Ndugu zangu kama kichwa cha habari kinavojieleza.
Mimi nataka kuingia mwenye biashara ya vitenge niwe nafata mzigo Kariakoo then naenda kuuza mikoani. Kwa ambaye anauzoefu kuhusu biashara anambie challenges za hii biashara.
Ilani 2020: ACT-Wazalendo Kujenga Utajiri wa Jamii kupitia Ushirika wa kisasa.
Kuongezeka kwa tofauti za kipato huku matajiri wakizidi kunufaika na mifumo ya kiuchumi iliyopo pamoja na ukosefu wa ajira kunazidi kushika kasi duniani na Tanzania ikiwemo. Hii inaamsha ari ya kufikiri njia mpya za...
Ilani 2020: ACT-Wazalendo Kujenga Utajiri wa Jamii kupitia Ushirika wa kisasa (Community Wealth Building).
Kuongezeka kwa tofauti za kipato huku matajiri wakizidi kunufaika na mifumo ya kiuchumi iliyopo pamoja na ukosefu wa ajira kunazidi kushika kasi duniani na Tanzania ikiwemo. Hii inaamsha...
Janga la ugonjwa wa virusi vya Corona au COVID- 19 likiendelea kuripotiwa maeneo mbalimbali duniani, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa tamko lake la kisera lenye lengo la kuhakikisha kuwa janga hilo halizidishi pengo lililokuwa la walio na elimu na wasio na elimu.
Tamko...
Amani iwe nanyi wadau!
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada. Leo Kuna mkutano muhimu wa Chama Kikuu cha Upinzani CHADEMA, ambapo macho na masikio ya watanzania wapenda demokrasia na wapenda maendeleo yapo kwenye mkutano huu wa CHADEMA. Moja ya ajenda kuu kwenye mkutano huu ni kumpitisha...
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amelitaka Jeshi la Polisi kudhibiti vurugu zozote zitakazo jitokeza au uvunjifu wa sheria katika kipindi hiki kuelekea uchaguzi mkuu.
Simbachawene ameongeza kuwa, Polisi muda wote wawe tayari kwa kujipange vizuri na pia intelejensia...
Wakuu heshima kwenu, nipo mahali sahihi kwa wakati sahihi, na jukwaa sahihi. Tupo watu wengi humu zaidi ya 10000, so hebu tupeane mawazo, huenda mimi sikuwa nayo, mwenzangu akawanayo. Jamii yetu inachangamoto gani zinazohitajika kutatuliwa, ambapo changamoto hizo hupelekea kupata fursa ya...
Nadhani kwa sasa hawa wafanyakazi wa hilli shirika wamepiku askari wa babarani kwa kuonea watu na kula rushwa. Mtu akiwa nafuatilia haki yake atazungushwa sana ili mradi tu atoe rushwa.
Kuna mama mmoja ni kati ya wafanyakazi wa DSTV walioachishwa kazi toka mwaka juzi, amefuatilia anaambiwa atoe...
Fedha ndio habari ya mjini, vijana tutafute fedha kwa kila hali. Hata kuzamia machimbo, kufanya kazi kwa juhudi au hata kwa kujilipua kwenda ng'ambo.
Imagine Diamond ile sura yake na kamwili kake kadogo lakini anaitwa baby. Aliwahi kusema kuwa kwa siku anatongozwa mara dufu.
Kijana tafuta hela...
Jamii imekuwa na mtizamo wa tofauti sana kwa watumishi wa Mungu au watu wastarabu, jamii hudhani watu hawa wamesalimika na kukosea kitu ambacho huwapa wakati mgumu sana katika jamii wanapokosea.
Mfano ikitokea mtumishi kachepuka/kashikwa ugoni au mtu msatrabu kaiba, hizi mambo husababisha jamii...
Habarini wakuu, nimefanikiwa kufanya utafiti ambao ulilenga kuchambua taarifa mbali mbali za kiuchumi za serikali na hususani kabisa zilizolenga taarifa ya kifedha ya serikali (Financial statements) kuanzia mwaka wa fedha wa June 2016 mpaka June 2019.
Takwimu nilizotumia kwenye uchambuzi...
Chanzo:Tony Alfred on twitter.
Maoni yangu:
Kuna mtu/watu watakuwa wanajisikia vibaya sana kusoma tweet hizi(maneno haya) na wajue tu watakumbukwa kwa matendo yao na si kwa structures watazotuachia kwani wako wengine watakaoikuja kujenga structures zingine bora zaidi kama ambavyo wao sasa...
Habari za wakati huu waungwana?
Jamanimwenzenu nina changamoto nimeipata kuhusiana na mzazi mwenzangu.
Iko hivi huyu mwanamke tumezaa mtoto ambae kwa sasa ana umri wa mwaka mmoja na miezi 7. Kiukweli toka ajifungue huyu mtoto nimekuwa nikitoa pesa za matunzo vizuri tu bila shida, ofcoz naye...
Hii ndiyo raha ya kuwa mwanachama wa jamii forum, wote ni ndugu hakuna cha wapwa wala wakulingwa tunainuka kama jamii moja.
Jamii forum inabaki kuwa uwanja mpana wa jamii wenye kutoa hoja kuntu katika mawanda yote ya jamii yetu.
"Tunainuka pamoja kama Jamii"
Salamu wana jukwaa wa humu:
Nimekisoma kitabu cha The Richest Man in Babylon, by George S. Clason na kinasema kwamba wanasayansi, wanamahesabu wa kwanza kabisa ni wao.
Nijuavyo mimi, watu wa kwanza kabisa kuanza kutumia hesabu ni wamisri hasa kwenye ujenzi wa pyramids zile. Kuna source...
"Kuna Bil 1.5 za makato ya wafanyakazi hazijawasilishwa, Serikali inachofanya inalipa mishahara lakini kwenye Mifuko ya Hifadhi za Jamii ile pesa haipelekwi, hii ni hatari mtu anapostaafu ili alipwe pesa zake anaambiwa michango yako huku haikuletwa" Mbunge ,Tunza Malapo.
Chanzo: Darmpya Blog...
Kuna watu wengi wanakwepa majukumu yao katika jamii yetu kwa kisingizio kuwa haya au hayo ni mambo ya kisiasa.
Binafisi huwa ninawaza watu hawa uelewa wao wa mambo ni mdogo sana au wameamua kwa makusudi wawe vipofu?
Tuelewane kidogo iko hivi siasa ndiyo inaendesha kila kitu katika maisha yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.