Rais Samia tahadhari na tulia kidogo. Kazi zako Ikulu anazifanya nani?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,320
24,191
Hili ni suala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.

Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.

Tunajua Urais ni taasisi lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
 
Ikulu unakaa kama unapenda kuumiza kichwa kufikiria changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua, kama kichwa chako chepesi bora utafute vijisafari ukatembee, huku ukiwaacha "watoto wa mjini" wafikirie utatuzi wa changamoto hizo.

Matokeo yake ndio tuko hapa, mafuta yanazidi kupanda bei kila siku, wakiulizwa, jibu lao ni lile lile vita ya Urusi na Ukraine, wafanyabiashara wakizidi kuneemeka at the expense of poor citizens of this country, huku Rais na Waziri husika nao kila siku wanakuja na majibu tofauti.
 
Hili ni swala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move,daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa.
Lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi.
Lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
Ukirithi tabia za Vasco Da Gama wa Mkoani Pwani Tanzania na Wewe pia utaanza kuwa Vasco Da Gama wa Unguja Zanzibar.
 
Hili ni swala nimekuwa nikijiuliza kitambo sasa.
Mama is on the move,daily.
Sisi tunaomtakia heri tunaona kuna kasoro.
Mama Samia ni kama hakai ofisini, kila uchao yuko huku na kule.
Kweli ni mambo ya Kitaifa.
Lakini turudi nyuma kidogo,hata Mwalimu aliwahi kusema, kazi ya Urais na ofisi ya Ikulu ni mzigo.

Kutokana na madaraka makubwa ya Rais yanayohitaji maamuzi almost daily, basi Rais asipokuwepo ofisini ni lazima kuna mtu anafanya hiyo kazi kwa niaba.
Tunajua Urais ni taasisi.
Lakini thinking through, kuoanisha na kusimamia sera na maamuzi hapo panahitaji concentration.

Tulia kidogo mama.
Huyu hakujiandaa kuwa Rais
 
Ikulu unakaa kama unapenda kuumiza kichwa kufikiria changamoto mbalimbali na namna ya kuzitatua, kama kichwa chako chepesi bora utafute vijisafari ukatembee, huku ukiwaacha "watoto wa mjini" wafikirie utatuzi wa changamoto hizo.

Matokeo yake ndio tuko hapa, mafuta yanazidi kupanda bei kila siku, wakiulizwa, jibu lao ni lile lile vita ya Urusi na Ukraine, huku wafanyabiashara wakizidi kuneemeka at the expense of poor citizens of this country, huku Waziri husika nae kila siku anakuja na majibu tofauti.
Matokeo ya utaratibu wa sasa ni baada ya muda tutajikuta kuna viongozi ambao wamefanya mambo ya ajabu na baadaye kujiuliza ni kwa nini hatukuliona kosa toka mwanzo.
 
Kama Marekani alikaa Siku 14 huku Uingereza atakaa Siku 28 na akienda China anakosubiriwa kwa Hamu kutokana na Urafiki mkubwa na wa Kihistoria wa hizi nchi Mbili kuna uwezekano akakaa huko hata Miezi Mitatu mpaka Sita.
Mkuu nimeishi Zanzibar 2019 huyu ni Mzanzibar halisi kabisa yaani wale wavivu wa kufanya kazi kama kuna chakula ndani hafanyi kazi tena kuzalisha zaidi ya kula na kusikiliza taraabu. Over
 
Kikwete yule mzee ni smart sana kwa sasa keshamtia mama kiganjani, na alivyo mjanja daily anapeleke vimemo kwa mama vya watu ambao anataka awateue..

Kiutani utani kesharudisha watu wake baadhi anaowahitaji, ila bado mama naona kalala usingizi wa pono siku akishtuka atajikuta yupo peke yake.
 
Kikwete yule mzee ni smart sana kwa sasa keshamtia mama kiganjani, na alivyo mjanja daily anapeleke vimemo kwa mama vya watu ambao anataka awateue..

Kiutani utani kesharudisha watu wake baadhi anaowahitaji, ila bado mama naona kalala usingizi wa pono siku akishtuka atajikuta yupo peke yake.
Kwenye ardhi kuna mashamba yao makubwa Morogoro na Tanga mtoto amewekwa kule utafanya nini?
 
Back
Top Bottom