kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Buckreef Gold Company Ltd

    Company: Buckreef Gold Company Ltd Location: Tanzania State: Geita Job type: Full-Time Background Buckreef gold company ltd is a joint venture company between state mining corporation (stamico) and tanzam2000 ltd, a subsidiary of tanzanian gold corporation is seeking to employe “suitable...
  2. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi TABORA, Milambo Co-Operative Union Limited (Milambo CU Ltd)

    MILAMBO CU (2018) LTD - REG. NO. 5604 Milambo Co - operative Union Limited (Milambo CU Ltd) is vested with the duties of providing high quality services to all tobacco farmers within the two District Councils (Urambo and Kaliua), now is wishing to recruit highly motivated and dynamic staffs to...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi Chief Executive Officer, TAFFA

    Company: TAFFA Location: Tanzania State: Dar Es Salaam Jobs Job type: Full-Time Job category: Administrative/Secretarial Jobs in Tanzania Job Description for the position of Chief Executive Officer Main Purpose of the Job The position entails the overall management and administration of the...
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi ya kufundisha Braeburn International School

    Background Braeburn International School Arusha is a co-educational day and boarding school catering for both the international and Tanzanian community. Accredited by the Council of International Schools, we have earned a reputation for high academic standards, a rich extra-curricular programme...
  5. Mwanahabari Huru

    JamiiForums Tanzania Freeman Mbowe: Mapendekezo ya marekebisho muhimu ya Katiba na Sheria ili kuwezesha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2020 kuwa huru, wa haki na halali

    Tutawaletea Moja kwa Moja Mkutano wa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe na Wandishi wa Habari wa Tanzania na wakimataifa Kuhusu Mambo mbalimbali ya Nchi Updates ------------ Mbowe atahadharisha hali ya hatari uchaguzi mkuu, Amlima Barua Rais ------------- Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe...
  6. Mwinjilist mtume nabii

    JamiiForums Tanzania Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Nahitaji kujua taratibu za kisheria kuna mzungu Kingozi wangu kanipiga picha eneo langu la kazi na ametuma WhatsApp
  7. K

    JamiiForums Tanzania Kazi ya kuuza vipodozi kwa mdada

    Hi to you all. Kuna mtu anatafuta dada wa kazi ya kuuza duka la cosmetics. Umri 20 to 30 awe anaishi Tanga. Ambaye yuko interested ani PM Mawasiliano yake for more details. Asanteni.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Mwalimu wa Mathematics natafuta kazi, 0738 853 634

    Napatikana songea
  9. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina kazi kubwa ya ofisini ya 'ku type' lakini nimeona nipige picha then na convert kwenda PDF then kwenda Word then

    .....na copy na ku paste words, lakini imekataa ku copy wala ku paste words toka kwenye picha. Yaani inakuwa km ina copy picture yote badala ya ku copy words peke yake, maana Mimi nina shida na words nilizopiga picha Wajuvi naombeni muongozo wenu. cc: ma chief wote wa jukwaa la tech.
  10. Parabora

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa Kujuana, kupeana updates kuhusiana na wale Tuliomba nafasi za kazi TANZANIA RED CROSS SOCIETIE (TRCS)

    Kwa wale wote mlioomba kazi katika shirika la msalaba mwekundu huu ndo uwanja wenu wa kupeana taarifa zozote zinahusu shirika hili,na kwa wale ambao hawajaomba niwakumbushe tu leo ndio mwisho.nataka nione ufanisi wa saili kwa mashirika ya huko nyumbani Haijalishi umeomba kitengo gani, Tupeane...
  11. coder12

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuwa mwanaume bila kuchepuka ni kazi sana. Hii ni kwa jinsi wanawake/Wake zetu mnavotuchukulia

    Hili swala la kuchepuka sisi tunalichukulia tofauti sana na wanawake. Nikigundua mwanamke wangu anachepuka ugomvi wake sio wa kitoto na uhusiano unafia hapo hapo. Mwanamke anaweza gundua unachepuka halafu ikawa ishu ndogo tu ikaisha kirahisi sana. Nina mwanamke wangu anafanya kazi mkoani, kila...
  12. Lawrance franci

    JamiiForums Tanzania Tunauza mashine ya kukandia unga wa ngano

    Pre/Order:-MASHINE YAKUKANDIA UNGA.⁣ Hii ni mashine yakukandia unga wa ngano kwaajili ya kazi mbalimbali kama vile keki,mikate,maandazi nk⁣ Zipo size tofauti tofauti na bei ziko tofauti tofauti angalia kwenye picture bei zake na size zake.⁣ KARIBUNI SANA.⁣ ⁣⁣ Tunaleta bidhaa hii kwa ODA TU
  13. Luqman mohamedy

    JamiiForums Tanzania Hivi Makao Makuu ya nchi ni Chato au Dodoma? Mzee anatuchanganya

    Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato. Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii. Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato? Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu. Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo...
  14. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania UN: Takriban watu nusu bilioni hawana kazi nzuri ulimwenguni

    Watu milioni 470 ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au hawana kazi nzuri ya kuwawezesha kujenga mustakabali bora. Hayo ni kulingana na ripoti ya kila mwaka ya Shirika la Kazi Duniani ILO Umoja wa Mataifa umesema kuwa watu milioni 470 kwa sasa ulimwenguni kote hawana ajira kabisa au...
  15. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania DRC Rais Felix Tshisekedi atishia kuwafuta kazi Mawaziri

    Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Félix Tshisekedi ametishia kuwafuta kazi Mawaziri wake na hata kulivunja bunge, iwapo washirika wake wa kisiasa ambao wanaegemea katika mrengo wa rais wa zamani Joseph Kabila, wataendelea kumdharau. Tshisekedi amesema kuna baadhi ya Mawaziri ambao...
  16. Mung Chris

    JamiiForums Tanzania Laini nyingi sana za M-Pesa na Tigopesa hazitafanya kazi kuanzia leo

    Hii ni hasara, laini nyingi za MPESA na TIGO pesa zilikuwa zinauzwa mtaani kwa sh 100,000 au zaidi ya hiyo, unakuta mtu kanunua laini yenye majina hata hamjui aliye isajili, wengi walifanya biashara hiyo ya MPESA na TIGO PESA kwa laini zisizo zenye majina yao, leo zimefungwa, watapata wapi laini...
  17. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mfahamu mfanya usafi aliyefukuzwa kazi na kugeukia kilimo kinachompa mamilioni

    Mkazi wa Njombe, Steven Mlimbila maarufu kwa jina la ‘Nemes’ alipofukuzwa kazi hakudhani kama angeweza kusimama tena. Mlimbila aliamini ndoto zake kiuchumi zimekufa kwa sababu ya kuondolewa kazini alikokuwa ameajiriwa kama mfanya usafi. Elimu yake ya darasa la saba ilimpa msongo wa mawazo...
  18. othiambo

    JamiiForums Tanzania Hivi vitambulisho vya Askari/ Wanajeshi vina kazi gani kwa raia?

    Hali zenu waungwana. Hili swali huwa najiuliza sana na sipati majibu, hivi hawa watu vitambulisho hivi vimekua ndio kimbilio na nguzo ya utemi kwa wananchi? Sababu ya swali langu ni jana kipindi narudi nyumbani kufika kituoni magari hakuna; ghafla ikaja daladala ikitangaza nauli 500 katikati...
  19. FRANC THE GREAT

    JamiiForums Tanzania Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

    Waziri Mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev ametangaza kuwa serikali imejiuzulu. Taarifa hiyo inakuja muda mfupi baada ya Rais Vladimir Putin kutoa hotuba yake ya kila mwaka ya kitaifa. Kukubaliana na kujiuzulu huko, Putin aliwaomba mawaziri kuendelea kufanya kazi hadi pale serikali mpya itakapoundwa...
  20. Hosea Ben

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi

    nafasi za kazi ya kufundisha masomo ya sekondari sayansi; physics, biology & chemistry. unaweza kufanya kazi kwa muda wako wa ziada popote ulipo bila kuathiri ratiba zako za kawaida...? tuma jina lako na masomo unayofundisha kupitia namba hii 0624226549...!!!!!
Back
Top Bottom