Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 449
- 1,009
Binafsi ni mwana Simba lakini kuna kila dalili droo ya Yanga vs Mamelodi ilipangwa kimkakati , ikihusisha mawazo tofauti tofauti hususani YANGA na Mamelodi ziko kwenye kiwango bora kwa sasa .
Kuna nini Nyuma ya Hii droo ?
>>>Inawezekana ni mkakati Mamelodi apewe mpinzani mkali ili asisonge mbele .
>>>Inawezekana ni mkakati ili Waarabu Al ahly na ES TUNIS wafike mbali .
Kuna nini Nyuma ya Hii droo ?