Kwa hii Biashara kuna kupata Pesa nyingi?

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
Biashara yoyote lengo ni kupata pesa na kupata pesa mwishowe kuwa tajiri kukua kiuchumi.

Naombeni ushauri wenu. Nataka kufungua biashara ya spares za pikipiki. Je mnadhani naweza anza na mtaji wa chini wa tsh ngapi?

Pia kama kuna mtu kwa hapa Dar anaweza shauri eneo zuri kwa biashara au ushauri mwingine wowote anaweza wasiliana nami hata pm. Natamani kufanya biashara ya spares lakini natamani nianze na mtaji wa kawaida tu ili niweze jifunza pia na kumaster business hiyo.

Niliwahi ingia katika biashara ya zao flani mwaka flani...nlianza na mtaji mkubwa. Nikapata loss ya ajabu sana mpaka leo sijawahi tamani tena fanya biashara hiyo.

Naomba tushauriane please.
 
Kuhusu mtaji wa kuanzia hapo sijajua sina uzoefu nao, ila tafuta eneo ambalo lina muingiliano wa watu nikimaanisha bodaboda zinakuwepo labda kwenye centre ya vijiwe vyao nk. Halafu ukifungua duka la spare tafuta na fundi pikipiki awepo nje ya duka kwa ajili ya kutengeneza, kuziba pancha nk. Hapo utakuwa umewin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Biashara yoyote lengo ni kupata pesa na kupata pesa mwishowe kuwa tajiri kukua kiuchumi.

Naombeni ushauri wenu. Nataka kufungua biashara ya spares za pikipiki. Je mnadhani naweza anza na mtaji wa chini wa tsh ngapi?

Pia kama kuna mtu kwa hapa Dar anaweza shauri eneo zuri kwa biashara au ushauri mwingine wowote anaweza wasiliana nami hata pm. Natamani kufanya biashara ya spares lakini natamani nianze na mtaji wa kawaida tu ili niweze jifunza pia na kumaster business hiyo.

Niliwahi ingia katika biashara ya zao flani mwaka flani...nlianza na mtaji mkubwa. Nikapata loss ya ajabu sana mpaka leo sijawahi tamani tena fanya biashara hiyo.

Naomba tushauriane please.
Kwenye hii dunia hatotokea mtu akusaport kwenye suala LA kiuchumi maana SKU zote binadam ana roho ya wivu hakuna ata kaekubali akupe code za kufanikiwa ilhali yeye ana maisha duni jipambanie wewe mwenyeo
 
Biashara yoyote lengo ni kupata pesa na kupata pesa mwishowe kuwa tajiri kukua kiuchumi.

Naombeni ushauri wenu. Nataka kufungua biashara ya spares za pikipiki. Je mnadhani naweza anza na mtaji wa chini wa tsh ngapi?

Pia kama kuna mtu kwa hapa Dar anaweza shauri eneo zuri kwa biashara au ushauri mwingine wowote anaweza wasiliana nami hata pm. Natamani kufanya biashara ya spares lakini natamani nianze na mtaji wa kawaida tu ili niweze jifunza pia na kumaster business hiyo.

Niliwahi ingia katika biashara ya zao flani mwaka flani...nlianza na mtaji mkubwa. Nikapata loss ya ajabu sana mpaka leo sijawahi tamani tena fanya biashara hiyo.

Naomba tushauriane please.
Mkuu wewe kama una nia ya kufanya biashara wewe fanya maamuzi tu usingoje hadi watu waje kukushauri.
Kuhusu hii biashara kila mahali inalipa maana bodaboda zimesambaa kila mahali hadi vijijini.
Cha msingi tafuta fundi unayemwamini uwe naye kisha yeye ndiye atakayekupa muongozo ni spea zipi zinauzika kwa haraka na pia bei zake atakufahamisha usichelewe sana mtaji utakuja kukuishia ushindwe kutekeleza wazo lako.
 
Biashara yoyote lengo ni kupata pesa na kupata pesa mwishowe kuwa tajiri kukua kiuchumi.

Naombeni ushauri wenu. Nataka kufungua biashara ya spares za pikipiki. Je mnadhani naweza anza na mtaji wa chini wa tsh ngapi?

Pia kama kuna mtu kwa hapa Dar anaweza shauri eneo zuri kwa biashara au ushauri mwingine wowote anaweza wasiliana nami hata pm. Natamani kufanya biashara ya spares lakini natamani nianze na mtaji wa kawaida tu ili niweze jifunza pia na kumaster business hiyo.

Niliwahi ingia katika biashara ya zao flani mwaka flani...nlianza na mtaji mkubwa. Nikapata loss ya ajabu sana mpaka leo sijawahi tamani tena fanya biashara hiyo.

Naomba tushauriane please.
Mtaji kuanzia milioni 6 location sehemu yyt pkpk zinapopatikana kwa wingi.Aina ya spea za kuanza nazo inategemea eneo husika pkpk nyingi Ni zipi.Muhimu uwe na fundi mzuri
 
samahan boss .. nulikua nahitaji kufahamu zaidi kuhusu biashara ya kuuza compyuta pamoja na simu katika duka moja. ila nahitaji kupewa ata mwanga kuhusu iyo biashara katika vipengele vifuatavyo
1. kiasi cha mtaji kinachofaa kuanzia biashara hiyo
2. mkoa au eneo linalofaa kwa hiyo biasahara
3. Eneo la kupata mzigo.
na vitu vingine naomba unielekeze tu nduguydngu kama utakua naufaham kuhusu ilo ndugu
 
Back
Top Bottom