YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Ukiwa mfuatiliaji wa wanadiasa washika dola duniani kote ni vigumu mno kwa wanaharakati kushika dola sababu huwa hawana uwezo kabisa wa ku mobilize makundi yote katika jamii yswapende na yawaunge mkono kuwapa dola
Makundi hayo Ni Kama viongozi wa kiserikali, mahakama,taasisi za kidini,vyombo vya Habari,vyombo vya dola ,vyama vingine vya siasa nk
Kutokana na ugumu wa wanaharakati kujenga mtandao wa kukubalika na kuungwa mkono na makundi yote kwenye jamii huishia tu kushindwa kushika dola
Chama Cha siasa kikitumia wanaharakati hukiondoa kwenye reli ya Kisiasa na kukiweka kwenye reli ya uanaharakati na kukifanya kisikubalike kwenye makundi mengine kwenye jamii kwa kuburuzwa na wanaharakati
Mfano mzuri Ni Chadema kilikuwa chama Cha siasa kizuri tu kilichokuwa kina ushawishi mkubwa na kukubalika na makundi yote katika jamii sababu kilijenga mahusiano rafiki na kukubalika kwa makundi yote zikiwemo taasisi za Dini na vyombo vya habari,dola ,mahakama nk ndio maana kiliweza kila chaguzi kuongeza idadi ya Wabunge na madiwani wakati wanasiasa Kama Mbowe,Slaa na Lowasa waluposhika sukani za ugombea uraisi.Wote tu madhahidi kwa hilo
Ujio wa wanaharakati kushika uogombea wa akina Tundi Lisu umevuruga kila kitu chama kimegeuzwa Cha Kiana harakati mahusiano ya Chadema na makundi mengine ya kijamii
yamesambaratika UKAWA umesbaratika,uhusiano na taasisi za dini imesambaratika, uhusiano mzuri na vyombo vya
Habari imesambaratika, vingine uhusiano na vyombo vya dola imesambaratika ,uhusiano na vyama vingine vya siasa vya ndani na nje ya Nchi imesambaratika, mahusiano na wafadhili wafanyabiashara wakubwa imesambaratika,uhusiano na wafadhili wa ndani na nje umesbaratika
Makundi ya wananchi kukipenda chama kwa dhati na kukigharimia kumesambaratika.Love level ya wananchi kwenye chama kumeshuka kwa kiwango.cha kutisha sababu hawajui ilani ya chama Wala hawajui chama kinasimamia Nini Sababu tatizo la wanaharakati huwa hawana agenda wao husimamia tu matukio yanayojitokeza tofauti na chama !! Raisi akikohoa mfano mkutanoni kwa mwanaharakati kesho hiyo ndio huwa agenda ohh kea nini raisi kakohoa kwenye public alitakiwa asikohoe sisi kama wanaharakati tunapinga kitendo Cha raisi kakohoa hadharani!!!
Wote mashahidi Chadema imegeuka chama Cha uanaharakati kinachoenda na matukio badala ya kuwa na agenda ya kudumu ya kueleweka kwa wananchi
Chadema kimeondolewa kwenye reli ya Kisiasa na wanaharakati na Hivyo kukipotezea mvuto wa ushindi.Kwa maoni yangu hoja ya ufisadi ilitakiwa kuwa agenda Yao ya kudumu ya Kisiasa ya nyakati zote Bila kuyumba lakini wanaharakati wameiyumbisha Chadema kuogeuza kikundi Cha uanaharakati badala ya chama siasa hivyo kukifanya iwe ngumu kwao kushika dola Kama ilivyo kawaida kuwa vigumu kwa wanaharakati kushika dola popote duniani kea kukosa agenda na kuwa watu wa matukio
Makundi hayo Ni Kama viongozi wa kiserikali, mahakama,taasisi za kidini,vyombo vya Habari,vyombo vya dola ,vyama vingine vya siasa nk
Kutokana na ugumu wa wanaharakati kujenga mtandao wa kukubalika na kuungwa mkono na makundi yote kwenye jamii huishia tu kushindwa kushika dola
Chama Cha siasa kikitumia wanaharakati hukiondoa kwenye reli ya Kisiasa na kukiweka kwenye reli ya uanaharakati na kukifanya kisikubalike kwenye makundi mengine kwenye jamii kwa kuburuzwa na wanaharakati
Mfano mzuri Ni Chadema kilikuwa chama Cha siasa kizuri tu kilichokuwa kina ushawishi mkubwa na kukubalika na makundi yote katika jamii sababu kilijenga mahusiano rafiki na kukubalika kwa makundi yote zikiwemo taasisi za Dini na vyombo vya habari,dola ,mahakama nk ndio maana kiliweza kila chaguzi kuongeza idadi ya Wabunge na madiwani wakati wanasiasa Kama Mbowe,Slaa na Lowasa waluposhika sukani za ugombea uraisi.Wote tu madhahidi kwa hilo
Ujio wa wanaharakati kushika uogombea wa akina Tundi Lisu umevuruga kila kitu chama kimegeuzwa Cha Kiana harakati mahusiano ya Chadema na makundi mengine ya kijamii
yamesambaratika UKAWA umesbaratika,uhusiano na taasisi za dini imesambaratika, uhusiano mzuri na vyombo vya
Habari imesambaratika, vingine uhusiano na vyombo vya dola imesambaratika ,uhusiano na vyama vingine vya siasa vya ndani na nje ya Nchi imesambaratika, mahusiano na wafadhili wafanyabiashara wakubwa imesambaratika,uhusiano na wafadhili wa ndani na nje umesbaratika
Makundi ya wananchi kukipenda chama kwa dhati na kukigharimia kumesambaratika.Love level ya wananchi kwenye chama kumeshuka kwa kiwango.cha kutisha sababu hawajui ilani ya chama Wala hawajui chama kinasimamia Nini Sababu tatizo la wanaharakati huwa hawana agenda wao husimamia tu matukio yanayojitokeza tofauti na chama !! Raisi akikohoa mfano mkutanoni kwa mwanaharakati kesho hiyo ndio huwa agenda ohh kea nini raisi kakohoa kwenye public alitakiwa asikohoe sisi kama wanaharakati tunapinga kitendo Cha raisi kakohoa hadharani!!!
Wote mashahidi Chadema imegeuka chama Cha uanaharakati kinachoenda na matukio badala ya kuwa na agenda ya kudumu ya kueleweka kwa wananchi
Chadema kimeondolewa kwenye reli ya Kisiasa na wanaharakati na Hivyo kukipotezea mvuto wa ushindi.Kwa maoni yangu hoja ya ufisadi ilitakiwa kuwa agenda Yao ya kudumu ya Kisiasa ya nyakati zote Bila kuyumba lakini wanaharakati wameiyumbisha Chadema kuogeuza kikundi Cha uanaharakati badala ya chama siasa hivyo kukifanya iwe ngumu kwao kushika dola Kama ilivyo kawaida kuwa vigumu kwa wanaharakati kushika dola popote duniani kea kukosa agenda na kuwa watu wa matukio