Samatime Magari
Senior Member
- Feb 10, 2017
- 103
- 387
Hii Laki Tano na Nusu ni kwa Pesa ya Mama Samia + usafiri kikipanda meli mpaka bandarini nauli kinalipa $1500 kama Million Tatu na Nusu, Yani nauli ni mara sita ya gharama halisi ya msafiri mwenyewe, kama ni wasee wa ku import manzi unaweza amua kukomaa na mshindi tu...
.
Kikifika hapo Bandarini Tiarehei Kodi unawapa Million kama nne na Nusu + ukiweka na Habari za bandari, plate number na clearing kama Laki sita na Nusu, Mpaka sasa total cost ni Milioni nane kama na laki saba hivi.. . Insurance unapiga kimya tu no need au unakata ya bajaji..
.
.
Baada ya hapa unaingia barabarani, unapiga na American tinted moja safi na Hapa unaanza kula maisha, we ni kumwaga oil tu na kubembelezana na gari yako. Baada kama ya miaka 4 au 5 ndo ki passo kinaweza anza kuleta mauza uza Kikileta mauza mauza unampa mtu mwingine..
.
Mtu mwingine inakua gari yake mpya, anaipiga major service kinarudi barabarani Kinaendeleza ujenzi wa nchi vizuri kabisa, maana hapo kuna chain kubwa kwenye magari, Mfano kuna mafuta, fundi, spare, muosha gari, parking, msafisha taa, mjaza upepo nk..
.
.
Kama huna mambo mengi haka kandinga kako poa tu kuanzia maisha, Tena kama mshahara wako haukutani, unaishia katikati ya mwezi kinakufaa sana, Achana na maneno ya watu kwanza Mafuta hata baby care kinatumia, engine oil hata korie safi tu, Oil filters unaweza osha ukaanika ukatumia tena, unataka nini tena..
.
Kikila mzinga hauhitaji brake down, unasukuma mwenyewe tu na ndugu zako, Hata kama we ni mzee wa Mizigo midi size, hapa space inakutosha kabisa. Unajua ukitaka gari usiangalie watu watakuona vipi/watasemaje au kufata mkumbo angalia uchumi wako + matumizi..
.
.
Unaweza force kukaa kwenye machine kubwa na ukapata sifa kwa jamii Kumbe umefunga ndoa na shetani anayekukula mdogo mdogo daily. Ukija kushtuka umepoteza muda pesa na ustawi wako binafsi, Maisha si mashindano just live your life Mzee dunia bado inakuhitaji..
.
.
Anyway ukitaka Kuagiza machine Japan, UK, Singapore nk njoo, tutakupa ushauri + guidance, Tutahakikisha unafanya maamuzi sahihi usije ita gari lako jini, tupigie au njoo ofisini Posta Mpya Phoeniz House tutaku assist, Pia unaweza tembelea kurasa zetu za jamii @samatimemagari/cardealers kujifunza zaidi kupata guidance ili kufanya maamuzi sahihi..
.
Asante
Samatime
0714547598