home

  1. 2 of Amerikaz most wanted

    JamiiForums Tanzania Diddy's Home Was Raided By Homeland Security In Connection With a SEX TRAFFICKING Investigation

    LOS ANGELES - The Los Angeles home of Sean "Diddy" Combs was raided by Homeland Security Investigations Monday in connection with a federal sex trafficking case, authorities said. FOX 11 was first on the scene. The federal raid occurred in LA's lavish Holmby Hills neighborhood and at the music...
  2. UKWAJU WA KITAMBO

    JamiiForums Tanzania Sikiliza baadhi ya kazi za wasanii kutoka Tabora, wanahitaji sapoti yenu

    Habari za wakati huu wadau wa Muziki natumai mmeamka salama. Wapenzi wa Muziki Aina ya Hip Hop nina imani mnaitambua vyema Historia ya Muziki huu, Muziki huu Asili yake ni nchini Marekani, lakini kibongo bongo Muziki huu ulishirika "Hatamu" Miaka 1990 na kuna makundi kibao ya Muziki wa Hip Hop...
  3. Jackcharty

    JamiiForums Tanzania Natafuta marafiki

    Hello dears natafuta marafiki jinsia yoyote kwa ajili ya kubadilishana mawazo,, things about me I'm introvert and extrovert too thank you 😊
  4. D

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza deki ya home theatre aina ya panasonic

    Habari wadau. Deki ipo Dar, faida nyingine ya deki hii ni kwamba inayo amplifaya ndani yake , kwa hiyo unaweza kutumia kama amplifaya na radio kwa wakati mmoja. Bei : 130,000 Mawasiliano : +255621396850
  5. The dumb Professor

    JamiiForums Tanzania Kwa huu mshahara, take home ni shingapi?

    Hello wajuvi nimepewa offer huko private sector naomba mnisaidie calculation ya takehome kwa huu mshahara: 582,000/=. Nadaiwa HESLB.
  6. I

    JamiiForums Tanzania Home theater inasumbua kupoteza twiter nakubakiza bass tu

    Habari za jioni ndugu zangu, naomba msaada mwenye kuelewa hili ninashida na home theater yangu inatatizo lakupoteza sauti nakubaki na bass tu peke yake pindi ntakapoweka sauti kuanzia 16 sauti inakata kabisa mwenye uelewa na hili anisaidie tafadhali. Ni sony home theater watt 1000
  7. Kilimbatz

    JamiiForums Tanzania Al Ahyl kucheza na Simba na Yanga, atakayempiga home and away ndio Kidume wa Soka la Bongo

    Huyu ni Bingwa wa Soka la Afrika, hivyo kama ingekuwa masuala ya kisiasa tungesema huyu ndio Raia namba moja wa Afrika. Sasa hapa Bongo Al Ahyl atakuja mara mbili, ya kwanza kucheza na Simba, na ya pili kucheza dhidi ya Yanga. Al Ahyl kufungwa hapa Bongo siyo jambo geni, alishafungwa na Simba...
  8. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu home boy majuu amebadilisha jinsia na kuwa wa kike

    Mwanangu mmoja wa kitambo sana wa mzizima ambaye tulisoma wote shule.ya msingi forodhani then Azania halafu tukakutana nae tena kibaha sekondari ameni Dm leo X ya kwamba amebadilisha jinsia kisa eti maisha magumu Mwanangu long time ago alizamia south Afrika na now day yupo marekani kwahiyo...
  9. Siri yangu

    JamiiForums Tanzania Utani wa home boy mwenzake

  10. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimechoka kulipia lodge, leo naupeleka mchepuko home ili wife akome kuninyima mbususu

    Nimechoka kulipia lodge, nataka nipeleke mchepuko nyumbani ili wife akome kuninyima mbususu. Wakuu naombeni ushauri! Nina mke lakini amekuwa mtata Sana kwenye kunipa mbususu Hali iliyopelekea nitafute mchepuko. Sasa shida ni hela ndugu zangu,yaani kila ninapotaka kwenda kuuzagabua mchepuko...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga

    Samia kaniponza! Ilibaki kidogo niache unga. Leo baada ya kutoka church niliamua kwenda sokoni kununua mahitaji ya home, nikiwa sokoni katika story za hapa na pale wamama wauza nyanya wakaanza kulalamika ugumu wa maisha na kumtupia lawama Samia. " Yaani kila kitu anapeleka kwao Zanzibar,na...
  12. D

    JamiiForums Tanzania If I die alone at home, how many hours or days will pass until my pet dog, cat or bird eats me?

    My father in-law passed a few years ago. He lived alone with two large dogs. He passed away on his bed which was more like a low cot so the dogs had easy access to him. The neighbors became concerned when the dogs were howling instead of barking. The police eventually broke down the door. He...
  13. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania huwa wana "feel at home" mara tu baada ya kuingia USA?

    Sababu kuu inaweza kuwa nini wadau? how comes mtu upo kwenye "strange land" but still you feel at home. Hata ' home sickness' hakuna! Mimi sababu ninazo zihisi ni 2, mosi ;kwa sababu mhusika anakuwa tayari yupo Marekani kiakili (mentally) kwa muda mrefu so anapo fika Marekani physically...
  14. MSAGA SUMU

    JamiiForums Tanzania Wakazi: Niliwahi kulala kwenye gari miezi miwili baada ya kufukuzwa home

    Wakazi Rapa namba mbili nchini amesema hamna wakati mbaya ambao hawezi kusahau maishani mwake Kama siku alipofukuzwa nyumbani kwao. Amesema hayo alipokuwa akiongea na mtangazaji gwiji Jabir Saleh. " Nilizinguana na mshua nilipomaliza form 4, baba akaniambia niondoke home, kwa hiyo...
  15. bongo dili

    JamiiForums Tanzania Vitu ambavyo havinogi vinapoliwa au kutazamwa ukiwa nyumbani

    1. Mpira hata home kuwe na flat nchi 100 mpira unanoga bar au kwenye vibanda umiza,si ajabu mtu kupaki V8 mtaa wa pili akazama kibandani kutazama Simba na yanga Ile amsha amsha,vuvuzela , makelele ndio utamu wenyewe wa mpira. 2. Bia ukinywea nyumbani ugeuka juice ya miwa, Utamu wa bia bar au...
  16. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania TTCL home Internet Installation Manual

    Habarini wakuu, poleni na majukumu. Moja kwa moja kwenye mada. Ni hivi, Shida yangu ni hii nna imani tuna ma IT gurus wengi kwenye haya maswala humu. Mimi niko mkoa wa X wilayani Y, huku niliko kuna mnara wa TTCL na inatoa huduma. Sasa niliongea nao kuhusu kununua router na kufanyiwa...
  17. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msichana anakuambia kabisa mama anataka akufahamu Jumamosi uje home. Unaenda.Unamkuta mama yake...

    Ndo huyu. Halafu anakuuliza. "Eeenheeeh... Una mpango gani na mwanangu? Maana tujue mapema ninyi vijana siku hizi.... "
  18. Mjegejo Wa Begeju

    JamiiForums Tanzania Dogo namwona hayupo Serious na Maisha kabisa. Nataka nimfukuze Home

    Anaamka asubuhi anajiangalia kwenye kioo. Nimemshangaa sana. Halafu anatumia dk 10 zote akinyoosha nguo. Haya maisha mtu hana kazi anategemea kula kwangu. Anataka apendeze . Ili iweje? Kama vile haitoshi kanaondoka asubuhi hii kanajipulizia na utuli. Nimekwazika sana. Huyu dogo kamaliza Chuo...
  19. NYOLODO

    JamiiForums Tanzania Nauza pazia, mashuka, foronya na taulo

    Habari ya muda huu wakuu. Kwa majina naitwa Mr. Dwelnish ni sehem ya uendeshwaji wa duka letu jipya kabisa kariakoo la Dwelnish linalojihusisha na uuzaji wa mashuka,pazia, foronya, na taulo Kwa sasa. Duka lipo KARIAKOO MTAA WA AGGREY NA SIKUKUU. Uzi huu ni maalum Kwa akili ya kupata Updates na...
  20. Melki Wamatukio

    JamiiForums Tanzania Maalumu kwa watumiaji wa Home Internet (Wi-Fi)

    Habari za muda huu wakuu? Kwa watumiaji wa Home internet (Wi-Fi). Hivi malipo hufanyika kwa mwenendo upi? a) Nilifikiria huenda wana count idadi ya data unazotumia, hivyo unazilipa mwisho wa mwezi. Mfano GB 20 * 2500, hivyo kulipia 50k Au (b) Mnakubaliana kiwango fixed cha malipo bila kujali...
Back
Top Bottom