Web developers let's change Tanzania's government web applications look and feel!

mathsjery

JF-Expert Member
Sep 26, 2015
2,208
1,755
Wakuu za kushinda, natumaini ni wazima wa afya, moja kwa moja nishukuru wadau wote pamoja na kuwa hatufahamiani ila laweza kuwa wazo zuri na jema, mtapendekeza wenyewe.


Nilikaa chini na kutafakari kwa kifupi wala si kwa kina hivyo nimeleta hoja hii wadau mchambue tuone.


Hizi interface za tovuti na mifumo ya serikali imekuwa ya kizamani mno, sijui wahusika wanaliangaliaje jambo hili naumia sana napoziona.


Hivyo basi napenda kuwashirikisha devs wote kwa upande wa web apps wazo langu kama ifuatavyo;


Nataka tufanye jambo moja hapa kwenye huu uzi kama kujaribu tu! Ila sijui kama kutakuwa na matumaini chanya.


Je, unaweza redesign UI angalau page kazaa sio zote na kuweka snap hapa jf ili kama itapendeza watu hawa waone na wajitafakari na naamini kuna hatua zinaweza kuchukuliwa.



Now: kama wewe una nafasi/mimi ninayo unaweza fanya hivyo?


Maana system nyingi zinaonekana sio nzuri kimwonekano japo labda kikazi ziko fresh saaa basi hii ni kama homework ya mtu yoyote anayeweza kufanya hivyo.


Bahati mbaya mimi ni mgonjwa kwa sasa ila naamini wiki kadhaa zijazo nitakuwa fit na kama mtaunga mkono jambo hili mimi nitaanza na ajira Portal na nitatupia hapa snap.


Na hili mpaka nione postive feedback kwenye hii thread, wakuu naweza kuwa negative ila naruhusu kukosolewa.




Kifupi:


Tujitolee kuboresha UI za tovuti za serikali na mifumo.

Anyway mimi sijui mambo mengi ila naomba unipinge kwa hoja.


NB: Nilishawahi enda ofisi moja wapo ya kiserikali mwaka 2018 ila hakukuwa na majibu murua/yanayoeleweka kuhisi hili wakasema wana watu wao. Sasa sijui wanajielewa.



Kumbuka pia developer wote wote wa bongo mnaitajika kwenye shindano la beem Africa
Nafikiri kaka yetu Stefano Mtangoo alitupa taarifa hivyo ni vyema kushiriki pia kwa nafasi yako

Hii haiusiani na beem ni wazo langu tu
 
Kama ni charity kwanini usiweke wazo la kufundisha watoto yatima programming?
Ukiambiwa bajeti za hizo website unazoita mbovu hakika utayaradhau sana mawazo yako.
Ni wazo tu bosi wala usijari nasubiri mawazo😀

Bajeti ikiwa kubwa basi serikali inahujumiwa
 
Nililiona ilo ila we umeona mbali zaidi mimi kinachoniuma ni kwamba Ukitembelea web za sirikali yetu pendwa mfano NACTE, NIDA etc unakutana na ads za kutosha na direct link za kumwagaa sasa najiuliza ivi nani anaewashaur kuweka ads kwnye site kama izo?? Nabaki sina jibu!
 
Nililiona ilo ila we umeona mbali zaidi mimi kinachoniuma ni kwamba Ukitembelea web za sirikali yetu pendwa mfano NACTE, NIDA etc unakutana na ads za kutosha na direct link za kumwagaa sasa najiuliza ivi nani anaewashaur kuweka ads kwnye site kama izo?? Nabaki sina jibu!
Mkuu bora umenipa moyo ngoja tuone!
 
Tukiwapa deal za kututengenezea website za vikampuni vyetu uchwara mnatupa bei utadhani mnafanya kazi na ubalozi wa marekani wa kampuni kubwa duniani .


Watu wa IT mnajifelisha padogo sana. Mnajisahaulisha kuwa matumizi ya website kiabishara n jambo geni tanzania na linatakiwa kujengewa mazoea kwa ninyi kuhakikisha mnawatengenezea wafanyabiashara wa tz website kwa urahisi na bei rafiki na kuzidevelop.

Ila sasa huwa mnakuwa na mapozi balaa kwa kuleta bei za ajabu sana. Kuna vijana walikataa kunitengenezea website kwa bei ya laki 3. Na wapo vizuri balaa kwenye ubunifu wa website. Ila kazi zao wanatoza kuanzia laki 8.

Juzi kati nakutana na m'moja wao ananiuliza kama nilitengeneza website, nikamwambia hapana. Akanambia nimpe down payment ya laki 6 kisha nyingine nitalipa kidogo kidogo.

Nikamwambia kazi zinaenda natumia social media na network kwa sasa, website sina haraka nayo. Nikamuacha na midomo yake iliyokaukiwa kwa ukame wa pesa pale.


Sasa leo mnataka mjipendekeze serikalini tena muwafanyie kazi free.....

Ama kweli nimeamini........
 
Wakuu za kushinda, natumaini ni wazima wa afya, moja kwa moja nishukuru wadau wote pamoja na kuwa hatufahamiani ila laweza kuwa wazo zuri na jema, mtapendekeza wenyewe.


Nilikaa chini na kutafakari kwa kifupi wala si kwa kina hivyo nimeleta hoja hii wadau mchambue tuone.


Hizi interface za tovuti na mifumo ya serikali imekuwa ya kizamani mno, sijui wahusika wanaliangaliaje jambo hili naumia sana napoziona.


Hivyo basi napenda kuwashirikisha devs wote kwa upande wa web apps wazo langu kama ifuatavyo;


Nataka tufanye jambo moja hapa kwenye huu uzi kama kujaribu tu! Ila sijui kama kutakuwa na matumaini chanya.


Je, unaweza redesign UI angalau page kazaa sio zote na kuweka snap hapa jf ili kama itapendeza watu hawa waone na wajitafakari na naamini kuna hatua zinaweza kuchukuliwa.



Now: kama wewe una nafasi/mimi ninayo unaweza fanya hivyo?


Maana system nyingi zinaonekana sio nzuri kimwonekano japo labda kikazi ziko fresh saaa basi hii ni kama homework ya mtu yoyote anayeweza kufanya hivyo.


Bahati mbaya mimi ni mgonjwa kwa sasa ila naamini wiki kadhaa zijazo nitakuwa fit na kama mtaunga mkono jambo hili mimi nitaanza na ajira Portal na nitatupia hapa snap.


Na hili mpaka nione postive feedback kwenye hii thread, wakuu naweza kuwa negative ila naruhusu kukosolewa.




Kifupi:


Tujitolee kuboresha UI za tovuti za serikali na mifumo.

Anyway mimi sijui mambo mengi ila naomba unipinge kwa hoja.


NB: Nilishawahi enda ofisi moja wapo ya kiserikali mwaka 2018 ila hakukuwa na majibu murua/yanayoeleweka kuhisi hili wakasema wana watu wao. Sasa sijui wanajielewa.



Kumbuka pia developer wote wote wa bongo mnaitajika kwenye shindano la beem Africa
Nafikiri kaka yetu Stefano Mtangoo alitupa taarifa hivyo ni vyema kushiriki pia kwa nafasi yako

Hii haiusiani na beem ni wazo langu tu

Yani tunatengeneza kwa nini? figma, adobe xd au html na css kabisa. Kama ni html, css, js hili haliwezekani. 😂😂. Na nakubaliana na wewe muonekano wa hizi website ni wa kizamani sana, sema naona government website za nchi nyingi au institutes kama za elimu huwa zinakua hivi. sasa sijui huwa ndio zinatakiwa ziwe hivi au🤷‍♂️..
 
Pole sana na kila la kheri...
Kuna open source ya kizamani inaitwa inventory management system IPO GitHub na nimesahau link ya hiyo repository ila ninayo nimefanya comparison na ajira.moh.go.tz ni kitu kile kile kwa sehemu nyingi yaani kama ni BOOTSTRAP tangu version ya 3 eti hadi system za sasa bado zinatumia hiyo sio kosa ila ubunifu zero mwonekamo wa BOOTSTRAP ya 3 before 4 haina look and feel nzuri kwa COMPONENT zote, hata kama software engineering inajumhisha script customization basi ndo iwe kizembe namna hiyo yaani kama hawalipwi.

Leo hii bado system Zina upload files traditionally wakati kuna beautiful plugin Kama filepond, dropzone etc mh!


Eh, mwaka 2017 kwenda chini tovuti ya SUA ilikuwa ya ajabu, leo hii nenda kacheki ina mwonekano mzuri balaa na wakati ni zile zile info based websites.

Waangalie sio kuacha tu, kila mara lazima wa review system na tovuti zao waende na wakati.

Welcome to Sokoine University of Agriculture (SUA) hui ni mfano
 
Tukiwapa deal za kututengenezea website za vikampuni vyetu uchwara mnatupa bei utadhani mnafanya kazi na ubalozi wa marekani wa kampuni kubwa duniani .


Watu wa IT mnajifelisha padogo sana. Mnajisahaulisha kuwa matumizi ya website kiabishara n jambo geni tanzania na linatakiwa kujengewa mazoea kwa ninyi kuhakikisha mnawatengenezea wafanyabiashara wa tz website kwa urahisi na bei rafiki na kuzidevelop.

Ila sasa huwa mnakuwa na mapozi balaa kwa kuleta bei za ajabu sana. Kuna vijana walikataa kunitengenezea website kwa bei ya laki 3. Na wapo vizuri balaa kwenye ubunifu wa website. Ila kazi zao wanatoza kuanzia laki 8.

Juzi kati nakutana na m'moja wao ananiuliza kama nilitengeneza website, nikamwambia hapana. Akanambia nimpe down payment ya laki 6 kisha nyingine nitalipa kidogo kidogo.

Nikamwambia kazi zinaenda natumia social media na network kwa sasa, website sina haraka nayo. Nikamuacha na midomo yake iliyokaukiwa kwa ukame wa pesa pale.


Sasa leo mnataka mjipendekeze serikalini tena muwafanyie kazi free.....

Ama kweli nimeamini........
Halafu wengi wenu huwa hamueleweki, niwasumbufu
 
Yani tunatengeneza kwa nini? figma, adobe xd au html na css kabisa. Kama ni html, css, js hili haliwezekani. 😂😂. Na nakubaliana na wewe muonekano wa hizi website ni wa kizamani sana, sema naona government website za nchi nyingi au institutes kama za elimu huwa zinakua hivi. sasa sijui huwa ndio zinatakiwa ziwe hivi au🤷‍♂️..
Inawezekana kwa tool yoyote mwisho wa siku kinachotakiwa ni good look and feel
 
Yaani kweli. Ukiachana tu ya UI kuwa outdated nyingi zinakua hazifanyi kazi kabisa sometimes. Kma website ya NIDA kuna broken links kibao ambazo hazileti response yoyote. Website ya TRA nayo sometimes inazingua kinoma na support line zao hazina msaada wowote. Unaamua tu kunyanyuka uende ofisini kwao
 
Tukiwapa deal za kututengenezea website za vikampuni vyetu uchwara mnatupa bei utadhani mnafanya kazi na ubalozi wa marekani wa kampuni kubwa duniani .


Watu wa IT mnajifelisha padogo sana. Mnajisahaulisha kuwa matumizi ya website kiabishara n jambo geni tanzania na linatakiwa kujengewa mazoea kwa ninyi kuhakikisha mnawatengenezea wafanyabiashara wa tz website kwa urahisi na bei rafiki na kuzidevelop.

Ila sasa huwa mnakuwa na mapozi balaa kwa kuleta bei za ajabu sana. Kuna vijana walikataa kunitengenezea website kwa bei ya laki 3. Na wapo vizuri balaa kwenye ubunifu wa website. Ila kazi zao wanatoza kuanzia laki 8.

Juzi kati nakutana na m'moja wao ananiuliza kama nilitengeneza website, nikamwambia hapana. Akanambia nimpe down payment ya laki 6 kisha nyingine nitalipa kidogo kidogo.

Nikamwambia kazi zinaenda natumia social media na network kwa sasa, website sina haraka nayo. Nikamuacha na midomo yake iliyokaukiwa kwa ukame wa pesa pale.


Sasa leo mnataka mjipendekeze serikalini tena muwafanyie kazi free.....

Ama kweli nimeamini........
Inategemea na kazi boss. Mtu kma unataka custom website, built from scratch na integration za mambo mengi kma payment systems, subscription, email management, database, nk basi laki 3 ni hela ndogo sana.

Ila kma unataka website simple tu kwa kutumia templates toka wordpress, wix, nk basi hyo hela ni sawa. Siku zote vitu vizuri ni gharama. Na kma website simple na ni static website basi hata wewe mwenyewe unaweza set up kwa kuangalia tutorial chache tu YouTube.

Ukitaka website iwe coded hapo hela ndefu.
 
Inategemea na kazi boss. Mtu kma unataka custom website, built from scratch na integration za mambo mengi kma payment systems, subscription, email management, database, nk basi laki 3 ni hela ndogo sana.

Ila kma unataka website simple tu kwa kutumia templates toka wordpress, wix, nk basi hyo hela ni sawa. Siku zote vitu vizuri ni gharama. Na kma website simple na ni static website basi hata wewe mwenyewe unaweza set up kwa kuangalia tutorial chache tu YouTube.

Ukitaka website iwe coded hapo hela ndefu.
Nafikiri kakuelewa
 
Inategemea na kazi boss. Mtu kma unataka custom website, built from scratch na integration za mambo mengi kma payment systems, subscription, email management, database, nk basi laki 3 ni hela ndogo sana.

Ila kma unataka website simple tu kwa kutumia templates toka wordpress, wix, nk basi hyo hela ni sawa. Siku zote vitu vizuri ni gharama. Na kma website simple na ni static website basi hata wewe mwenyewe unaweza set up kwa kuangalia tutorial chache tu YouTube.

Ukitaka website iwe coded hapo hela ndefu.
Tena hyo laki nane kwa complex website bado ni pesa ndogo sana ila weng wanadharau sana fani na ujuz wa mtu unakuta mtu huyo huyo lets say ni structural engineer ukimwambia nijengee (Gharama ya ufund tu ) kwa punguzo kabisa atakwambia nenda kawachukue mafundi mtaan kisa yy ni Engineer sasa kwann IT professional asitetee Fani yake?.
Kama unaoana pesa ndogo kwa complex website nenda online kamtafute Professional wa majuu uone mziki wake
 
Back
Top Bottom