instagram

  1. Tanzanite Digital Agency

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya ku-tangaza Biashara yako kwa Facebook (sponsered ads) - P.01

    Habari, I hope u mzima wa afya unavyopitia thread hii. na kama hauko poa, i pray urudi katika afya yako mapema. To cut the story short, Leo nitaelezea jinsi ya kutangaza biashara yako kwa Facebook ads (matangazo ya Facebook), kama haufahamu Facebook ads ni nini basi fanya hivi :- Fungua...
  2. C

    JamiiForums Tanzania Instagram promotion restriction problem

    Msaada account ya yangu ya Instagram imekua restricted kufanya promotion Je? Ni vipi naweza kutatua ili tatizo?
  3. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Huduma ya Intanet yarejea Ethiopia baada ya kuzuiwa mwishoni mwa juma

    Shirika linalofuatilia upatikanaji wa huduma ya intanet la NetBlocks limesema huduma ya intaneti kwa majukwaa ya Facebook, WhatsApp na Instagram imerudi nchini Ethiopia baada ya kukosekana mwishoni mwa juma. Taasisi ya Huduma za Habari ya Ethiopia na Kampuni inayomilikiwa na Serikali ya...
  4. Nyumbani Digital

    JamiiForums Tanzania Vitu muhimu zaidi unapaswa kuvifahamu Digital Marketing

    Habari wakuu, Natumai kila mmoja wetu yuko vizuri na tunaendelea kupambana katika ulimwengu wa biashara na ujasiriamali. Mada ya Leo inahusu kitu ambacho kina mchango mkubwa sana katika kuikuza biashara yako mwaka huu 2021. Haijalishi wewe ni mfanyabiashara mdogo, unauzia Insta tu au ni...
  5. Tz boy 4tino

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania African celebrities with most Instagram followers

    MOST FOLLOWED AFRICANS ON INSTAGRAM 2021 1-DAVIDO🇳🇬 20M 2-YEMI ALADE🇳🇬 13.8M 3-DIAMOND PLANTINUNZ🇹🇿 12.2M 4-TIWA SAVAGE🇳🇬12.4M 5-WIZKID🇳🇬12.1M 6-DON JASSY🇳🇬???? 7-TECNO🇳🇬 8.6M 8-OLAMIDE8M 9-SHILOLE🇹🇿 7.6M 10VANESSA MDEE🇹🇿 7.2M...
  6. kjoo255

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ku access instagram na twitter

    Habari ndugu zangu, Mimi natumia internet ya Ofsini kwetu Ethernet/WiFi iliyowekwa na Internet Providers....tatizo ni kwamba huwezi kutumia mtandao wa Instagram na Twitter mpaka uwashe VPN. Naombeni msaada wa kutatua changamoto hii kama naweza kutumia mitandao hiyo bila VPN coz mitandao...
  7. warumi

    JamiiForums Tanzania Fred Vunja Bei na Hamisa Mobetto wadaiwa kumwagana; Fred amu-unfollow Mobetto Instagram

    Wanaodaiwa kuwa Wapenzi, Mwanamitindo na Mwingizaji, Hamisa Mobetto na Mfanyabiashara Fred "Vunja Bei" wanadaiwa kumwagana. Ikumbukwe kuwa Mobetto na Vunjabei hawajawahi kutangaza wazi wazi kuwa wapenzi zaidi ya kupostiana kwenye mitandao wakiitana shemeji na pia kuonekana sehemu kadhaa za...
  8. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Kajala na Harmonize wameachana? Kajala afuta picha za Harmonize Instagram na kumu–unfollow

    Moja kati ya taarifa inayo-trend kwa sasa mitandaoni ni kuhusu msanii wa filamu Kajala Masanja na msanii wa muziki Harmonize ambao inasemekana penzi lao limefika mwisho kutokana na baadhi ya viashiria vya mazingira vilivyojitokeza. Taarifa hiyo imekuja baada ya Kajala Masanja kufuta picha zote...
  9. chief_

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram ilitoweka hewani, yarejea tena (19/03/2021)

    Tupeane updates... Ni makampuni ya Facebook pekee au! Au wamefanya yao 'wazee' ===== Mitandao ya kijamii WhatsApp, Facebook na Instagram yatoweka hewani muda huu. Mtandao wa Facebook ambao ndio mmiliki wa mitandao hiyo hawajatoa taarifa yoyote kwa wateja wao mpaka sasa. ===== Baada ya...
  10. sonofobia

    JamiiForums Tanzania Account yangu ya Instagram imekuwa restricted, siwezi fanya activity yoyote

    Wataalam, nimefungua account ya biashara Instagram kwa ajili ya kupost matangazo yangu. Sasa tangu nifungue nashindwa kufanya baadhi ya activity nachoweza ni kusoma post za watu tu. Nilipofungua account nilianza kupost baadhi ya picha ila nikiweka captions hazionekani na nikirudia bado...
  11. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Facebook kuanzisha mradi wa kufundisha mfumo wake wa ufahamu bandia kwa kutumia video

    Kampuni ya Facebook imesema inaanzisha mradi wa kuifundisha mifumo yake kujifunza picha, video na sauti kutoka katika maudhui yaliyopo katika jukwaa lake. Mradi huo unaoitwa "Kujifunza Kutokana na Video" una lengo la kuufundisha mfumo wa Facebook wa ufahamu bandia (artificial intelligence...
  12. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Instagram Lite rasmi Afrika Mashariki

    Baada ya majaribio kadhaa sasa Facebook imeanzisha Instagram Lite rasmi Afrika Mashariki na takribani mataifa 170. Instagram Lite inakuja kama mtoto anayefuata baada ya Facebook Lite. Instagram Lite itachukua MB2 tu ya nafasi katika simu yako. Kupitia aplikesheni hii mpya utaweza kukomboa DATA...
  13. A

    JamiiForums Tanzania Msaada kuset facebook (Instagram Ads)

    Msaada kuset facebook (Instagram Ads). Kama Una Uzoefu Katika kuset target facebooks ads & Instragram njoo Inbox Tuyajenge.
  14. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Instagram yaanzisha "Live Rooms" sasa unaweza kwenda live na watatu

    Rasmi: Instagram imeanzisha "Live Rooms" sasa unaweza kwenda live na watatu. Kupitia live rooms utaweza kuendesha tukio mubashara huku ukiongeza watu zaidi, jumla ya watu wanne wataweza kuonekana kwa wakati mmoja. Unaweza kuanza na mmoja au zaidi au kubadili wakati ukiwa hewani (Host + 1 or 2...
  15. Sam Gidori

    JamiiForums Tanzania Unaishiwa bando haraka? Fahamu namna ya kudhibiti matumizi yako ya data mtandaoni

    Umeshawahi kuwa mhanga wa kifurushi chako kuisha kabla haujakusudia kiishe? Pengine umekuwa ukilalamika kuwa baadhi ya mitandao inakumalizia data zako, na hii inaweza kusababishwa na kutofahamu kiwango cha data kinachotumika kwa matumizi ya kawaida mtandaoni. Si rahisi kuweka makadirio ya moja...
  16. Kibenje KK

    JamiiForums Tanzania Do you need Social Media manager?

    It is no doubt that SOCIAL MEDIA is fast becoming a part of our everyday day lives. Currently, over 50% of the world's population use social media. With the rapid increase of active social media users, you should figure out that social media is for your brand/business. The big question is...
  17. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Msaada: nawezaje kuzifanya video za Instagram zisiplay zenyewe?

    Habari humu wadau wa jukwaa hili? Aseee naomba kujua Instagram niende wapi ili nikiwa naingia kuangalia video za mule zisiwe zinacheza maana naona bando linakuwa linaisha sana, yani niweke off kama inawezekana tafadhali 🙏
  18. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa kuwa Instagram inalazimisha Wamarekani kufollow page ya Biden bila hiari yao. Je, umaarufu ni lazima?

    Jipya limeibuka wamarekan kulalamika account zao za instagram kufollow account ya Biden bila ruhusa yao. Kwa tafiti zilizofanywa ni kwamba ilikuwa ni aibu kwa Biden kuwa na followers chini ya milioni 1 hivyo uamuzi wa haraka ilibidi ufanyike kuhakikisha kwa namna yoyote ile Biden inabidi apate...
  19. Kweli

    JamiiForums Tanzania Tafadhali jihadhari na tapeli huyu wa Instagram!

    Kuna matapeli maarufu kwenye mtandao wa Instagram, hii account yenye jina la zanzibar_electronics_og ni matapeli ambao ukiangalia utadhani ni wafanyabiashara wakubwa kulingana na followers. Lakini hawa ni matapeli ambao hawana duka physically na wala hawana bidhaa yoyote, wanawaibia watu kwa...
  20. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Instagram yaongeza kipengele cha kuonesha picha ni halisi au imehaririwa

    Mtandao wa kijamii maarufu duniani kwa matumizi ya picha na video Instagram, yaongeza kipengele cha utambuzi picha endapo ni halisi au imehaririwa. Kipengele hiki kinaongezwa kuweka msukumo kwa watumiaji wachanga wa Instagram kuona si kila chenye kuonekana na mvuto ni halisi. Kipengele hiki...
Back
Top Bottom