hii

King Kuok "Mimi" Hii (born 23 December 1969) is a chemist whose fields of research include application of catalysis to organic synthesis. She is the Director of Imperial College London's Centre for Rapid Online Analysis of Reactions (ROAR).

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Swali fikirishi: Utafanyeje ukijikuta kwenye hii hali?

    Simple kabisa... Unaamka asubuhi unakuta nje HAKUPO
  2. K

    Ukiangalia hii picha ya Samia akiwa na Magufuli unaelewa nini?

    Ni kwamba Samia alikua anamuogopa boss wake ama?
  3. Jidu La Mabambasi

    Hii jeuri ya Kagame huko Congo Mashariki inatoka wapi?

    Nimesikiliza interview ya General Kagame akiongelea jinsi anavyoliona tatizo la huko Congo Mashariki. Kiufupi anasema bila kumung'unya maneno kuwa wasipopatana anajitayarisha kwa vita na kwa lolote litakalojitokeza. Tunakumbuka aisema hivyo kuwa atamshughulikia Kikwete mnamo miaka ya nyuma...
  4. Suley2019

    Mnaikumbuka hii kitu balaa la kihindi KUBER? Hainaga baunsa hii 😂😂

    Aisee hii kitu nilikuwa naionaga tu enzi hizo nikachukulia poa. Siku ya kwanza niliila nikameza mate nilijisikia kufa, nilibanwa na haja ndogo na kubwa wakati mmoja. Tangu siku hiyo nilikoma. Kwanza ukinusa wahisi kuzunguzungu. Hadi sasa nikimuona mtu anakula mwili unanisisimka. Hata ukiwa...
  5. W

    Nani anaikumbuka hii movie?

    Nani anaikumbuka hii movie, nadhani ni ya miaka ya 80s au 70s, plot ni kwamba, wanajeshi wa kizungu wana kwenda mkomboa, jamaa mmoja, huyo jamaa ni Mwafrika nadhani ni alikua politician, walipo mkomboa waka mkimbiza kwenye ndege ya kijeshi na wakati wana jaribu kuruka, mmoja wa hao macomando...
  6. M

    Kituko gani alikufanyia mtoto wa mwenyeji wako ulipokuwa ugenini huwezi kukisahau hadi leo hii?

    Mimi nakumbuka siku moja nikiwa ugenini, huyu mtoto wa mwenyeji wangu aliing'ang'ania radio yangu na mwenyeji wangu akaniambia tumsubirie asinzie watamnyang'anya nakumbuka walinipatia radio yangu saa nne usiku toka saa 12 jioni Niliwamindi familia yote ila basi tu hawakujua Weka na wewe cha...
  7. LIKUD

    Tazama video: Kumbe Country Boy ndio mshamba namna hii?

    Raising an African kid who lives in Africa as a " ghetto African American kid" amount to child abuse. This kid is being abused. Country boy ana mnyanyasa mtoto wake. The " nigga wannabe guy" thinks Mikocheni B is the Bronx. Don't be surprised when this fool start to smoke some joint with the...
  8. Fbn

    Rwanda husifiwa kuwa mji mzuri hapo Kigali ila hii sehemu hata siku moja hawatangazi

    Kwa mtu ambaye Rwanda hujafika na jinsi inavyotangazwa unaweza kusema haina kasoro. Kila sehemu duniani kuna kasoro mfano Nairobi-Kibera, Dar-Mwananyamala na n.k Sasa huko Rwanda Kigali
  9. T

    Kinana anashangaa Watanzania kutonufaika na Kiswahili

    Nimeona kwenye kichwa cha habari kwenye gazeti la leo likisema kwamba eti Makamu Mwenyekiti CCM bara anashangaa watanzania kutonufaika na Kiswahili. Huyu akishangaa sijui anamaanisha nini wakati yeye amekuwa kiongozi mkubwa kabisa mwenye kushawishi sera na mipango ya serikali eti Leo na yeye...
  10. Meneja Wa Makampuni

    Nimeota hivi ndoto hii ina maana gani

    Nimeota nimevalishwa pete ya uchumba. Ila kama hainitoshi, inadondoka. Naitafuta naipata navaa tena. Nikijisahau inavulika inadondoka. Naanza kujiuliza mchumba wangu akiniona sina atanichukuliaje.
  11. Raymanu KE

    Wanawake chukueni hii

    Sehemu pekee ambayo unaweza ukamtembelea mwanaume wako na ukatoka salama bila kuguswa popote Ni hospitalini akiwa mgonjwa. Tofauti na hapo, aisee hutotoka mzima mzima😂 Uzi tayari.
  12. Fukua

    Wazalendo uchwara hii ni awamu ya SAMIALOGY na sio MAGUFULIFICATION

    Kazi iendelee. 😂😂😂😂😁😁😁😁 Hii ni tafsiri ya mtoto wa form one mwaka 2022 huko shule NAMTUMBO SAMIALOGY ni sera/tawi la sayansi ya uongozi linalojikita zaidi na utoaji wa haki, huduma bora,maridhiano, utawala wa sheria, uwazi na uwajibikaji,ucha Mungu, uzalendo wa kweli na utoaji wa huduma safi...
  13. B

    Shaka Hamdu Shaka kufanya ziara kwenye maonesho ya Sabasaba leo Julai 6, 2022

    MWENEZI SHAKA HAMDU SHAKA KUFANYA ZIARA KWENYE MAONYESHO YA SABASABA LEO- ASUBUHI HII. Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi na Uenezi Ndugu Shaka Hamdu Shaka Leo Jumatano Julai 06, 2022 kuanzia Majira ya Saa 4 asubuhi hii atatembelea maonyesho ya Kibiashara ya Sabasaba Jijini Dar es...
  14. kali linux

    Nimewatengenezea hii wana cybersecurity

    Hello bosses, Nimekua nashiriki kwenye bug bounty programs na Pentesting lkn nikaja kugundua changamoto kubwa ni vifaa(software tools & scanners) pamoja na poor reporting. Yaan pentesting project nloifanya miezi sita ilopita ilibidi niianze upya kwa sababu tu sikua na report ambayo ni endelevu...
  15. Komeo Lachuma

    Mkitaka kuzaa watoto smart tumieno njia hii. Mtakuja nishukuru baadaye

    Inawezekana kabisa siku hizi kuna watu wengi hawana uelewa mzuri kwa sababu ya aina styles zilizotumika wakati wazazi wao walipokuwa wanafanya mapenzi. Watoto wa siku hizi wengi hawana akili vizuri. Chukulia ile style ya "Kalunguyeye" ... Mtoto atazaliwa anaakili za namna gani? Au mkwezi...
  16. Sky Eclat

    Wahenga mnaikumbuka hii meza ya simu?

    Pembeni ya simu kulikua na pen holder na note book kwa kuchukua messages. Hapo chini ilikaa telephone directory.
  17. T

    Othman Masoud wa ACT Wazalendo amfagilia Hayati Magufuli. Hii ina maana gani?

    Akihojiwa na mwandishi wa BBC kuhusu mchakato wa katiba mpya, mtaalamu huyo wa Sheria ambaye pia ni Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, kupitia ACT Wazalendo amesema kwenye utawala uliopita wa awamu ya 5 chini ya Magufuli tumejifunza kwamba kumbe tukipata mtu jasiri tunaweza kupiga hatua. Na...
  18. GENTAMYCINE

    Niliahidi kuja na 'Exclusives' Saba (7) Saa 3 hii sasa naweka Mambo yote hadharani...

    1. CEO wa Simba SC anatuzuga tu wana Simba SC ila ukweli ni kwamba ana Mahusiano ya 'Kibaiolojia' na Rais ajaye wa Yanga SC Injinia Hersi Said na mara nyingi ndiyo humvujishia Siri zote za Simba SC ambazo ziligeuka kuwa Sumu kwa Mafanikio ya Simba SC kwa Msimu Mzima. 2. Mwekezaji wa Simba SC Mo...
  19. MSAGA SUMU

    Na tambi nazo zimepanda bei, hii nchi sijui tunaenda wapi

    Katika hali ya kushangaza mpaka tambi nazo wamechakachua. Kabla kulikuwa na tambi 450 kwenye pakiti moja Leo nimehasabu nimukuta tambi 410 yaani pungufu ya tambi 40. Watanzania tushtukeni na jitahidi kuhesabu vitu kabla ya matumizi Kama viberiti na tambi.
  20. Samia atosha tukutane2030

    Leo nakupa chimbo wewe kijana uliyechapwa na maisha. Nenda sehemu hii utakuja kufanikiwa

    Habari ndugu zangu! Lengo la Uzi huu si kujisifu, na wala hauna maudhui ya kukashifu harakati za vijana. Usiangalie lugha iliyotumika. Umeomba kazi mara nyingi umekosa? Umezunguka mahali pengi nchini kufanya ujasiriamali bila mafanikio? Umekosa elimu ya kukuwezesha kuingia kwenye soko la ajira...
Back
Top Bottom