kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Nimekuta mkia wa nguruwe umefungashwa na kinda la ndege, kazi yake nini?

    Na vitu vya aina hii huwa nakutana navyo kwenye kila site mpya ya ujenzi ninayoenda, huwa vinakazi gani hivi vidude? Nimeambatanisha picha na video.
  2. K

    JamiiForums Tanzania Naomba kubadilishana kituo cha kazi

    Mimi Mwalimu wa Shule ya Msingi Wilaya ya Momba Mkoa wa Songwe. Natafuta Mwalimu wa kubadilishana nae yeye aje Momba mimi niende Mkoa wa Lindi, Manispaaa, kwa taarifa njoo PM
  3. J

    JamiiForums Tanzania Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es salaam Isaya Mwita anaendelea na kazi zake kama kawaida

    Meya wa Dar es Salaam Mh. Isaya Mwita anaendelea na majukumu yake ya kimeya katika ofisi zake zilizoko Karimjee kama kawaida. Mtangazaji wa ITV Juma Kapalatu amethibitisha hilo baada ya kufanya ziara ya kushtukiza kwenye ofisi ya Lord Mayor Dar es salaam Source: ITV Habari
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya Tutor or Instructor Chuo cha NIT

    Post: Tutor/ Instructor II in Welding Technology 1 post Post Category (s) Engineering and Construction EMPLOYER: National Institute of Transport (NIT) Duties and Responsibilities i. Teaches up to NTA level 6 (Ordinary Diploma) and may assist teaching in higher NTA Levels; ii. Conduct...
  5. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya kazi ya Uuguzi Mwiba Holdings Limited

    Mwiba Holdings Limited is registered Tanzanian Company under Companies Ordinance (Cap. 212) and a leading Hospitality company with its Operations in Arusha, Meatu-Simiyu and Mara Regions. We are currently looking for a Nurse to be part of our Team providing medical assistance to internal and...
  6. H

    JamiiForums Tanzania Mr. Nice: Harmonize usirudie tena kuiba kazi yangu bila ridhaa yangu

    Msanii legend wa music wa bongofleva Mr Nice ameshangazwa na msanii Harmonize kuchukua vionjo wa wimbo wake kin'gasti Kwenye wimbo "Hainistui" bila kuniomba wala makubaliano. Wakati Mr Nice akihojiwa amefunguka unajua kuchukua vionjo au beat au mistari ya msanii mwingine kwa kumuomba au kuingia...
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samsung yatengeneza binadamu wasio halisi wenye uwezo wa kufanya kazi kama binadamu wa kawaida

    Kampuni ya Samsung kushirikiana na Advanced Research Lab (Star Lab) wamefanikiwa kutengeneza watu wasioasilia ambao watakuwa wanafanana na binadamu katika maeneo mbalimbali ya miili yao kama sura na muonekano, kuonyesha hisia, tabia na akili na pia wana uwezo wa kuzungumza na kubadilishana nae...
  8. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi wa NIDA atakiwa kujieleza kwanini asifutwe kazi

    Waziri wa Mambo ya Ndani Mh Kangi Lugola amemwagiza Mkurugenzi wa NIDA kukutana naye kwenye ofisi za NIDA Lindi tarehe 11 January, huku akiwa na maelezo ya kutosha kuhusiana na ucheleweshaji wa vitambulisho ili asifutwe kazi. Chanzo: Watetezi TV
  9. I

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi nina Shahada ya pili ya Takwimu

    Habari wana jamvi. Mimi ni muhitimu wa Shahada ya pili katika Takwimu, natafuta kazi sehemu yoyote Tanzania.
  10. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Kazi imeanza: Halima Mdee kuongea na Waandishi wa Habari

    Mwenyekiti wa BAWACHA , jumuiya ya wanawake inayosemekana kuwa na nguvu kuliko jumuiya yoyote ya aina hiyo barani Africa , Mh Halima Mdee atazungumza na Waandishi wa habari Makao Makuu ya Chadema Jumatano hii. Wote mnakaribishwa
  11. beth

    JamiiForums Tanzania Finland: Waziri Mkuu Sanna Marin apendekeza siku nne za kufanya kazi

    Waziri Mkuu mpya wa Finland Sanna Marin amependekeza nchi hiyo iwe na siku nne tu za kufanya kazi ili wananchi wawe na fursa kuwa na familia zao kwa muda mrefu zaidi na kufanya mambo mengine ya jamii ikiwemo michezo na utamaduni. Marin, akiwa kiongozi mkuu wa serikali mdogo kuliko wote duniani...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

    Utangulizi Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002 kama ilivyorekebishwa na Sheria Na. 18 ya mwaka 2007 kifungu 29(1). Kwa mujibu wa Sheria hiyo, chombo hiki, pamoja na kazi zingine kimepewa jukumu...
  13. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Athumani Kazi, jitathmini katika uchambuzi wako wa soka

    Nimeshangaa sana anadai penati ya Simba ilikuwa halali hata mtoto wa darasa la Kwanza asingesema kuwa ile ni penati. Kama una unazi achana na unazi binafsi, nakukuheshimu sikuheshimu tena kwenye uchambuzi lakini jitathimini kama ulikuwa unaficha uovu/ makosa ya huyo mama Jenesia, acha kabisa...
  14. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaanza kazi Mbeya Mjini. Mbunge wake aanza kumimina semina elekezi ngazi zote kwenye kata zote

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Jimbo la Mbeya Mjini kimeanza amsha amsha kwa kumwaga semina elekezi kwa viongozi wa Kata zote , Vijiji na vitongoji kwa lengo la kuwajengea uwezo wa kiutendaji . Ikumbukwe kwamba siasa za kishirikina za kutembea mitaani na majeneza kama...
  15. K

    JamiiForums Tanzania Je, kipi bora kati ya kufanya kazi kwenye kampuni inayoanza (mpya) au yenye muda kidogo?

    Wakuu ushauri wenu muhimu. Kuna jamaa kamaliza shahada ya uhandisi. Kwa bahati nzuri kapata kazi kakita kampuni mbili, kampuni ya kwanza ameahidiwa mshahara wa million moja na laki mbili baada ya makato yote, kampuni nyingine nimpya ndio inaanza inamwaka mmoja, ameambiwa na wamiliki wa kampuni...
  16. NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA KAZI YA KUFUNDISHA BIOS NA CHEMISTRY SHULE ZA BINAFSI ZINAZOLIPA VIZURI

    Wanabodi mimi ni mwalim wa masomo ya Biology na Chemistry!nimeajiriwa na serekali takribani miaka saba imepita!!Nataka nifundishe shule za private zenye mshahara mnono!!!Nina shahada ya sayansi katika elimu kutoka UDSM-DUCE!
  17. Gfive_5

    JamiiForums Tanzania Natafuta Dada wa kazi za ndani

    Natafuta Dada wa kazi za ndani Nipo Shinyanga Mjini. Mawasiliano: 0622512225 au 0762692538
  18. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Maelfu ya Waethiopia wapelekwa nchini Saudia kufanya kazi za majumbani

    Katika kuwalinda raia wake Ethiopia imeingia mikataba maalumu na mataifa ya kiarabu kurasimisha kazi za majumbani kwa raia hao Katika kuzuia uhamiaji haramu Ethiopia imetuma maelfu ya wafanyakazi wa majumbani waliopewa mafunzo nchini Saudia. Taarifa aliyoitoa balozi wa Ethiopia mjini Riyadh...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi kwenye kampuni za kubet,stationary,duka lolote,hotel nk.

    Habari, Mimi ni kijana umri24 natafuta kazi yoyote Hususani katika makampuni,viwanda,majumbani, madukani,mashambani NB: sihitaji mshahara mkubwa Nichek PM Nina ujuzi computer application na ufundi umeme.
  20. ubongokid

    JamiiForums Tanzania Kazi na Bata ndio Habari ya mjini, Mengine Mbwembwe tu

    Maisha ni tight kwa hio hapa ni mwendo wa KAZI na BATA tu mengine Mbwembe tu 2020 Twende na KAZI na BATA tuachane na mbwembwe
Back
Top Bottom