kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi, Laboratory Technician, Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation

    The Elizabeth Glaser Pediatric AIDS Foundation is a global leader in the fight against pediatric HIV and AIDS, working in 19 countries and supporting close to 6,000 sites around the world to prevent the transmission of HIV to children, and to facilitate access to services for those already...
  2. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi Sales Representative, AG Energies Company Limited

    We are a renewable energy company that provides sustainable and affordable clean energy solutions in Tanzania. AG Energies designs and distributes plug and play solar home systems ranging from 5 to 5,000 watts and both productive and home appliances such as solar water pumps, solar water heaters...
  3. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi Wizara ya Mifugo na Uvuvi na Wakala wa Vipimo

    Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi, na Wakala wa Vipimo anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 4 kama zilivyo ainishwa katika tangazo hili. MVUVI MSAIDIZI DARAJA LA II...
  4. moshi norbert

    Natafuta kazi inayohusisha upishi

    Kwa yoyote ambaye angependa kuinvest au kuamua kufanya bishara nje na kazi anayofanya, biashara ya chakula iko poa. Mimi nipo tayari tufanye kazi pamoja.
  5. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi Umoja wa Maifa (UN), Tracking team leader

    Posting Title: TRACKING TEAM LEADER, P4 Job Code Title: INVESTIGATOR Department/Office: International Residual Mechanism for Criminal Tribunals Duty Station: ARUSHA Posting Period: 11 November 2019 - 10 December 2019 Job Opening Number: 19-Investigation-RMT-126646-R-Arusha (R)...
  6. Jamii Opportunities

    Nafasi zaidi ya 200 za kazi, The Karanga Leather Industries Company Co. Ltd

    The Karanga Leather Industries Company Co. Ltd (KLIC Ltd) is established as a joint venture company limited between Public Service Social Security Fund (PSSSF) and Tanzania Prisons Service through its company known as Prisons Corporation Sole to undertake development and operate leather...
  7. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Tanzania Red Cross Society

    Founded in 1962, Tanzania Red Cross Society has extended humanitarian services in helping those in need both Tanzanians and refugees from neighbouring countries. Over 50 years of its existence, the National Society is on “A Paradigm Shift”, looking from different perspectives to develop...
  8. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi TCRA, Afisa teknolojia habari na mawasiliano(TEHAMA)

    Overview The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is a quasi-independent Government body responsible for regulating the Communications in Tanzania. It was established under the Tanzania Communications Regulatory Act No.12 of 2003 to regulate the electronic communications, Postal...
  9. Jamii Opportunities

    Nafasi za kazi Geita Gold Mining ltd

    Overview Geita Gold Mining Ltd (GGML) is Tanzania’s leading gold producer with a single operation in Geita Region. The company is a subsidiary of AngloGold Ashanti, an international gold producer headquartered in South Africa, with operations in more than ten countries, in four continents. The...
  10. Jamii Opportunities

    Nafasi za Kazi Ifakara Health Institute

    Ifakara Health Institute (IHI) is a leading research organization in Africa with a strong track record in developing, testing and validating innovations for health. Driven by a core strategic mandate for research, training and services, the Institute’s work now spans a wide spectrum, covering...
  11. mayowela

    Kuongezeka kwa Matamasha ni faida kwa Wasanii au ndio Mwisho wa Mipaka yao ya kazi..?

    kwa sasa kiwanda cha burudani kimechangamka na kimechangamshwa na uhasama wa Media houses mbalimbali za hapa nyumbani, kila media sasa ina Tamasha lake, pia kuingiza mkono kwenye matamasha mengine kama Udhamini wa matamasha yanayoandaliwa na Makampuni makubwa ya simu, vinywaji baadhi yao hupewa...
  12. Jane Lowassa

    Niliomba kazi air hostess nikanyimwa

    Niliwahi kuomba kazi ya air hostess ATCL nikapigwa danadana hadi nikakata tamaa. Mvuto ninao tena urefu ninao. Sasa matokeo yake mnaajiri vijitu vifupi mnaishia kupondwa bungeni
  13. Johnny Sins

    Nafasi ya Kazi: Mwandaaji Mkuu wa maudhui ya Televisheni ya mtandaoni anatafutwa

    GLOBAL TV ONLINE ni televisheni ya mtandaoni iliyo na makao makuu yake jijini DAR ES SALAAM, TANZANIA ikiwa na watazamaji dunia nzima zaidi ya milioni ishirini kwa wiki na watazamaji waliojisajili zaidiya milioni moja na laki nane. Kama sehemu ya mafanikio yake Global Tv Online inatafuta mbobezi...
  14. R

    Natafuta kazi ya uhasibu

    Mimi ni kijana wa miaka 23 natafuta kazi ya kusomesha au ya uhasibu. Elimu yangu ni Diploma, mshahara ni maelewano chochote kitakachokuwepo basi tukikubaliana naweaz kuungana kufanya kazi. Nipo Zanzibar 0772 333 435.
  15. P

    Kijana wa kukaanga vitu anahitajika

    Habari, anahitajika kijana mjuzi wa kukaanga vitu kama kuku, samaki, pweza na vitu vinginezo maeneo ya Tabata Maji Chumvi. Awe mwenyeji na mkazi wa Dar es Salaam maeneo ya Tabata au Ubungo External. Asanteni. Kwa maelezo zaidi piga namba 0754 524 486.
  16. M

    Msaada Ushauri, Maoni, nini nifanye baada ya kama miaka 10 ya chuo

    Mimi ni mwenyeji humu niwe mkweli. Course niliyosoma ni Antholopology and Tourism. Nilibahatika kuanya kazi kampuni moja ya wachina kama customer services department ya sale and marketing kwa miaka mitano(5), Hii nafasi niliitendea haki nilifanya kwa ustadi mkubwa bonasi za wiki nilipata sana...
  17. Duniahadaa

    Ili kuepusha vurugu Jaffo tangaza kuwa watendaji waliokimbia ofisi na kujificha wamejifukuza kazi

    Kwa yanayotokea nchini kuhusu Watendaji kuzikimbia ofisi katika kipendi hiki cha uchaguzi huku wanalamba posho, na kwa ajili ya mustakabali wa amani yetu, NAOMBA WAZIRI JAFO UTOE TAMKO. Kwanini wanadharau kazi hivyo?
  18. Sky Eclat

    Huduma za maji, serikali iunde kampuni zitakazofanya kazi kama muundo wa kampuni za simu

    Baada ya kusikiliza maoni ya Mheshimiwa Lema aliyoyatoa wiki iliyopita, nimelitafakari sana wazo lake kuhusu huduma ya maji, maji ni muhimu sana kwa maisha ya kila siku ya binadamu. Yakichukuliwa kibiashara biashara ya maji ina faida kubwa. Tanzania tumebahatika kuwa na vyanzo vingi vya maji...
  19. Degelingi_One

    Kubadilishana vituo vya kazi

    Habari za wakati huu wakuu, Pamoja taarifa ya serikali kuwa uhamisho kwa watumishi wa serikali, Lakini Kuna here says kuwa uhamisho wa KUBADILISHANA VITUO VYA KAZI unaruhusiwa. Mimi Ni Mwalimu na nimepata mtu wa kubadilishana nae. Kwa wale waliopitia haya maswala tupeane uzoefu nianzie wapi na...
  20. mysara2011

    Kazi za ATCL

    Hivi jamani wapendwa kuna mtu aloitwa interview zile post za Sales and reservation za ATCL., Maana naona kimya kingi mnooo au ndo nishabwagwa?
Back
Top Bottom