warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,382
Wanaodaiwa kuwa Wapenzi, Mwanamitindo na Mwingizaji, Hamisa Mobetto na Mfanyabiashara Fred "Vunja Bei" wanadaiwa kumwagana.
Ikumbukwe kuwa Mobetto na Vunjabei hawajawahi kutangaza wazi wazi kuwa wapenzi zaidi ya kupostiana kwenye mitandao wakiitana shemeji na pia kuonekana sehemu kadhaa za starehe wakiwa pamoja.
Wataalamu wa umbea wamebaini kuwa Fred amemu-unfollow Mobetto ikiwa ni siku chache baada ya kumpost mtoto wa Mobetto na Majizzo aitwaye Fantasy akisema anampenda sana. Unfollowing hii imegundulika baada ya Fred kupost kwenye akaunti yake ya instagram kuwa "Kosa la kucheat huwa halina dhamana, adhabu yake ni kuachika milele". Ujumbe huu umetafsiriwa kuwa umemlenga Mobetto watu wakienda mbali kuwa atakuwa amecheat.
Ikumbukwe kuwa Mobetto na Vunjabei hawajawahi kutangaza wazi wazi kuwa wapenzi zaidi ya kupostiana kwenye mitandao wakiitana shemeji na pia kuonekana sehemu kadhaa za starehe wakiwa pamoja.
Wataalamu wa umbea wamebaini kuwa Fred amemu-unfollow Mobetto ikiwa ni siku chache baada ya kumpost mtoto wa Mobetto na Majizzo aitwaye Fantasy akisema anampenda sana. Unfollowing hii imegundulika baada ya Fred kupost kwenye akaunti yake ya instagram kuwa "Kosa la kucheat huwa halina dhamana, adhabu yake ni kuachika milele". Ujumbe huu umetafsiriwa kuwa umemlenga Mobetto watu wakienda mbali kuwa atakuwa amecheat.