. scout wa yanga pamoja na viongozibmkwassa na msolla watawajibika yanga.
Mimi kama mwanayanga sitawaelewa milele..
Maana Kalinyo yule nahisi tumepigwa.
Karibu kila chombo cha Habari kinaonekana kupigia chapuo chama cha Mapinduzi. Gharama Kubwa inaonekana kutumika kwa CCM kutafuta wananchi watakaoipigia Kura CCM.
Kinyume chake naona wananchi wanatumia gharama kubwa kumtafuta Lissu popote alipo hasa mitandaoni.
Ukikuta Kikundi cha watu kikao...
Amin usiamini uingereza ndio taifa tata zaidi kuliko lolote lile duniani.
Hakuna Cha USA Wala Israel baba Yao mkuu Alie domant ni uk.
Uingereza ameamua to mkimya na mpole kwenye anga za kimataifa ila kila Jambo kubwa duniani anahusika nalo Yani Yuko behind it. Liwe baya au zuri.
Mfano...
S.hikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania;
Kuna tofauti kubwa sana kati ya kusoma na kuwa na akili nyingi. Kuna watu waliishia darasa la (7) tu kwa sababu ya umasikini wa nyumbani kwao wakashindwa kuendelea na masomo.
Kuna watu hawajasoma sana (unakuta mtu...
Wanangwa,
Jana nilikuwa kanisani, mimi ni m- KKKT, na kama mnavyojua KKKT ni moja kati ya Taasisi kubwa sana hapa Tanzania ya kidini. Sasa wakati Mzee wa kanisa anasoma matangazo kikaja kipengele cha mapato, akasoma yote kisha akasema "Baki usharikani ni Tshs kadhaa", pia akataja asilimia...
Magufuli hakuna mtu hata mmoja anaweza kukaa naye na kumueleza ukweli bila kuna na mahitaji binafsi.
Mzee Mwinyi: Anachojali ni mtoto wake kuwa rais zanzibar
Kikwete: Anajali mtoto na mke wake familia inatamaa haiwezi kupumzika😂. Mama Salma hawezi hata kutoa hoja masikini
Mkapa pekee ndiye...
Wadau wanao hitaji kujua jinsi ya kupika maharage
----
Jinsi ya kupika maharage
Kuna njia mbali mbali za kupika maharage lakini kuna moja haitambuliki sana na watu wengi ingawa inahitajika mpishi awe na subira pale anapotumia mbinu hiyo.
Unachohitaji kuwa nacho ni 'Chupa ya chai au...
Nawaambia huu ukweli ambao pengine mwanaume wako anashindwa kukwambia labda kutokana na kuhofia utajisikia vibaya.
Ila aminini hili kuanzia leo, mwanamke akivaa wigi anakua takataka kabisa, sijui kwanini, ila huo ndio ukweli.
USIKU YAONEKANA KAMA JIJI LA NEW YORK AU LONDON. WENYEWE WAMWOMBA RAIS KIKWETE, MZEE WA VIJISENTI AKAWASAFISHE
WAKAZI wa Kijiji cha Gamboshi, kilichopo wilayani Bariadi, Mkoa wa Shinyanga, wamemuomba Rais Jakaya Kikwete awasaidie kusafisha kijiji chao kutokana na jina baya lililoenezwa duniani...
Watu wengi sina hakika kama wanaliona hili ila Muziki wa Bongo fleva kwa kifupi umeingiliwa, umechakachuliwa na too bad ni kama unakufa.
Nadhani wanaopenda muziki kama mimi wanapata tabu tu na hawana la kufanya.
Na katika hili Clouds media ( Hususani marehemu Ruge ) hawezi kuepuka lawama...
Nilisikiliza maamuzi ya ZEC juu ya pingamizi la mgombea wa ACT, Maalim Seif. ZEC iliona makosa ya ujazaji fomu lakini haikuona kama makosa hayo ni sababu ya kuharibu Uchaguzi. Kwa maana kwamba, kosa la ujazaji halikuwa na lengo la kunufaisha mgombea au kuufanya Uchaguzi usiwe wa haki n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.