Wadau, kupitia gazeti la mwananchi la tarehe 20/12/20 Brg. Gen Mbungo, kamanda wa Takukuru Tanzania ameeleza kuwa, kuna taasisi nyingi zinaumiza wananchi kwa kutoza riba kubwa, ikiwemo kushikilia mali za watu kutokana na mikopo umiza.
Km unauelewa wa taasisi hizo au vikundi hivyo, basi vitaje...
Habari Wana jukwaa?
Katika pita pita be forward nimekutana na hivi vi Suzuki bei yake imenishtuanilikuwa naulizia kuna kipi cha ziada mpka imepelekea kuuzwa bei kubwa? Naona Hadi crown,Subaru ,Benz zimepitwa gharama..
Nkirwa world wide
JSulmtSpdorunsnote r11r,e 2gnd016iiih ·
UTU NI ZAIDI YA FEDHA NA HESHIMA YA DUNIA...
Mwaka 1993 mwezi March Mpiga picha maarufu wa Africa kusini (PhotoJournalist) Kevin Carter alitembelea Nchi ya Sudan kwa ajili ya kupiga picha za habari kuhusiana na baa la njaa...
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa siku saba kuanzia leo (Alhamisi, Desemba 17, 2020) kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, maofisa wanaochambua maombi ya ununuzi wa magari Ofisi ya Waziri Mkuu na wakurugenzi wa Jiji la Mwanza, Halmashauri ya wilaya ya Chato, Msalala na Kahama wajieleze kwa...
Hivi ni kweli mchezaji wa KMC alishika mpira kwenye mechi ya Simba vs KMC?
TFF mnangoja nini kitokee kabla ya kuchukua hatua? Nini kinashindikana kumwambia Azam tv afanye marudio kwenye matukio yenye utata viwanjani ili kumsaidia refa kufanya maamuzi?
Ni nani anafaidika na maamuzi haya ya...
Wachumba, Marafiki nawapa salaam kwenu.
Kwa wakristo nashauri tusome Luk 14:28 ili twende sawa. Kwa dini nyingine na wasiokuwa na dini twendeni na msamiati huu.
"Ukitaka cha uvunguni sharti uiname"
Nimehudhiria baadhi ya harusi nyingi sana hasa mwaka huu lakini mambo siyo ya kuridhisha kabisa...
Pale mjengoni "kundi la bundi" linaweza kutendea kazi hoja za NGAMIA na KESI ambazo zilitolewa na kwa nyakati tofauti. Hoja ya pili ya KESI inaonekana kama ilipendeza mfugaji wa Kibaigwa anayetembeza mkong'oto wa fimbo kwa kila anayesimama mbele ya maslahi yake.
Huyu mfugaji alimwambia KESI...
Baada ya kuisoma ilani ya chama tawala CCM na kusikiliza hotuba ya rais alipokua anafungua bunge watanzania wengi tuliiona nia ya dhati ya serikali yetu kuboresha uchumi kwa kiasi kikubwa haswa kwa kuhakikisha wawekezaji wanapewa support na serikali kwa kujengewa mazingira mazuri na rafiki ya...
They have no university education but their knowledge and application of artificial intelligence could surpass some graduates. Our reporter Robi Omondi caught up with two young innovators in their abode in Kikuyu, Kiambu County who have made prosthetics aimed at helping persons living with...
Kula katika sahani moja kulijenga upendo na uaminifu. Mtu unaekula nae sahani moja kila siku ni rahisi kumkukumbuka ukaribu wenu mmoja ajipata matatizo.
Leo hata vijijini mtaoakuliwa kila mtu kwenye sahani yake.
Wakati baadhi ya watu wakisifu na kupongeza hatua ya Mkurugenzi wa Halmshauri ya Geita kusimamishwa kazi kwa kununua gari lenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 400, binafsi najiuliza kati ya hilo gari na zile chaguzi za kuunga mikono juhudi, kipi kimetia Taifa hasara kubwa zaidi?
Jimbo...
Wadau niambieni ukweli
Hivi kosa kubwa ni lipi hapa?
Mfano, unataka umjue vizuri bebe wako pindi àkikasirika anareact Veep au ndo mzee wa kupiga mke / mume ndani ya nyumba n.k
Ukimwambia "tuachane".
au
Ufume msg za mapenzi kwenye simu.
Hapo lipi linauma na halisameheki kirahisi?.
Iko...
Wale bado mna mashaka kwanini Wakenya wanasakwa na makampuni ya kimataifa.....
A congratulatory message to Dr Kariuki in New York’s Times Square Billboard after he was named Velosbio’s new Chief Finance Officer.
Dr Enoch Kariuki was honoured in New York Times Square billboard after he was...
Chebet Lesanu, the founder and CEO of Bright Green Renewable Energy
(COURTESY)
A Kenyan woman has emerged the winner of the second edition of Jack Ma Foundation in the Africa Business Heroes 2020 where she will be pocketing a grant of Ksh33 million.
Chebet Lesanu, who is the founder and CEO of...
Natumain nyote hamjambo!
Nilikuwa ofsini asubuhi saa mbili ile tulikuwa tunapiga story na wafanyakazi wenzangu kama wawili wa kike na sisi me tupo wawili.
Tulikuwa tunapiga story za hapa na pale kuhusu mapenzi, mahusiano na ndoa, tuliongelea pia masuala ya size za mashine za wanaume..
Kwa...
Nimefanya utafiti nimegundua kundi kubwa la graduates wasio na ajira au wanaofanya kazi zinazoweza kufanywa na mtu mwenye Elimu ya chini wanajishusha elim zao
kundi hili hudanganya wana elim ya form 4, form 6 na wakienda sana basi ni Diploma.
Sizungumzii ile kujishusha ili upate kazi...
Hili ni tatizo kubwa sana Tanzania, na huwa naliona katika mihimili mitatu ya usimamizi wa nchi, kuanzia Raisi, Spika, Mwanasheria Mkuu na hata mahakimu katika mahakama zetu!
Viongoi wetu wamefika mahali wanavunja Katiba, Sheria au Taratibu zinazokubalika kwa ulevi tu wa hisia zao binafsi.
Na...
Hili bao video yake mpaka sasa imeshindikana kupatikana. Wengine wanasema waki upload baada ya sekunde tu ile Video inapotea. Ni kama inakuwa deleted.
Hili wameniambia jamaa wawili ambao walikuwa na team Nigeria. Wanasema hata kwenye simu zako waki-upload kwa wengine inashindikana.
Huwezi...
Alipojifungua alijitahidi kufunga mkanda wa kubana tumbo mpaka tumbo limekaa sawa. Sasa tatizo yale mamikunjo kunjo hivi wa dada aka wamama mnaitoaje ile?
Kuna kipindi alijaribu kupaka mafuta flani, holaa Mpaka sasa ipo tu mikunjo kunjo.
Ashajifungua mara mbili.
Niaje niaje,
Nilikuwa napitia moja ya habari kutoka mtandaoni kwenye website ya CNN
Nimekutana na habari ya kushtua kidogo kiongozi na Mkuu wa shirika la Nuclear wa Irani jina lake gumu kidogo.
Ameuawa baada ya kufanyiwa ambushi na Jeshi la Israel ndani ya nchi yake. Yaani alikuwa ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.