peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,818
- 21,422
CHADEMA yatangaza kumwaga mishahara kwa watendaji, ni aibu kubwa sana kwa CCM Kwani haiwalipi watendaji wake hata Senti Tano ikiwa ni sehemu ya mshahara.
Hii ni aibu kubwa , mwenyekiti wa CCM Taifa ili kukiboresha chama Anza na hilo. Chama kuendeshwa kwa njia hiyo ninkuzalisha Wala Rushwa na CCM inaipa Takukuru wakati magumu sana especially wakati wa uchaguzi. Sasa ni wakati wa kufanya mageuzi ndani ya chama kwa kuwajali viongozi wake na watendaji wake.
Mbowe hongera sana kwa kuliona hilo Jamba la kuwalipa viongozi wote mishahara minono.
Hii ni aibu kubwa , mwenyekiti wa CCM Taifa ili kukiboresha chama Anza na hilo. Chama kuendeshwa kwa njia hiyo ninkuzalisha Wala Rushwa na CCM inaipa Takukuru wakati magumu sana especially wakati wa uchaguzi. Sasa ni wakati wa kufanya mageuzi ndani ya chama kwa kuwajali viongozi wake na watendaji wake.
Mbowe hongera sana kwa kuliona hilo Jamba la kuwalipa viongozi wote mishahara minono.