instagram

  1. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Tatizo la upakiaji maudhui Instagram katika tovuti kupitia kompyuta

    Nakumbana na tatizo wakati wa upakiaji maudhui (Picha/Video) Instagram kupitia kompyuta. Nimetumia mbinu mbalimbali kuweza kutatua na kila jitihada pasi ya mafanikio, nawaza yaweza kuwa tatizo toka Istagram moja kwa moja. Kuna yeyote amekumbana na tatizo hili, Ipo namna ya kulitatua?
  2. U

    JamiiForums Tanzania Post ya Harmonize kuweka rekodi Instagram bongo

    Post ya Harmonize akimtakia heri ya mwaka mpya Diamond Platnumz inaweza kuwa ndiyo post yenye likes na comment nyingi zaidi bongo tangu kuanzishwa kwa Instagram. Mpaka sasa post hiyo ina likes zaidi ya laki na ishirini ikiwa na comment zaidi ya elfu 20 ndani ya masaa 14 tangu ilipo postiwa huku...
  3. True_garden_designers

    JamiiForums Tanzania Kwa mahitaji ya mafundi wazuri wa garden watafute instagram kwa jina la true garden designers au wapigie simu namba 0687239674

    Kama unatafuta mafundi wa garden/bustani nzuri na zakuvutia kwaajili ya majumbani,maofisini,shuleni,hotelini n.k tutafute kwa namba za simu 0687239674,0717580898 WhatsApp/calls popote tunafika Tz kwa Sasa tupo Dar es salaam..na Bei zetu ni nafuu.
  4. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Aliniacha mwenyewe sasa hivi yuko busy kuangalia Akaunti yangu ya Instagram

    Niaje niaje. Moja Kwa moja kwenye mada, niliwahi kuwa na demu mmoja mkali sana, yaani yule manzi alikuwa ni mkali sana katika wanawake niliowahi kuwa nao wote yule demu bado ni namba mmoja .ila ALINIACHA vibaya Sana na Kwa kunionea yaani nilikaa miezi 3 sina appetite ya kula kitu chochote maana...
  5. Pastory Kimaryo

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nisaidieni namna ya ku-skip Instagram story yenye tag ya jina au post

    Habarini, Nikiwa napitia Instagram stories sometimes nakutana na tags na nikitaka ku-skip nashindwa hadi liishe, tafadhali nisaidieni nifanyeje Nawasilisha, Nawategemea.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Ninapoteza muda mwingi Instagram, nifanyeje ili niiache?

    Wakuu salamu, Instagram inanilia muda na kunipa stress bure kwa kuangalia maisha ya wengine. Nimeona ni delete account maana sina namna
  7. Airmanula

    JamiiForums Tanzania Papa Francis apenda picha ya mdada aliyevaa bikini instagram

    Moja ya habari kubwa inayogonga vichwa vya habari hivi sasa ni hii ambapo katika hali ya kushangaza, Ukurasa rasmi wa #Instagram wa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis, Franciscus umependa (ku-like) picha katika ukurasa wa mwanamitindo wa mavazi ya bikini, #NataliaGaribotto...
  8. I AM NO ONE

    JamiiForums Tanzania Tukumbushane maisha kabla ya WhatsApp na Instagram

    Habari wakuu. Hebu tukumbushane maisha kabla ya WhatsApp na Insta ilikuaje kwako. Mi nakumbuka nilikuwa makongo sekondari aise, yaani swagga zetu ilikuwa ni kupendeza kuvaa vizuri; mademu tuliburuza sana aise bila shida yoyote maana hakukuwa na swagga za kuonekana wewe unamiliki simu kali...
  9. Mwanawaadamu

    JamiiForums Tanzania Instagram recovery account

    Wakuu mko njema?, Kuna ambaye anaweza kurecover Instagram account ambayo iko active lakini email imehakiwa?!.
  10. Abdalah Abdulrahman

    JamiiForums Tanzania Kuimarisha mitandao yetu ya kijamii na kuondokana na Utegemezi wa Facebook, WhatsApp na Instagram

    Idadi ya watumiaji wa mitandao ya kijamii Tanzania imeongezeka kwa kasi na kufikia 4.5 Milioni. Idadi hii imegawanyika katika makundi makubwa mawili,Kundi la kwanza ni wale wanaotumia mitandao ya kijamii kwa manufaa bila kuvunja Sheria,na Kundi la pili ni wale wanaotumia mitandao ya kijamii kwa...
  11. S

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa marketing. Je, Bidhaa ipi inayouza sana instagram?

    Nataka kufahamu nikitaka kufanya biashara kwa kutumia Instagram. Je ni bidhaa ipi inayouza sana? Wanasema vitu wanavyopenda wanawake ndio vina wateja sana. Wengine wanasema watu wa maofisini (mashefa) ndio wanunuzi wazuri mitandaoni. Ningependa kujua bidhaa moja (niche) nayoweza kuuza kwa...
  12. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mitandao ya kijamii Tanzania yawa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter, JamiiForums na Telegram zimeguswa - Oktoba 27, 2020

    Najaribu kuingia YouTube lakini inagoma, kama nusu saa iliyopita nilikuwa naipata. Kuna yeyote anapata tatizo kama langu? Natumia Mtandao wa Tigo PIA SOMA = >...
  13. Magazetini

    JamiiForums Tanzania GE2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

    Watumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo. PIA SOMA = > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswa
  14. Almendezz

    JamiiForums Tanzania Kutumia telegram kuongeza followers, likes na comments za INSTAGRAM

    Kwa wale wanaopenda kuboost account zao za instagram kwa personal uses au biashara unaweza kutumia telegram kutimiza lengo lako. Pitia hapa kidogo " Also known as Telegram Pods, Telegram Groups, or Instagram Engagement groups, basically they are a group of people in a chat, created...
  15. warumi

    JamiiForums Tanzania Hushpuppi kabambikiwa kesi kwa sababu ya ushamba pamoja na Mwafrika kuchukiwa akiwa na maisha ya juu

    Sasa wale ma slay queen itakuaje jamen ?, nawaonea huruma akina huddah, tontoh dikeh, bobrisky, vera sidika and the rest, wamekula sana ma millions ya huyu jamaa in Dubai . Ila tuseme tu ukweli wanaijeria wanajua ku hustle bhana, embu imagine wamefanikiwa kuiba more than $100 millions , their...
  16. Breaking bad

    JamiiForums Tanzania Zuchu afikisha followers Million 1 Instagram

    Msanii wa muziki kutoka WCB wasafi, Zuchu amefikisha followers million 1 ndani ya miezi minne tu tangu kutambulishwa rasmi katika label hiyo kubwa Afrika Mashariki na kati. Zuchu pia ana subscribers laki tatu katika account yake ya YouTube ambayo imefikisha viewers million 36 akiwaacha mbali...
  17. Influenza

    JamiiForums Tanzania Shutuma dhidi ya TikTok: Instagram yaona 'Opportunity' yaanzisha App kama TikTok

    Huku uelekeo wa TikTok ukiwa bado haujafahamika, Instagram inatarajia kuchukua baadhi ya mashabiki wa ‘App’ hiyo kupitia ‘App’ yake iitwayo Reels, inayozinduliwa leo katika nchi takriban 50 zikiwemo Uingereza, Marekani, Japan na Australia Kama ilivyo TikTok, Reels inawezesha wadau kutengeneza...
  18. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Social media Constituency

    Ipo haja ya kuanzisha Jimbo la Social Media. Kura zihesabiwe kwa idadi likes, followers etc. Humo kina Steve Nyerere, Pilipili, Kapiga, E.mbasha, Mpoki, Dr. Cheni na Zama ndo wachukue fomu, sio haya Majimbo halisi maana hawawezi.
  19. dunstech

    JamiiForums Tanzania Ifahamu "two-factors authentications" ya Instagram

    Kama wewe ni mtumiaji wa Instagram na hukijui kitu kinaitwa "TWO FACTORS AUNTHETICATION" basi ni vizuri ukasoma hapa. Ni kitu ambacho kiko wazi kwamba Instagram ni moja ya mitandao ya kijamii ambayo inakuwa kwa kasi sana. Ukuaji huu umepelekea wadukuzi wengi kuweka nguvu zao huko kushambulia...
  20. Phlagiey

    JamiiForums Tanzania Polisi wa Dubai jinsi walivyotumia (Operation fox hunt 2) kumnasa tapeli nguli Mnaijeria billionaire wa Instagram mwenye ukwasi wa kusisimua

    Kwa wengi Hushpuppi alionekana kuwa ni mfano halisi wa mtu aliyefanikiwa,mtafutaji aliyezikamata pesa za kutosha na kutokuzionea huruma katika kuzitumia, kwenye akaunti yake ya instagram yenye followers million 2.4 na ikiwa na tiki ya sawati(blue) kumejaa picha za kuvutia za Hushpuppi, akiwa...
Back
Top Bottom