2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Hata kama wamepata balozi mzuri wa kuwatangazia matangazo yao tatizo sio matangazo bali ni huduma.
Airtel money changamoto,kama una haraka huwezi kutoa pesa fasta ukaondoka.
Kupiga simu,wanatoa dk nyingi sana za kuwasiliana lakini unaweza kutumia dk mpaka 5 hamuelewani mnabaki kuulizana sikusikii vizuri... network inasumbua huku dk zikikata tu.
Sms unaweza kutuma asubuhi ikafika jioni.
Kwa mujibu wa TCRA takwimu za mwaka jana ni mtandao wa pili kwa watumiaji wengi nyuma ya Vodacom. Ni mtandao wa hovyo sana wasipobadilika naiona kabisa Halotel ikiipiku.
Airtel money changamoto,kama una haraka huwezi kutoa pesa fasta ukaondoka.
Kupiga simu,wanatoa dk nyingi sana za kuwasiliana lakini unaweza kutumia dk mpaka 5 hamuelewani mnabaki kuulizana sikusikii vizuri... network inasumbua huku dk zikikata tu.
Sms unaweza kutuma asubuhi ikafika jioni.
Kwa mujibu wa TCRA takwimu za mwaka jana ni mtandao wa pili kwa watumiaji wengi nyuma ya Vodacom. Ni mtandao wa hovyo sana wasipobadilika naiona kabisa Halotel ikiipiku.