home

  1. M

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Nauza home decor

    Habari Karibu ujipatie shuka Duvet Duvert cover Carpet Pazia kwa bei poa Tupo ubungo Whatsaap 0746374457 Dar delivery ipo ni juu ya mteja #your taste is here
  2. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Tofauti ya Hi- Fi System, Home Theater, Subwoofer na Music System

    Rejea kichwa cha Habari Husika. Mimi ni mdau wa muda mrefu wa Jamii Forums na pia Wa Miaka Lukuki wa MUSIC. kwa kweli nimekuwa na uzoefu wa Music miaka mingi nikiwa nimepata sikiliza music toka katika Radio Mbalimbali ambazo zilikuwa njema nitaje chache. 1. Sony 2. Sharp 3. JVC 4. Panasonic Na...
  3. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Home workout special thread: Uzi maalumu wa Mazoezi unayoweza kufanyia nyumbani

    Salaam Wakuu, Natumai nyote mpo salama. Nimeleta uzi huu kama sehemu ya kujihamasisha mimi na kuwahamasisha wengine kufanya mazoezi Soma: Umuhimu wa kufanya mazoezi Natambau wengi wetu tunatamani kuwa wafanya mazoezi, lakini kwa sababu mbalimbali tumekuwa tunakosa muda kwenda uwanjani au...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Golikipa Beno Kakolanya ni moja kati ya maduka ya Home shopping center (GSM)

    Haina salamu! Moja kwa moja kwenye uzi Hivi benchi la ufundi la timu ya simba linaruhusu vipi hili duka la GSM kuendelea kuidakia timu yetu??!!! Hawa wachezaji tunaowasajili kutokea Yanga si wa kuwamini hata kidogo! Ukiangalia magoli yote mawili ya jana yaliyofungwa na Fiston kaamka mayele...
  5. Moronight walker

    JamiiForums Tanzania Masama home design, Sijaona kampuni ya Kitanzania zahidi ya hii

    Ukienda Instagram andika "Masama home design" ni kampuni ya kitanzania inahisika na kusanifu majengo ya kisasa, ujenzi na interior design, mimi binafsi sijaona bado kampuni Tanzania zaidi ya hii kama ipo Tuzitaje tushindanishe na hii.
  6. Marumeso

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya HIV rapid home test kit yamekatazwa au?

    Matumizi ya HIV Rapid Home Test Kit Yamekatazwa Au? ◇ Maduka mengi ya dawa hawauzi hizi Kit. ◇ Yale maduka machache yanayouza unakuta wanauza kimachalemachale kama vile wanavyofanya wauza bangi au gongo, ukiulizia ni lazma huyo muuzaji aangalie kulia na kushoto mithili ya mtu anayetaka kuvuka...
  7. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada ::Rafiki yangu akiwa Home anapiga show mbovu ila akiwa Away anapiga show kali sana

    Habari ! Ni rafiki yangu na Ni classmate wangu amenishirikisha hili Jambo la kupiga show mbovu home ila akitoka akienda sehemu yoyote anapiga show kali sana!, Mimi kwa upande wangu nimeshindwa kumpa jibu la kueleweka maana sijui , hivyo humu ndani kuna watu wanaelewa Sana hivyo ningeomba kupata...
  8. Acehood

    JamiiForums Tanzania I'm leaving home for the coastline

    "Coastline" by Hollow Coves I'm leaving home for the Coastline. Some place under the sun I feel my heart for the first time Cause now I'm moving on yeah, I'm moving on. And there's a place that I've dreamed of Where I can free my mind. I hear the sounds of the season And lose all, sense of...
  9. K

    JamiiForums Tanzania INAUZWA Steak and cheese sandwitch for party, home and work meetings.

    Karibu ujipatie sandwich tamu kabisa kwa ajili ya nyumbani, sherehe, harusi na kazini. Tunachukua orders ya mapishi pia kwa ajili ya snacks za aina zote.
  10. VMWare-Oracle

    JamiiForums Tanzania Hisense VS Home Tech

    Habarini wanajamvi! Nilikuwa naomba kujulishwa aina gani ya TV ni bora zaidi kati ya hizo tajwa. Nilikuwa nahitaji TV 43",Hisense nimeambiwa 800,000/=tshs.,Home tech nimeambiwa 680,000/= dukani. Kulingana na bei Hisense ipo juu je vipi kuhusu ubora?Mimi sijui ila Hisense inaweza kuwa bei ila...
  11. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Wapenzi wa Muziki Mzuri: Home Theatre ya Sony vs Soundbar ya Hisense

    Wakuu Mambo. Nataka kununua kati ya Home Theater ya Sony DAV TZ 140 5.1 au Sound Bar ya Hisense HS 281 2.1 Zote mbili bei zinafanana approximately Tsh 450,000/= kila moja. Sony Home Theatre hiyo hapo, Wat 320. Nimeona haina Bluetooth connectivity sijui itafaa? Na Hapa chini ni Hisense...
  12. THE BIG SHOW

    JamiiForums Tanzania Chicken coming home to roosting place

    Soon after assassination of president John F Kennedy those days,main stream media zilimuapproach Alhaj Malik Elshabaz a.k.a Malcom X,na kumuuliza kuwa,je nin views zako kutokana na kifo hiki? Alhaj Malik Elshabaz akawajibu very shortly kuwa his death is like now 'Chicken are coming home to...
  13. Mtu Asiyejulikana

    JamiiForums Tanzania Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani

    Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani. kwa wale ambao tunapenda music..... je kati ya hivi vitu ni kipi ni bora ? tuweze saidiana kama mtu anataka kununua music system ninunue kipi katika ya hivyo.
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Job Opportunities at Tanzania Home Economics Association

    Background Tanzania Home Economics Association (TAHEA) is a national professional organization of nutritionist, home economics, agriculturists and other related social science professions. TAHEA envisions ‘A democratic society with better living Conditions’; with the Mission to improve the...
  15. mdukuzi

    JamiiForums Tanzania The lights are on but no body at home

    Maisha yalivyo magumu hivi unafika nyumbani unakuta the lights are on but no body at home,sina maana hiyo
  16. Pabloz

    JamiiForums Tanzania HOME OR AWAY?

    Legends is this home or away match?
  17. buffalo44

    JamiiForums Tanzania TTCL fiber na Voda Supakasi ipi yafaa kwa matumizi ya home intaneti?

    Wakuu habari zenu. Natumai mu wazima. Kutokana na mabando kuwa juu, niliamua kwenda maduka ya TTCL na Voda shop kuangalia home internet. TTCL walinipa hii details. Kulingana na matumizi yangu nilipenda hicho cha 55k. Lakini sijajua wakoje kihuduma plus kununua DSL modem. Nikaamua kucheki...
  18. M

    JamiiForums Tanzania KWA MWENDO HUU: Tutegemee Home Shopping Centre kurudi - kazi (iliyositishwa) iendelee!

    Upigaji kwa kwenda mbele!! Mazingira ya upigaji yanaandaliwa, watu muhimu kukaa vitengo vya kimkakati!! Viwanja vya wazi pole yao!! Wenye macho hawaambiwi tazama! Namhurumia mama, wakati yeye anasema kazi (zilizokuwa zinafanyika chini ya JPM) iendelee, wenzake wanasema kazi (za kifisadi...
  19. Da'Vinci

    JamiiForums Tanzania Spider-man No way Home Film

    Nimeamini ushabiki ni kitu kibaya sana haina utofauti na urahibu wa madawa na pombe. I'm so soooooooo happy today yaani naumaliza mwaka vizuri Mungu akipenda shukrani za pekee kwake Daisy Skye Mwezi uliopita CEO wa marvel studios alitangaza kwamba wamebadirisha tarehe ya muvi kadhaa kutoka na...
  20. President of China

    JamiiForums Tanzania GSM aka Home Shopping Center (ya bandarini msiyalete kwenye football)

    Miaka ya 2010 hadi 2015 Home Shopping center walikuwa wao ndio TPA. Huwezi kuagiza bidhaa nje kupitia bandarini kama hawajakuruhusu wao. Huu uhuni wa kishamba wanataka kuuleta kwenye football. Wanachotaka kuiweka mfukoni mwao TFF. Pesa zao wazitumie watuachie football yetu. Wanaleta siasa za...
Back
Top Bottom