Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,411
- 8,911
Huwa kuna watu hapa Tanzania utafikiri kesho yao wanaijua, yule Mkuu wa Serikali ya Uingereza alimuondoa Boris aliyemkuta lkn hakumsimanga wala kumkejeli na kumdhalilisha kwa kuwa ana power yeye aliingia kazini moja kwa moja, sasa kashindwa anaondoka kwa amani kabisa siajabu Johnson Boris akarudi, hiyo ndiyo high IQ kujua kwamba kuna kesho.
Watawala na wenye Power Tanzania wanafikiri wanaijua kesho yao, wanatukana na kukejeli mpaka marehemu, …
Anaondoka
Siajabu Johnson kurudi hakuna vita wala kudhalilishana
Watawala na wenye Power Tanzania wanafikiri wanaijua kesho yao, wanatukana na kukejeli mpaka marehemu, …
Anaondoka
Siajabu Johnson kurudi hakuna vita wala kudhalilishana