hela

  1. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Hizi ni baadhi ya Mbinu za Kupiga hela na kujenga uchumi

    Katika ulimwengu wa biashara kuna fursa nyingi ambazo mtu aweza kuzitumia ili kupiga hatua maishani.Baadhi ya mbinu hizo ni pamoja na hizi hapa chini: Kuwa reseller wa huduma au bidhaa.Katika eneo hilo unaweza kununua bidha kwa bei ya jumla na kuuza kwa bei ya rejareja kulingana na mtaji.Ila...
  2. Barbarosa

    JamiiForums Tanzania Nina wazo, Serikali ichukuwe hiyo hela kutoka kwa Watalii!

    Nimeona Tanzania inaingiza kama Watalii milioni 1.5, ili kupata hizo milioni 500 tulizonyimwa tuzichukuwe ktk kwa Watalii, ni Dola ~USD 330/Mtalii tunaipata hiyo milioni 500. Ni swala la kutafuta vitu 30 anavyofanya Mtalii hapa kwetu na kumuongezea Dola 10, kwa Muzungu wa first World country...
  3. Influenza

    JamiiForums Tanzania Kigoma: Mganga wa Kienyeji afungwa jela maisha kwa kulawiti mtoto wa miaka 8

    Mahakama ya Wilaya Kigoma Mkoa wa Kigoma imemhukumu mganga wa kienyeji, Venas Edward (48), mkazi wa Ujiji Manispaa ya Kigoma/Ujiji kutumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo...
  4. H

    JamiiForums Tanzania Wellu Sengo: Wanawake wanaopenda wanaume kisa hela wanakosea

    Malkia wa kiwanda Cha bongo movie kwa jina lingine anaitwa "maltida" ambaye pia yupo kwenye tamthiliya ya "Rebecca" inayooneshwa na DSTV amefunguka wakati anafanyiwa mahojiano na millardayo nakusema wanawake wenzake wanaopenda wanaume kwa kuangalia kigezo Cha pesa hawana tofauti na Malaya cos...
  5. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Wanaokopesha hela za moto siku hizi mko wapi?

    Hapo nyuma kulikuwepo wimbi la watu wanakopesha hela kwa riba kubwa hadi 30% kwa mwezi. Pamoja na kwamba riba ilikuwa juu lakini mtu ulikuwa unapata pesa faster unatatulia shida yako maisha yanaendelea. Sasa siku hizi, hizi njemba sizioni kitaa zimepotelea wapi?
  6. Pdidy

    JamiiForums Tanzania NHIF mnapokeaje hela za vyuoni wanafunzi hata picha hawajapiga na wala kadi hawana?

    Kuna watu wanataka kurudisha nyuma maendeleo ya Mh. Magufuli na kwa hili lazima tuwakatae mapema. Baadhi ya vyuo wanafunzi wamelipa hela za NHIF kama bima na mpaka sasa hawajapiga picha wala kupewa kadi za bima wengine inakaribia mwezi wa tano sasa - Ustawi wa Jamii - Mwalimu Nyerere Nani...
  7. S

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kigoma kuna upungufu mkubwa sana wa wanaume, ni rahisi dada kuokota hela Kigoma kuliko kupata mchumba

    Ukimtokea mdada wa Kigoma kwamba umempenda na unataka kumuoa basi ataifanya habari hiyo kuwa siri, kwasababu anaogopa kuhujumiwa. Uhaba huu wa wanaume Kigoma umesababishwa na nini? Kuna nadharia mbili zinatoa majibu ya swali hili:- 1. Watu wa Kigoma wana asili ya utafutaji sana. Hivyo vijana...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kesho Mwanza CHADEMA itaifunika CCM sherehe za uhuru. Wakuu wa chama kuhudhuria

    Kamati kuu ya Chadema kwa kauli moja imeazimia kushiriki katika sherehe za Uhuru zitakazofanyika Mwanza kitaifa.
  9. The Assassin

    JamiiForums Tanzania Trump aitaka Benki ya Dunia kuacha kuipa mkopo China, adai ina hela nyingi na kama haina inazitengeneza

    Rais wa Marekani Bwana Trump ameitaka Benki ya Dunia kusitisha kuipa mikopo China kwa sababu China ina pesa nyingi ambazo inakopesha nchi nyingine, iweje China anakopesha wengine kupitia mradi wake wa Road lnitiative halafu iseme haina hela iende kukopa Benki ya Dunia?
  10. Maleven

    JamiiForums Tanzania Nimetumia hela vibaya, ndugu zangu wanateseka. Moyo unaniuma

    Naandika haya atleast kupunguza majonzi nilionayo moyoni. Mimi ni kijana kutoka familia masikini sana, nimebahatika kupata kazi, nitazungumzia mshahara wa october. Baada ya kupokea 280,000 kama mshahara wangu, nililipa elfu 60 deni lililokopa katikati ya mwezi, kisha nikamtumia mama elfu 10...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kutana na hela za Manyoka, ipo siku kizazi cha ku-plan kitazaliwa. Huwa hakiangaiki

    #tag Kampuni Tamu itakayowafanya watu waelekeee kwenye maisha wanayoyataka Kwa kuondoa (matumizi yasiyo ya lazima katika JAMII.. by Mbeki) #tag mfano watu wanataka Wakala wa shopping mall dharau naleta Wakala wa fremu lakini IPO siku nataka Wakala wa Shopping Malls #tag Sitaki wezi lakini...
  12. Freightliner

    JamiiForums Tanzania Polisi wavamia boda ya Kasumulu - Kyela na kuwapokonya hela wanaobadili pesa

    Imetokea boda ya Tanzania na Malawi ambapo polisi wamevamia na kuwakamata wananchi wanaochenji hela na kuwapokonya na pia kuwapakia kwenye costa na kwenda kuwalaza vituo vya polisi. Vijana waliosalimika ni wale waliokimbilia upande wa Malawi sasa hatujui kosa ni nini hasa ambalo nchi na...
  13. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeombwa hela na mwanafunzi

    Habarini. Kuna jambo limenitokea, linanipa maswali na mshangao kiasi. Ninakaa jirani na shule, jirani sana tu. Ni mtu mzima mimi, 35 yrs. Kwa sasa shule nyingi zipo ktk makambi kwa vidato vya 2 na 4, hii ni mojawapo pia. Jioni ya leo, nikiwa sina hili wala lile nimepumzika tu nasikia hodi...
  14. T

    JamiiForums Tanzania Nauza account ya admob..ina dollar 30 tayarina barua ishafika

    nauza account ya admob ambayo inaverification tayari na ina usd 30.nicheki whatsapp 0744287850
  15. katoto kazuri

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanaume kama huna hela huwezi dumu na mwanamke

    Yaani sio nawadharau ila niukweli. Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao. Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu. Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa...
Back
Top Bottom