home

  1. Hharyson

    JamiiForums Tanzania LOOKING FOR BUILDER THAT CAN TURN YOUR BLUEPRINT INTO HOME CALL US +255624004650

    WE DO DESIGN AND BUILD CALL/WHATSAP US +255624004650 OUR OFFICE AT SINZA DAR ES SALAAM
  2. Hharyson

    JamiiForums Tanzania MAKE SURE UNAISHI PAZURI AND WE CAN BUILD A GOOD HOME FOR YOU +255624004650

    WE DO BEST BUILDING DESIGN AND CONSTRUCTION SERVICES CALL/WHATSAP US +255624004650 TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM
  3. Hharyson

    JamiiForums Tanzania IMAGINE HAVING THIS AS YOUR HOME IT HAVE 5BEDROOMS +255624004650

    WE DO BUILDING DESIGN AND CONSTRUCTION CALL /WHATSAP US +255624004650 OFISI ZETU ZIPO SINZA DAR ES SALAAM KARIBU
  4. Hharyson

    JamiiForums Tanzania You need a good home, choose well from design to mjenzi sisi. Tupo kwa ajili ya kuhakikisha you have a good house

    Hata hii gorofa simple haiwezi ikakushinda 3bedrooms (plot size 15x25) Tunapatikana sinza Dar Es Salaam karibu ofisini kwetu tukuhudumie call us 0624004650
  5. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Step into luxury living — where every room tells a story of elegance and design. This 4-bedroom dream home is a perfect blend of comfort and style

    Step into luxury living — where every room tells a story of elegance and design. This 4-bedroom dream home is a perfect blend of comfort, style, and space. call us +255624004650 tunapatikana sinza Dar es salaam
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Go east go west .. Home is best

    Ni vema MAKANDE chakula kikuu cha Wapare yakatambuliwa kana chakula pendwa kiafya cha Taifa la Tanganyika kwa sababu zilizo wazi kabisa kuanzia wepesi wa pishi lake mpaka faida nyingi za kiafya
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa SERIKALI ambaye take home yako ni Tsh 450k , Tsh 500k na kuendelea , SIKIA HII

    WATASHA walisema Maisha ni mipango hili ni sahihi kwa 100%, yawekana tumeshindwa kutoboa kwa kukosa mipango sahihi na kuwa na Nidhamu hafifu ya Fedha. Muda wa kustaafu kwa mtumishi wa umma ni miaka 60 kisheria, lakini kwa hiari ni kuanzia miaka 55 hadi 59. Sasa kwa mtu mwenye umri wa Miaka...
  8. Hharyson

    JamiiForums Tanzania IMAGINE HAVING THESE BEAUTIFUL 4BEDROOM HOUSE AS YOUR HOME +255624004650

  9. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Mention that institution where corruption feels at home.

    Just mention. You don't have to explain.
  10. Valencia_UPV

    JamiiForums Tanzania Vatican city ndio home

    Karibuni Vatican city ndio home 🏠 Maandalizi tayari bado tangazo tu
  11. Upekuzi101

    JamiiForums Tanzania Professor Kabudi hujafanya home work yako vizuri, singeli kweli?

    Ni kweli Tanzania tunahaja ya kujitanabaisha kimuziki na kuwafanya watu wajue utambulisho wa muziki wa Tanzania. Kuna mirindimo inapaswa kuwa utambulisho wa muziki wetu ila kiukweli hapa kwa singeli haujawaza sawa sawa. Mziki inapaswa kutambuliwa ni muziki wenye mirindimo na midundo yenye...
  12. Nyamwage

    JamiiForums Tanzania Wakuu naweza kujiunganisha na huduma ya eSIM mimi mwenyewe nikiwa home au mpaka niwafate vodacom ofisini kwao

    Uzi tayari
  13. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Miaka hio upo home, ni tukio gani mfanyakazi wenu wa ndani alifanya tukio mkabaki kucheka, kuhuzunika au kukusarika?

    😂😂
  14. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania M23 waliamsha tena DRC, Wauteka mji wa Nyabibwe, Jimbo la Kivu Kusini

    Siku mbili baada ya waasi wa M23 kutangaza kusitisha mapigano dhidi ya vikosi vya serikali ya DRC kwa sababu za kibinadamu, kundi hilo limeuteka Mji wa Nyabibwe, Jimbo la Kivu Kusini. Kwa mujibu wa shirika la habari la Reuters, waasi hao wameudhibiti mji huo uliopo kando ya Ziwa Kivu, takriban...
  15. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Hawa wachina wa Home City walifanya nimkumbuke Kaburu wa Game Sup. Mark

    Sikumbuki ile siku ilikuwa siku gani kati ya Jumamosi na Jumapili. Nipo na family mwaka jana mwishoni. Tumeenda fanya shopping vitu vya siku kuu. Tukiwa ndani ukafika muda wa kufunga duka kama sikosei ilikuwa saa 12 jioni. Wahudumu walianza ku harass wateja kuwa either wafanye haraka kununua...
  16. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Home ideas: wall painting

    Kwenye ujenzi wa nyumba hakuna kitu kinakula gharama na kuleta stress karma 'finishing' Leo tutaangazia kipengele cha urembo wa kwenye kuta.. Hapa badala ya kubandika mapichapicha yenye gharama na yanayoweza kuharibika kwa kuchakaa ama kuangushwa basi suluhu nyingine rahisi ni kuchora picha...
  17. LIKUD

    JamiiForums Tanzania Wazazi wengi hawana Home Curriculum ( Mtaala wa Nyumbani)

    1. Wazazi wengi hawana home Curriculum. Wazazi wanapaswa kuwa na mtaala wa Nyumbani maalumu Kwa ajili ya kuwafundisha watoto wao stadi za maisha . 2. Kwa sababu ya kukosa mtaala wa Nyumbani wazazi huwaona watoto Kero Wawapo nyumbani jambo ambalo ni upumbavu WA Hali ya juu sana... Ndio...
  18. vnn

    JamiiForums Tanzania Basic salary 390,000 - mkopo, take home Laki na thelasini, mtumishi wa umma, na bado tunataka huduma bora zenye ufanisi!

    Kuna sehemu nimeiona hii salary slip nimeshangaa sana wazee, Nchi inayoelekea uchumi wa kati, Mwaka huu bado kuna watu wanalipwa hvyo toa mkopo mtu anabaki na laki na theraaini kwa mwezi, na tunataka huduma bora na nchi imeimarika kiuchumi! Hii ni kada gani hapa nchini?
  19. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Bashungwa aendeshaje home affairs, ili hatimaye taifa likae katika Utulivu na amani, wasiwasi uwaondoke Watanznaia

    Mimi binafsi ningemshauri, aifanye polisi isimame kama chombo huru kinachofanya mambo yake kwa mujibu wa kanuni ambazo zipo, na kisiwe chombo ambacho kinapokea maagizo kutoka taasisi zingine za kiusalama mfano tiss kuipa kazi polisi, pengine jukumu lilipaswa kushughulikiwa na tiss wenyewe...
  20. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Watanzania tunateswa na home sickness, tuutumie Utandawazi kutafuta green pastures kwenye Nchi zingine

    Habari za leo Wana forum. Kwanza kabisa naomba nichukue nafasi hii kumchukru na Kumpongeza Mh. Rais Dr Samia Suluhu Hassan kwa jitihada kubwa anazozifanya za kuimarisha maendeleo na diplomasia yetu na mataifa mengine. Naomba ndugu waTZ tujue kwamba kukua kwa diplomasia ni Ajira, heshima pia ni...
Back
Top Bottom