Hakuna watu wanafiki na wabaguzi hapa nchini kama masikini

Kifaru86

JF-Expert Member
Apr 22, 2017
1,734
3,802
Yaani hawa watu sijui wakoje kipindi huna hela au huna issue ya kufanya hata siku moja huwezi kuona kuona simu yake akikutafuta mzungumze mpeane mawazo jinsi ya kutoka kimaisha hata ukimtafuta wewe unampa idea zako tufanyeje tutoboe maisha anakuona kama unajipendekeza kwake alafu hata ukiwa una mtafuta kwa lengo la kumsalimia anaona kama unamsumbua simu zako hazipokelewi na zikipokelewa anataka anataka uwe jambo la msingi la kumwambia kama huna cha msingi hapendi usumbufu salamu yako anaona haimsadii kitu

Kingine kibaya zaidi ni watu wabaguzi kinoma yaani ndani ya ukoo kama huna kitu na ulizaliwa kama mtoto wa nje hapo kwenye ukoo wanasema hawakutambui wengine wanatumia mpka vifungu vya dini kukuondoa kwenye mstari

Sasa MUNGU ikitokea amekujalia ukaanza kupata visent angalau vya kubadilisha mboga basi wale wale walikuwa wanakubagua na kukutenga ndio wanataka muwe kitu kimoja mshirikiane kama ndugu tena unapewa vifungu vya dini nyie ni ndugu hata kama ulizaliwa njee ya ndoa wao watakwambia ww ni ndugu yetu simply una mafanikio

Mwisho kabisa kipindi cha mafanikio yako kila masikini atataka awe karibu na wewe lakini mwisho ukija ukiyumba kdogo ndio watu namba moja kuanza kukucheka
 
Mithali 19:7
[7]Ndugu zote wa maskini humchukia;
Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye!
Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.
 
Mtoto wa nje acha kulalamika ovyo. Hata huko kwa matajiri watoto wa nje wanaonekana takataka wanaotaka kupora mali za watoto ndani ya ndoa. Tena hao wanaongoza kuuana. Hata siku moja tajiri hawezi mpigia maskini simu kumpa mbinu za kujikwamua

Akiwepo tajiri ndani ya familia atataka anyenyekewe, aabudiwe, atumikiwe. Binadamu wote wana madhaifu yao
 
Roho za kimaskini
°Hapendi mwingine apate
°Ni wachawi balaa
°Tajiri akiumizwa wao hufurahi kweli (rugemalila) huona ndio utendaji Bora.
°Ni wabinafsi kwelikweli
°Wachoyo walafi waroho
°Jambo jema huligeuza kuwa baya
°Hawana shukurani hata uwatendee wema gani
>ongezea mengine...
 
Mtoto wa nje acha kulalamika ovyo. Hata huko kwa matajiri watoto wa nje wanaonekana takataka wanaotaka kupora mali za watoto ndani ya ndoa. Tena hao wanaongoza kuuana. Hata siku moja tajiri hawezi mpigia maskini simu kumpa mbinu za kujikwamua

Akiwepo tajiri ndani ya familia atataka anyenyekewe,aabudiwe,atumikiwe. Binadamu wote wana madhaifu yao
Je, huyo mtoto wa nje akiwa na pesa kuliko hao watoto wa ndani, bado ataonekana taka taka? ....hayo mambo tunayaona huku kwenye jamii tunayoishi, ni tofauti na unavyodhani.
 
Roho za kimaskini
°Hapendi mwingine apate
°Ni wachawi balaa
°Tajiri akiumizwa wao hufurahi kweli (rugemalila) huona ndio utendaji Bora.
°Ni wabinafsi kwelikweli
°Wachoyo walafi waroho
°Jambo jema huligeuza kuwa baya
°Hawana shukurani hata uwatendee wema gani

''masikini hawezi kwenda peponi''........................................Mzee Yusuph Mkamba
 
Ataonekana bora kwa Baba yake ila kwa wenzie bado atakua taka taka daima pesa hainunui undugu.
Je, huyo mtoto wa nje akiwa na pesa kuliko hao watoto wa ndani, bado ataonekana taka taka? ....hayo mambo tunayaona huku kwenye jamii tunayoishi, ni tofauti na unavyodhani.
 
😂😂😂😂😂 ukiishi bila kujishtukia utapata amani kuliko kuishi kwa kujishtukia na kudhani unatengewa kisa utoto wa nje au umaskini
Si kweli..kuna familia nyingi tu wanaishi kwa ushirikiano watoto wote....
 
Yaani hawa watu sijui wakoje kipindi huna hela au huna issue ya kufanya hata siku moja huwezi kuona kuona simu yake akikutafuta mzungumze mpeane mawazo jinsi ya kutoka kimaisha hata ukimtafuta wewe unampa idea zako tufanyeje tutoboe maisha anakuona kama unajipendekeza kwake alafu hata ukiwa una mtafuta kwa lengo la kumsalimia anaona kama unamsumbua simu zako hazipokelewi na zikipokelewa anataka anataka uwe jambo la msingi la kumwambia kama huna cha msingi hapendi usumbufu salamu yako anaona haimsadii kitu

Kingine kibaya zaidi ni watu wabaguzi kinoma yaani ndani ya ukoo kama huna kitu na ulizaliwa kama mtoto wa nje hapo kwenye ukoo wanasema hawakutambui wengine wanatumia mpka vifungu vya dini kukuondoa kwenye mstari

Sasa MUNGU ikitokea amekujalia ukaanza kupata visent angalau vya kubadilisha mboga basi wale wale walikuwa wanakubagua na kukutenga ndio wanataka muwe kitu kimoja mshirikiane kama ndugu tena unapewa vifungu vya dini nyie ni ndugu hata kama ulizaliwa njee ya ndoa wao watakwambia ww ni ndugu yetu simply una mafanikio

Mwisho kabisa kipindi cha mafanikio yako kila masikini atataka awe karibu na wewe lakini mwisho ukija ukiyumba kdogo ndio watu namba moja kuanza kukucheka
Mkuu nini tena?
Unaleta ugomvi wa ndugu zako hadharani ,umeweka uwani dukuduku zako halafu unahusisha Jamii nzima?

Wacha hizo.

Upuuzi huu, ujinga huu ni ishara tosha kuwa mleta mada inawezekana nan umasikini wa kifikra/mawazo.

Kanywe uji.
 
Masikini huwa na roho mbaya na katiri, akifika sehemu Safi mpaka haichafue, ukimpakia kwenye gari anachana siti n,k
 
Sasa kipindi wewe ni masikini na wao ni nani atamsaidia mwenzie??Ukimpigia anaona unamchosha Mana utaanza kumweleza matatizo yako wakati yeye pia ana ya kwake.
Ila ukipata lazima wajipendekeze mana angalau una msaada.
Watu mara nyingi wanakupenda ukiwa na kitu ila ukiwa huna wala huwasikii.
 
Roho za kimaskini
°Hapendi mwingine apate
°Ni wachawi balaa
°Tajiri akiumizwa wao hufurahi kweli (rugemalila) huona ndio utendaji Bora.
°Ni wabinafsi kwelikweli
°Wachoyo walafi waroho
°Jambo jema huligeuza kuwa baya
°Hawana shukurani hata uwatendee wema gani
Kama ni kweli hao matajiri wanahujumu na hawaonewi, basi masikini wana haki ya kufurahia kuumizwa kwao.
 
Yaani hawa watu sijui wakoje kipindi huna hela au huna issue ya kufanya hata siku moja huwezi kuona kuona simu yake akikutafuta mzungumze mpeane mawazo jinsi ya kutoka kimaisha hata ukimtafuta wewe unampa idea zako tufanyeje tutoboe maisha anakuona kama unajipendekeza kwake alafu hata ukiwa una mtafuta kwa lengo la kumsalimia anaona kama unamsumbua simu zako hazipokelewi na zikipokelewa anataka anataka uwe jambo la msingi la kumwambia kama huna cha msingi hapendi usumbufu salamu yako anaona haimsadii kitu

Kingine kibaya zaidi ni watu wabaguzi kinoma yaani ndani ya ukoo kama huna kitu na ulizaliwa kama mtoto wa nje hapo kwenye ukoo wanasema hawakutambui wengine wanatumia mpka vifungu vya dini kukuondoa kwenye mstari

Sasa MUNGU ikitokea amekujalia ukaanza kupata visent angalau vya kubadilisha mboga basi wale wale walikuwa wanakubagua na kukutenga ndio wanataka muwe kitu kimoja mshirikiane kama ndugu tena unapewa vifungu vya dini nyie ni ndugu hata kama ulizaliwa njee ya ndoa wao watakwambia ww ni ndugu yetu simply una mafanikio

Mwisho kabisa kipindi cha mafanikio yako kila masikini atataka awe karibu na wewe lakini mwisho ukija ukiyumba kdogo ndio watu namba moja kuanza kukucheka
Kabisa mkuu, nakubaliana na hoja yako asilimia 100
 
Na asilimia kubwa ya members humu jamii forum ni masikini, na ndio wanaotusumbua humu na thread zao za udini, kukashifu imani za wengine, na mada za ubaguzi wa jamii flani.

Badilikeni bwana
 
Mithali 19:7
[7]Ndugu zote wa maskini humchukia;
Jinsi gani rafiki zake huzidi kujitenga naye!
Huwafuata kwa maneno, lakini wametoweka.
Maandiko yako sahihi ndo hali halisi tunaona huko kweny jamii zetu umaskini mbaya sana
 
Back
Top Bottom