Siasa chafu za ubaguzi mlizochagua kuitana wale si wenzetu wale wasaliti, wale si wazalendo ni mbegu mbaya mnayopanda, mnajenga jamii yenye mgawanyiko, mnaligawa taifa kwa matendo yenu.
Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.
Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.
Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.
Lissu alipopigwa risasi serikali ilizuia watu kumfanyia maombi waliojaribu walikamatwa, wabunge wa CCM walizuiwa kwenda kumjulia hali waliopanga walionywa, vijana wa CCM walitoa kejeli pasipo kuzuiwa walisema kajipiga mwenyewe, Ndugai alizuia mshahara wake baadae akamvua ubunge, serikali haikugharamia matibabu yake na vitimbi vingi.
Msidhani nyie kwa vile ni chama tawala mtabaki salama siku zote, niwaambie tu kuna siku na sio mbali wana CCM itakuwa zamu yenu kulia, mtaomba tuwe wazalendo na tuonyeshe utu kwa viongozi wenu.
Dunia ni duara ipo siku itakuwa zamu ya CCM kujeruhiwa tutawakumbusha matendo waliyowafanyia wengine na kuwaomba nao wavumilie.