Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,924
- 3,904
Hivi ikitokea mchumba/mke amekusaliti na ukaamua kumsamehe, unawezaje kurudisha uaminifu na maisha yakaendelea?
Kwa wale mliopona na kuamua kusamehe na kuendelea na maisha tupeni uzoefu wenu.
Kwa uzoefu wangu naona hilo swala halitoki akilini mana nawaza kwa nini mtu ninayempenda aliamua kunisaliti, na pia nahisi atanisaliti tena kwa hiyo uaminifu niliokua nae umepungua kwa kiasi kikubwa.
Kwa wale mliopona na kuamua kusamehe na kuendelea na maisha tupeni uzoefu wenu.
Kwa uzoefu wangu naona hilo swala halitoki akilini mana nawaza kwa nini mtu ninayempenda aliamua kunisaliti, na pia nahisi atanisaliti tena kwa hiyo uaminifu niliokua nae umepungua kwa kiasi kikubwa.