kazi

Shughuli inayohusisha akili au nguvu ya mwili kwa lengo la kufikia kusudi ama kupata matokeo fulani.
  1. M

    JamiiForums Tanzania Msaada natafuta kazi yeyote jijini Mwanza, Nimehitimu Chuo cha Usafirishaji NIT

    ,
  2. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serikali inawatafuta wakenya 50 waliotoroka karantini

    Polisi wanawatafuta watu 50 waliotoroka katika kituo cha Kenya Medical Training College, mjini Nairobi kilichokuwa kinatumika kama karantini Inadaiwa kuwa walikuwa wanapata chakula cha jioni, na mvua ilikuwa inanyesha nao wakatumia fursa hiyo kuruka uzio na kukimbia Wengine kati ya hao...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi SOS Children's Villages

    SOS Children’s Villages is the world’s largest non-governmental organisation focused on supporting children without parental care and families at risk. Since 1949, we have been working to ensure that children grow up in a loving family environment and have their rights fulfilled. Services SOS...
  4. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa Mikoa wapewa kazi ya kuwashughulikia wanaopandisha bei ya vyakula kwenye mfungo wa ramadhani

    Wakuu wa Mikoa kote nchini wameagizwa kuwachukulia hatua wale wote watakaobainika kuuza sukari kwa shilingi 4500. Waziri Mkuu Mhe.Kasim Majaliwa amesema hakuna sababu ya sukari kupanda bei kwani sukari ipo yakutosha, ilikuwa imepungua imeagizwa na imekwishaletwa. Majaliwa ameyasema hayo leo...
  5. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kwa wake mlioingia darasani Kuna hizi nafasi za kazi

    Ward-based pharmacist jobs available throughout the UK, with the NHS needing your help. Great pay rates up to £33.00 per hour. As the whole world takes a step back, healthcare professionals are taking a step forward. We hope you can step forward and join us today. Step Forward | Medacs Healthcare
  6. Mzee Mwanakijiji

    JamiiForums Tanzania Mashine ya Rostam inafanyaje kazi na imethibitishwa vipi?

    Nimeona mara kadhaa ndani ya wiki hii aliyekuwa Mbunge wa Igunga na Mfanyabiashara Maarufu Rostam Aziz akitoa kile kinachoitwa mashine za kunyunyizia dawa zenye kuua virusi. Mashine hizi ni "full body spray" kwamba mtu anaingia mashine zinatoa kitu kama manyunyu au mvuke ambao unadawa zenye...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi UNDP

    Agency UNDP Title Stress Counsellor Job ID 30130 Practice Area - Job Family Management - STRESS COUNSELOR Vacancy End Date (Midnight New York, USA) 26/04/2020 Duty Station: Kasulu, Tanzania, United Republic of Education & Work Experience: I-Master's Level Degree - 2 year(s) experience Languages...
  8. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Enabel Belgian Development Agency

    Vacancy title: Monitoring and Evaluation Technician [ Type: FULL TIME , Industry: Nonprofit, and NGO ,Category: Science & Engineering ] Jobs at: Enabel Deadline of this Job: 03 May 2020 Duty Station: Within Tanzania , Kigoma , East Africa Vacancy – Position no: 1708 Monitoring and Evaluation...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nimepata kazi mshahara baada ya makato yote 250k

    Leo nimeitwa kazini katika kampuni fulani hivi, wakanipa mkataba wa kazi mshahara baada ya makato yote ni Tsh 250,000/= sikua na namna nikasaini tu ule mkataba. Kikubwa ni kujifunza na kupata uzoefu maana ndio ajira yangu ya kwanza. Elimu yangu ni shahada ya rasilimali watu.
  10. Mystery

    JamiiForums Tanzania Kama mwandishi wa habari Talib Ussi amesimamishwa kazi kwa kutoa ripoti ya corona, ni kwanini Makonda anaendelea na kazi kwa kufanya kosa hilo hilo?

    Tulielezwa kuwa wenye mamlaka ya kutangaza wagonjwa wa corona nchini ni watu watatu, ambao ni waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, waziri mkuu Kassim Majaliwa na Rais mwenyewe, John Magufuli Upande wa Zanzibar, anayeruhusiwa kutoa ripoti yoyote ya wagonjwa wa corona, ni waziri wa afya wa huko, Hamad...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi ya Udereva UNFPA

    Job Title Driver, Kasulu, Tanzania, G2 Job ID 30047 Location East and Southern Africa Full/Part Time Full-Time Regular/Temporary Regular Rotation This post is non-rotational. Duty Station: Kasulu, Tanzania Closing Date: 05 May 2020 (5 pm, New York time) Duration: One Year (*) Post Type...
  12. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Senior Procurement Officer at Norwegian Refugee Council

    Position: Senior Procurement Officer (Tanzania National ) Tanzania, Norwegian Refugee Council NRC Tanzania is looking for Senior Procurement Officer base at Kibondo, Kigoma The purpose of the Senior Procurement Officer position is to manage the day to day implementation of the procurement...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi Sokoine University of Agriculture (SUA)

    Overview The Management of Sokoine University of Agriculture (SUA) wishes to invite suitable qualified individuals, who are able to work full time in a dynamic academic environment to apply for three (3) positions at the SACIDS Foundation for One Health. The Postdoctoral Research Fellow in...
  14. Kaluluma

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu kazi za vituo vya kuuza mafuta

    Habari za leo wakuu, Ninahitaji kujua kuhusu utaratibu wa kupata kazi katika sheli za mafuta nikimaanisha kuuza mafuta. Ikiwezekana niambie kuhusu utaratibu wa kuomba kazi, vigezo, mshahara n.k Nina elimu ya kidato cha nne na mafunzo ya JKT kwa mujibu wa sheria, napatikana Dodoma. Natanguliza...
  15. Pdidy

    JamiiForums Tanzania DC Hai atengua uhamisho wa Mkuu wa Shule ya Sekondari Lyamungo, anusa harufu ya upigaji pesa ya ukarabati

    Iko hivi, Serikali ilitoa milioni 700+ kwa ajili ya ukarabati wa shule. Pesa imeingia kama leo, kesho yake headmaster anapokea barua ya uhamisho kwenda shule nyingine wilaya hiyo hiyo kama headmaster. Kisa cha kuhamishwa anadaiwa kutokuwa na mahusiano mazuri na wenzake, pia hakupewa muda wala...
  16. Chagu wa Malunde

    JamiiForums Tanzania Wabunge wa CHADEMA wamekengeuka, wanajifanya hawaoni kazi nzuri ya uletaji maendeleo ndani ya miaka minne

    Hii ni kwa sababu uchaguzi umekaribia na mwezi Juni tarehe 31 Bunge litavunjwa. Sasa wabunge wa Chadema wamekumbwa na kiholo. Wanajiuliza wataenda kuwaambia nini wananchi? Maana walizoea siasa za kupakana matope, na wananchi wamebadilika wanataka siasa za kuletewa maendeleo. Muda wote wamekuwa...
  17. matokeotz

    JamiiForums Tanzania Tengeneza Resume yako ya kirahisi hapa!

    Resume/CV Maker | Curriculum Vitae - Apps on Google Play
  18. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Corona: Fumigation ni Bonge la Fursa, njoo tupige kazi

    Kila janga huja na Neema zake, poleni wote mnaouguliwa na kuuguza! Kwa sasa uhitaji wa Fumigation hauepukiki! Maofisi yanatakiwa kuwa fumigated, mabasi, nyumba za Wageni, mahotel na kwingine. Si kila dawa inafaa kutumika kwa fumigation, tupia uzoefu wako. Kizuri kula na nduguyo! Karibuni
  19. L

    JamiiForums Tanzania Tanzania ya Viwanda: Zaidi ya wafanyakazi 90% wafutwa kazi kwenye kiwanda cha Mihogo kwa Nape

    Wassalam wana-JF, Mwezi Machi mwaka 2019, waziri Mkuu wa JMT Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa alizindua kikubwa na inawezekana cha pekee Mkoani Lindi maeneo ya Mbalala jimboni Mtama kinachojulikana kwa jina la CASSAVA STARCH OF TANZANIA CORPORATION. Kiwanda ambacho kinajishughulisha na uzalishaji...
  20. Richard

    JamiiForums Tanzania Kwenye kampeni mwaka 2015 huko Monduli Magufuli aliahidi kufanya kazi kama hayati Edward Sokoine,-Video

    Mwezi April tarehe 12 mwaka 1984 majira ya jioni, watanzania tulitangaziwa habari mbaya za kifo cha Edward Moringe Sokoine ambae alikuwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mtangazaji wa habari hizo alikuwa ni hayati baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere. Leo ni miaka 36 imepita...
Back
Top Bottom