kidogo

The Old Kerosene Store is located at Bathers Beach in Fremantle, Western Australia, adjacent to the ruins of the original Fremantle Long Jetty. It is a single-storey limestone building and forms part of the historic Arthur Head Reserve precinct.

View More On Wikipedia.org
  1. Abdul Ghafur

    Fursa ya kujifunza ujenzi katika kiwanda kidogo

    Sisi tunaitwa Madrassatul Abraar, tupo mtaa wa vitendo, kata ya Misugusugu, mkoa wa Pwani, namba zetu za simu 0625249605. Kituo kinaitwa "Miyomboni Shule" au Misugusugu Shule ya Msingi. Fursa za kazi zilizopo sasa ni "production Manager" kwenye kiwanda kidogo cha vifaa vya ujenzi vinavyoundwa...
  2. T

    Kwanini Malipo ya kazi ya anuani za makazi Ilala yawe ni kidogo sana?

    Habarini, Niende moja kwa moja kwenye mada. Kiukweli nimefurahishwa na huu mpango wa anuani ya makazi na postikodi ambao kwa namna moja au nyingine litawezesha vijana kupata ajira hizo za muda mfupi. Kilichonisukuma kuandika ni kuona vijana watakaofanikiwa kupata kazi hizo kulipwa ujira...
  3. Kipenzi Changu

    Kutopokelewa ASEC Mimosa, Yanga wamestaarabika kidogo?

    Kwa ufupi sana Toka enzi za Plateu na way back tumeshuhudia mashabiki na uongozi wa Yanga Utopolo ukishiriki kupokea wageni wapinzani wa Simba Sc. Ajabu safari hii hatuwaoni Airport vepee. Mnataka kutushawishi kwamba mmestaarabika kiasi?
  4. koba lee

    Tu-enjoy kidogo wakuu

    Madogo wameua kinyama asee.
  5. M

    Tujikumbushe kidogo ubabe wa Job Ndugai Bungenii

    Spika Ndugai alimshukia Zitto akaambiwa: Naweza kukunyima kabisa fursa ya kuongea bungeni, hakuna kuuliza swali, hakuna kuchangia chochote na huwezi kunifanya chochote wala kunipeleka popote. Usinichezee mimi nina faili langu Milembe. Karibuni tuanike hapa ubabe wa kitu Ndugai
  6. Tony254

    Wadau, tuweke vita kando kidogo tusherehekee habari njema kwamba Biashara kati ya Kenya na Tanzania inakaribia kufika 1 billion dollars

    Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule...
  7. Suley2019

    Ajibu: Bado kidogo tu walionibeza watanishangilia

    NYOTA wa zamani wa Simba na Yanga anayekipiga Azam FC, Ibrahim Ajibu amesema bado kidogo tu wale waliokuwa wakimbeza wataanza kumpigia makofi. Fundi huyo wa mpira alisema anaamini kupewa nafasi ya kucheza kila mara ndani ya timu hiyo mpya kwake, atafanya vizuri zaidi na kumsaidia kufikia malengo...
  8. GokuOne

    Tufurahi Kidogo Jumatatu

    Tufurahi kidogo Jumatatu... 1. Ingiza passwed 2. Kila mtu kwa uwezo wake yupo sahihi 🤣🤣 3. Wandugu Kardashian
  9. cleokippo

    Kwa mwenye uelewa kidogo na hizi compressor za kuoshea magari!

    habar za jioni wakuu, hisikeni na kichwa cha habar tajwa hapo juu...nimekuwa na uelewa mdogo kuhusu hz compressor za kuoshea magari wakati nina uhitaji nazo ..kwa maana ya kwamba nahitaji kununua, sasa maswali yangu kwa mwenye uelewa wa aya mambo. (1) Jeh! zipo zenye uwezo tofauti? (2) Zipo za...
Back
Top Bottom