katika

Kathikas (Greek: Κάθηκας) is one of the Laona villages in the Paphos District of Cyprus. It is situated on a plateau 23 kilometers north of Paphos. It has an altitude of 655m and a population of 333.
It is well known for its grape production, such as xynisteri grapes.
It also has a flourishing agrotourism industry.
Kathikas has a very active Residents Association Additionally, Kathikas has residences that are over a century old and serve as examples of folkloric architecture.

View More On Wikipedia.org
  1. GoldDhahabu

    JamiiForums Tanzania Kwanini ni Tanzania pekee katika EAC ndiyo haijaruhusu uraia pacha kwa watu wake?

    Nchi zingine zote za Afrika Mashariki zimesharuhusu. Imesalia Tanzania peke yake. Kwa nini imeamua kujitofautisha? Labda ina akili kuliko nchi zingine zote zilizoruhusu au kinyume chake? Ya kwanza kuruhusu uraia pacha ilikuwa ni Burundi, mwaka 2000. Mnamo mwaka 2003, Rwanda nayo iliweka...
  2. Shining Light

    JamiiForums Tanzania Changamoto za Vijana Katika Ujasiriamali

    Ajira imekuwa changamoto kubwa kwa vijana katika siku hizi, Serikali inaendelea kuhamasisha vijana kujiajiri kwa kuanzisha biashara zao wenyewe ili kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira. Hata hivyo, licha ya juhudi hizi, vikwazo vya kifedha vinavyowakabili vijana hawa vimekuwa kikwazo kikubwa...
  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Ni hujuma kwa nchi za Kiarabu katika AfCON hii

    Inaumiza sana. Yaani Morocco ya kufungwa na South Africa? Cape Verde kweli wanaitoa Mauritania? Senegal wanatolewa na Ivory Coast? Naona kama kuna maelekezo toka juu. Si sawa kuna msaada kutoka 👆 juu. Team za kiarabu na zenye vinasaba na uarabu wameona wazichinjie baharini. Cape verde ka nchi...
  4. Madwari Madwari

    JamiiForums Tanzania Taaluma muhimu za kujifunza katika mwaka huu wa 2024

    Kwa ujio wa Artificial Intelligence umuhimu wa kujifunza na kuwa na uelewa wa programmig na coding ni muhimu sana. Kuna ajira nyingi sana ambazo ni remote zipo mitandaoni zinazohitaji mtu mwenye uelewa wa kuandika code na kujua programming. Nimeshuhudia vijana wa Kenya na wengineo huku Ulaya...
  5. N

    JamiiForums Tanzania Naomba kumjua aliyeghani pamoja na Tongolanga katika wimbo 'Baba na Mama'

    Mnaofahamu naomba mnijuze tafadhali! Walipatana hao watu kwenye hicho kibao si mchezo. Pia ni nani alikuwa analizimua lile goma pale mwishoni walipoanza kuimba kwa kimakonde? R.I.P Tongolanga, kwangu utabaki kuwa mwanamuziki bora daima. -kila munu avena kwao -chilamba cha vene -sanura -baba...
  6. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Shemsa Mohammed Katika Mapokezi ya Makonda Mkoani Simiyu, Akitawazwa Jina la Bagolole

    Cde. Shemsa Mohammed Katika Mapokezi ya Makonda Mkoani Simiyu, Akitawazwa Jina la Bagolole. KATIBU wa NEC-Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Paul Makonda amewasili Mkoa wa Simiyu kwa ajili ya kufanya ziara ya kikazi, ikiwa ni mwendelezo wa ziara yake ya mikoa 20 backo to...
  7. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Bashungwa Aitaka TANROADS Kupanda na Kuhudumia Miti Katika Maeneo ya Barabara

    BASHUNGWA AITAKA TANROADS KUPANDA NA KUHUDUMIA MITI KATIKA MAENEO YA BARABARA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameuagiza Wakala wa Barabara (TANROADS) kuendelea kupanda na kuhudumia miti iliyopandwa katika maeneo ya barabara kwa ajili ya kuendelea kupendezesha miji na kutunza mazingira ili...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Bashungwa aitaka TANROADS kupanda na kuhudumia miti katika maeneo ya barabara

    BASHUNGWA AITAKA TANROADS KUPANDA NA KUHUDUMIA MITI KATIKA MAENEO YA BARABARA Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameuagiza Wakala wa Barabara (TANROADS) kuendelea kupanda na kuhudumia miti iliyopandwa katika maeneo ya barabara kwa ajili ya kuendelea kupendezesha miji na kutunza mazingira ili...
  9. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Katika uongozi ukiwatumikia wananchi kikwelii utapendwa tu

    Mambo ni magumu sana, Katika uongozi mambo ni tofauti sana. Kiongozi unaongoza watu, watu wote wanakuangalia wewe. Hivyo ndugu yangu ukitaka kupendwa na hao watu wekeza akili yako kwao. Hata ungekuwa na utajiri kiasi gani wananchi hawawezi kukupenda kama huwatumikii. Hiyo ndio kanuni...
  10. Ibun Sirin

    JamiiForums Tanzania Ifahamu 'Bahati' inavyopatikana katika maisha ya mtu

    Bahati ni jambo au matukio yasiyowezekana, yanaweza kuwa mazuri au mabaya. Kwasisi wanaadamu matukio chanya na hasi yanaweza kutokea wakati wowote, kwa sababu ya michakato ya asili na isiyo ya nasibu, na kwamba hata matukio yasiyowezekana yanaweza kutokea kwa bahati nasibu. Kwa mtazamo huu...
  11. C

    JamiiForums Tanzania Examination Officer written interview

    Wakuu habari ya leo, Naomba kupata muangaza kidogo katika written interview za examination officer aina ya maswali yanayoulizwa.
  12. Mohamed Said

    JamiiForums Tanzania Zima Moto Katika Ubora Wake

    https://youtu.be/FxUtFHgXxDw ZIMA MOTO KATIKA UBORA WAKE Nimeikuta hii video mtandaoni na nikaiangalia kuanzia mwanzo hadi mwisho. Wakati mwingine nilikuwa nacheka peke yangu. Kwa nini nacheka? Kwani hili jambo la kuchekesha? Hili ni jambo la kusikitisha na hakuna shaka katika hilo. Lakini...
  13. chama mpangala

    JamiiForums Tanzania Majabu ya mbegu ya parachichi katika kutibu magonjwa

    MBEGU za PARACHICHI hutibu magonjwa ya fuatayo. 🌿High blood pressure 🌿High cholesterol 🌿Asthma 🌿Low immunity 🌿Cancer of the blood 🌿Obesity 🌿Candidiasis Unachotakiwa kufanya ni kuchukua MBEGU ya PARACHICHI na kuisaga alafu utapata Unga. Matumizi: Utakuwa unachemsha maji anaweka kwenya kikombe...
  14. M

    JamiiForums Tanzania UPDATES: Mahakama ya ICJ yaitaka Israel kuepusha Mauaji ya Raia katika eneo la Gaza

    Kwa wale ambao wana nafasi leo ndiyo siku ya hukumu ya kesi ambayo Afrika ya kusini ilifungua kuishitaki Israel katika mahakama ya kimataifa kuwa inafanya Genocide huko Gaza. kwa wale walio katika mitandao, muda wa hukumu unakaribia , siyo vibaya kuifuatilia hukumu hii LIVE ili kujua argument...
  15. Lupweko

    JamiiForums Tanzania Katika hatua ya makundi AFCON, Aishi Manula ashika namba nne kwa ubora miongoni mwa walinda milango wote

    Mtandao wa Sofascore umetoa ubora wa walinda milango katika hatua ya makundi ambapo mlinda mlango wa Tanzania, Aishi Manula, amefanikiwa kuwa katika namba nne kwa ubora katika orodha ya walinda milango wote walioshiriki katika mechi za AFCON 2023 hatua ya makundi. Orodha kamili iko hapa:
  16. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Kundi la M23 latangaza uongozi wake katika eneo la Kivu, hofu ya kuundwa taifa huru yaibuka

    DR CONGO: Kundi la Waasi la M23 limeripotiwa kutangaza Uteuzi wa Uongozi wake katika maeneo yaliyopo chini ya udhibiti wake huko Mashariki mwa DRC, hali inayodaiwa kuzua wasiwasi kwamba linapanga kuunda Taifa huru katika eneo hilo. Kupitia taarifa yake iliyochapishwa katika Mtandao wa X (zamani...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Nape na Chalamila mna la kujifunza katika kipindi hiki kifupi

    Nape alijitokeza na kutishia wote waliouliza kuhusu alipo Makamu wa Rais. Kwa kipindi kifupi alipigwa spana Tweeter za kutosha. Hazikuwa spana kavu bali na vifungu vya sheria na katiba na kidogo wakampekua hata mambo yake mengine. Ametulia! Chalamila alijivika Uamiri Jeshi (kwa cheo cha...
  18. Mla Bata

    JamiiForums Tanzania Nafasi na mchango wa watu maarufu katika maandamano ya leo tarehe 24 Januari

    Wasalaam, Kwanza nianze kwa kuwapongeza chama cha demokrasia na maendelea (CHADEMA) kwa uthubutu wao wa kuanzisha na kuratibu maandamano haya ya amani kama njia ya kufikisha ujumbe wao kwa serikali tawala na hata jamii ya kimataifa. Kwa upekee sana nipende kuisifu serikali tawala na vyombo vya...
  19. I

    JamiiForums Tanzania Mataifa kumi yenye nguvu nyingi za kijeshi katika Afrika

    Ifuatayo ni orodha ya mataifa 10 zenye nguvu nyingi za kijeshi katika Afrika. --- The military stands as one of the most relevant institutions in the world, serving as a foundation for security and stability at the global, regional, and national levels. A recent index by Global Firepower's...
  20. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Utafiti: Walimu wanaosaidiwa katika masuala ya Afya ya Akili wanafaulisha zaidi Wanafunzi

    #AFYA: Utafiti wa mwaka 2023 uliofanywa na Kituo cha Taifa cha Takwimu za Elimu (NCES) cha nchini Marekani, umeonesha 87% ya Walimu wa Shule za Umma walikabiliwa na Msongo wa Mawazo, Kuelemewa na Kazi Ningi na Mtazamo Hasi juu ya Kada ya Ualimu. Hata hivyo, utafiti umebaini Shule zenye Utaratibu...
Back
Top Bottom