Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Faustine Ndugulile amesema watafuta tozo zote ambazo zilikuwa zinawabana vijana katika kujiajiri kwa kuendesha YouTube channels au blogs.
Amesema vijana walikuwa wanapata shida kutokana na kodi na tozo zilizowekwa ktk uendeshaji wa blogs na YouTube Channels.
Ameyasema hayo katika Uzinduzi wa Tovuti na Mpango Mkakakati wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia Habari wa miaka mitano 2021/22 hadi 2025/26.
Amesema vijana walikuwa wanapata shida kutokana na kodi na tozo zilizowekwa ktk uendeshaji wa blogs na YouTube Channels.
Ameyasema hayo katika Uzinduzi wa Tovuti na Mpango Mkakakati wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia Habari wa miaka mitano 2021/22 hadi 2025/26.