Mimi shabiki wa Yanga ila hii game leo ni very tough sana kuna asilimia chache za Yanga kutoboa. Kwanza inachezwa Kirumba halafu Geita naye ndio kaanza kuipata fomu yake pili Yanga ana game tough mbele ya kimataifa so tutegemee baadhi ya mastaa aidha kutokuanza au kutokujituma kwa kuhofia kuumia.
Tunazo asilimia chacge kutoboa leo. Halafu mkuu leo weekend kama ukitulia mbona unapata odds 1.5+ zenye uhakika mpaka weekend inaisha unakua usha double mtaji wako. Nikuchambulie leo na kesho ila tu nikumbuke kama upo tayari niambie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.