aBuwash
Senior Member
- Dec 26, 2023
- 107
- 201
Hello wana JF,
Mimi ni kijana wa miaka 21 naish kijijin kwa sas Mimi bhan katika maisha yangu Kuna ndoto kubwa Sana nawza ambayo natamani sana kuitimiza Ila nashindwa kwa sababu kwa sasa nipo kijijin na huku kijijin wazazi Wangu wamenipa duka nirithi la nguo.
Hili duka cha kwanz siipendi hii biahsra pili mazingira niliyopo hayanipi vision yeyote ya kimaisha pia watu wanaonizunguka huku kijijni ni watu negative Sana kitu amabcho wanweza nifanya.
Mimi kuwaza vitu vinyu Sana na sio vitu vipya kiufup nahitaji kutoka huku kijijin na kuja Dar kuanzisha biashara nyingine ambayo Nina vision nayo na naamin ni sahihi kwang Ila sas shida jinsi ya kutoka hapa na kuliacha duka kiufupi wazazi wangu na watu kwa ujumla hawatanielewa.
Je nikaja Dar na nikafeli itakuwaje nyumbani huku sura yangu nitaiweka wapi naomba ushauri nifanyaje? Wana jf
Mimi ni kijana wa miaka 21 naish kijijin kwa sas Mimi bhan katika maisha yangu Kuna ndoto kubwa Sana nawza ambayo natamani sana kuitimiza Ila nashindwa kwa sababu kwa sasa nipo kijijin na huku kijijin wazazi Wangu wamenipa duka nirithi la nguo.
Hili duka cha kwanz siipendi hii biahsra pili mazingira niliyopo hayanipi vision yeyote ya kimaisha pia watu wanaonizunguka huku kijijni ni watu negative Sana kitu amabcho wanweza nifanya.
Mimi kuwaza vitu vinyu Sana na sio vitu vipya kiufup nahitaji kutoka huku kijijin na kuja Dar kuanzisha biashara nyingine ambayo Nina vision nayo na naamin ni sahihi kwang Ila sas shida jinsi ya kutoka hapa na kuliacha duka kiufupi wazazi wangu na watu kwa ujumla hawatanielewa.
Je nikaja Dar na nikafeli itakuwaje nyumbani huku sura yangu nitaiweka wapi naomba ushauri nifanyaje? Wana jf