UKWAJU WA KITAMBO
Member
- Feb 6, 2024
- 40
- 50
Habari za wakati huu wadau wa Muziki natumai mmeamka salama.
Wapenzi wa Muziki Aina ya Hip Hop nina imani mnaitambua vyema Historia ya Muziki huu, Muziki huu Asili yake ni nchini Marekani, lakini kibongo bongo Muziki huu ulishirika "Hatamu" Miaka 1990 na kuna makundi kibao ya Muziki wa Hip Hop yalioanzishwa Miaka Hiyo, lakini pia kuna movement kibao pia zilianzishwa na vitu vingine kama hivyo.
Kwa siku ya leo nawaleta kwenu wasanii wanaofanya Muziki wa Hip hop kutoka kijijini cha Kayombo, kijiji kinachopatikana katika wilaya ya Nzega, mkoa wa Tabora.
Wasanii hawa wanafanya Muziki aina ya Hip hop, wamekwishafanya kazi kibao na mastaa kibao ndani ya Bongo, sema bado hawajapata chance ya kutoboa kimuziki.
Wasanii hawa wanafahamika sanaa mtaani kwao; PK, TOLO, Hamisi.
Kuna kazi kadhaa wamefanya ila kuna ngoma ambayo wametumia beat ya producer kutoka studio za Togwe Records, kiukweli wasanii hawa wamefanya kweli.
Wadau naombeni mwenye connection na producer Bin laden kutoka Studio za Tongwe aweze kunisaidia kufikisha ujumbe huu kwa mwamba.
Maana raia wameitendea haki hiyo beat.
Salute
#funguka.
Nichek kupitia hizi namba: 0767542202/ 0784486100
Sikiliza hizi ngoma kama kweli unathamini cha kwetu kutoka kwa real MS's from Kayombo village, Nzega Tabora.
Am out.
Wapenzi wa Muziki Aina ya Hip Hop nina imani mnaitambua vyema Historia ya Muziki huu, Muziki huu Asili yake ni nchini Marekani, lakini kibongo bongo Muziki huu ulishirika "Hatamu" Miaka 1990 na kuna makundi kibao ya Muziki wa Hip Hop yalioanzishwa Miaka Hiyo, lakini pia kuna movement kibao pia zilianzishwa na vitu vingine kama hivyo.
Kwa siku ya leo nawaleta kwenu wasanii wanaofanya Muziki wa Hip hop kutoka kijijini cha Kayombo, kijiji kinachopatikana katika wilaya ya Nzega, mkoa wa Tabora.
Wasanii hawa wanafanya Muziki aina ya Hip hop, wamekwishafanya kazi kibao na mastaa kibao ndani ya Bongo, sema bado hawajapata chance ya kutoboa kimuziki.
Wasanii hawa wanafahamika sanaa mtaani kwao; PK, TOLO, Hamisi.
Kuna kazi kadhaa wamefanya ila kuna ngoma ambayo wametumia beat ya producer kutoka studio za Togwe Records, kiukweli wasanii hawa wamefanya kweli.
Wadau naombeni mwenye connection na producer Bin laden kutoka Studio za Tongwe aweze kunisaidia kufikisha ujumbe huu kwa mwamba.
Maana raia wameitendea haki hiyo beat.
Salute
#funguka.
Nichek kupitia hizi namba: 0767542202/ 0784486100
Sikiliza hizi ngoma kama kweli unathamini cha kwetu kutoka kwa real MS's from Kayombo village, Nzega Tabora.
Am out.