instagram

  1. Mr Chromium

    JamiiForums Tanzania Mbona Instagram inatumia bando kubwa sana?

    Katika msimu huu wa vifurushi bei juu. App zinazokula sana data ni pamoja na instagram Yaani kumaliza GB MOJA NI KUGUSA! Nimejaribu kusette data saver lakin naona kama haisaidii. Je, wewe unafanyaje kupunguza matumizi?
  2. stevhinoz

    JamiiForums Tanzania Wazoefu wa Instagram na Facebook. Ni bidhaa gani zinauzika kwa haraka kwa anaefanya kama winga?

    Naomba mawazo yenu mnaotumia Instagram na Facebook kuuza bidhaa. Kwa winga anaechukua vitu kariakoo ni bidhaa gani rahisi kuuzika ukiweka insta na FB alafu ukaipromote? Tusaidiane uzoefu, keki ni kubwa kila mtu walau apate kipande.
  3. EmmanuelSangeJR

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya ku-unfollow watu wengi kwa pamoja Instagram

    Habari wana jukwaa, samahani naomba kufaham jinsi ya ku-unfollow kwa pàmoja watu niliowafollow instagram maana niwengi nataka nibakishe wachache tu kama sio kuondoa wote kabisa. Binafs nimejarbu kuinstall apps playstore znazosolve ilo swala lakn imeshindkana nahitaj msaada wenu. Asanten
  4. kyagata

    JamiiForums Tanzania Kajala unblocks Harmonize, follows him back on Instagram

    Bongo Movie actress Frida Kajala has raised eyebrows among her 6 million followers after unblocking and even following back her ex-boyfriend Harmonize after months of begging for forgiveness. The Konde Music Worldwide CEO went public asking his fans to convince Kajala to unblock him on...
  5. sky soldier

    JamiiForums Tanzania Status za WhatsApp zimekuwa njia nzuri kwa watu mnaojuana kujuzana, kuburudishana, kuelimishana, n.k. Facebook na Instagram hakuna usiri

    Ni mara chache sana mtu atapost facebook na instagram, inaweza kuwa mara 1 kwa mwezi lakini huku status za whatsapp mtu anaweza kupost kila siku maana hata watu wanaoziona ni wale aliowasevu na anaweza kuwachuja zaidi, pia hata watu watao like ama ku comment ni siri yake sio wazi wazi. Mtu...
  6. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Facebook na Instagram kufichua namna matangazo yanavyowalenga watumiaji

    Kampuni mama ya Facebook Meta imesema itaanza kutoa maelezo hadharani kuhusu namna matangazo watu. Hatua hii imefikiwa ikiwa miezi michache kabla ya uchaguzi wa muhula wa kati nchini Marekeni. Aidha, tangazo hilo linafuatia ukosoaji wa miaka mingi kwamba mitandao hiyo huzuia habari nyingi...
  7. Kurunzi

    JamiiForums Tanzania TRA Kuanza Kuzitoza Kodi, Facebook, Instagram na Whatsapp

    TRA leo wamafanya mazungumzo na wawakikishi wa Mitandao hiyo ya kijamii kuona namna Mitandao hiyo inaweza kulipa kodi kutokana na hiduma wanazotumia wananchi. ===== DARESSALAAM: Timu ya Wataalam wa Kampuni ya meta inayomiliki mitandao ya @facebookapp instagram pamoja na Whatsapp leo 21...
  8. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Urusi: Mahakama yapiga marufuku Facebook na Instagram

    Mahakama mjini Moscow imepiga marufuku shughuli za Instagram na Facebook zinazoonesha "msimamo mkali" nchini Urusi, ripoti zinasema. "Tunalikubali ombi la upande wa mashtaka la kupiga marufuku shughuli za [Instagram na kampuni mama ya Facebook] ya Meta," Jaji Olga Solopova alisema, kwa mujibu...
  9. Countrywide

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natongozwa sana na wadada Instagram

    ....
  10. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tumekutana Instagram, amenitumia nauli niende kisiwa cha Malta tuonane

    Wadau kuna binti tumefahamiana kupitia mtandao wa kijamii Instagram ,ana miaka 17 yupo kisiwa cha Malta, tulianzisha mahusiano kupitia huo mtandao na hatimaye tukabadilishana namba za sim tukawa tunachat WhatsApp na kupigiana video call Ni mwanafunzi wa chuo na wazazi wake ni wafanyabiashara...
  11. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Instagram Stories zimeongezwa kufikia sekunde 60

    Instagram imeongeza muda wa Stories kutoka sekunde 30 na sasa kufikia 60. Kwa sasa watumiaji wa iOS ndio wanaweza kutumia kipengele hiki cha sekunde 60 na hivi karibuni kuwafikia Android.
  12. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Instagram itafuta app ya “Threads for Instagram”

    December mwaka huu, Instagram itafuta app ya “Threads for Instagram” ambayo ilianzishwa tangu Mwaka 2019 ili kushindana na Snapchat. Instagram imesema mwisho wa mwaka huu itafuta app ya Threads katika App Store na Google Play Store; na itakuwa haipatikani kwa watumiaji wote ambao bado...
  13. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Instagram inaweka mfumo wa kuhakiki akaunti mpya ambazo zinafunguliwa

    Instagram inaweka mfumo wa kuhakiki akaunti mpya ambazo zinafunguliwa na akaunti ambazo Algorithm itahisi ni bot au Spam Account. Mfumo mpya utamhitaji mtumiaji mpya kujirekodi video fupi ya Selfie, ambayo inatumwa na kukaguliwa kama anayefungua akaunti ni mtu na sio robot. Instagram itaanza...
  14. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Gauni la Beyoncé limesababisha traffic huko Instagram

    Akiwa na mume wake Jay Z kwa tuzo za Gram.
  15. Mufti kuku The Infinity

    JamiiForums Tanzania Kwa watumiaji wa Mtandao wa Instagram, umeshawahi kukumbana na hili?

    Habarini wana jamvi, Niende moja kwa moja kwenye mada. Nikilog in wanataka niverify kama akaunt ni ya kwangu, kwa hio wanatuma verification code kwenye namba ambayo nishaipotezaga Na hamna option nyingine ya kupata hizo code. Msaada kwa anae fahamu jinsi ya kusolve hilo🙏🏽
  16. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Je, nini kilichoikumba Facebook, Instagram na WhatsApp?

    Tatizo lililo kumba kampuni ya facebook Je, tatizo lilikuwa lipi? Kwa ufupi, mifumo ya facebook ilishindwa kuwasiliana na mtandao duniani. 'Ni kama ambaye kuna mtu aliyeaathiri nyaya za kampuni hiyo katika kituo kikuu cha kutoa data na kuzitengenisha na intaneti' , ilielezea kampuni ya miundo...
  17. N

    JamiiForums Tanzania Gerson Msigwa: Serikali inawasiliana na watoa huduma wa mitandao ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu kukosekana kwa huduma

    Msemaji mkuu wa Serikali Bw. Gerson Msigwa ametoa wito kwa wananchi wote kuwa watulivu wakati serikali inawasiliana na makampuni ya WhatsApp, Facebook na Instagram kuhusu changamoto ya kukosekana kwa huduma ya mawasiliano ya mitandao hiyo. Huduma za mitandao hiyo zilikwama kwa saa kadhaa tarehe...
  18. Kasomi

    JamiiForums Tanzania Mark Zuckerberg atangaza kurudi hewani mitandao yake

    Mkurugenzi mtendaji na mmiliki wa Facebook ametangaza kurudi hewani kwa mitandao hiyo ambayo ni Facebook, WhatsApp, instagram na messenger ambayo inamilikiwa na facebook. Mark Zuckerberg amesema mitandao hiyo imerudi hewani saa moja lililo pita na kuwaomba radhi watumiaji wake kwa kusema anajua...
  19. Kasomi

    JamiiForums Tanzania mark Zuckerberg apata pigo baada ya kuzima kwa Facebook, WhatsApp na Instagram

    Baada ya kukosekana kwa saa kadhaa kwa mitandao ya Facebook, WhatsApp, messanger na Instagram, mkurugenzi Mkuu wa Facebook ambayo ndio inamiliki mitandao tajwa Bwana mark Zuckerberg amepoteza zaidi ya Tshs. Trilioni 13.8 na kupelekea kushuka mpaka nafasi ya 6 ya mtu tajiri duniani akitoka nafasi...
  20. C

    JamiiForums Tanzania Instagram, WhatsApp & Facebook all Down! Worldwide 04/10/2021

    Instagram, WhatsApp & Facebook all Down! Worldwide 04/10/2021 What happened?
Back
Top Bottom