Stimulus Package kwa wasanii: napendekeza serikali ikae nao, iwape hela, waandae matangazo kuhusu corona,yaruke hewani,tusiwajali kwenye kampeni tu!

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,640
19,865
Huo ndio ushauri wangu, wasanii, kwa makundi na aina ya sanaa zao, wapewe fedha waandae matangazo, kama ni TV, basi wanaweza kuwa hata kumi kwa tangazo, matangazo yakawa mengi,vituo vya redio na TV na magazeti, serikali ikadondosha kwa hata milioni 500-700

#stimulus package
 
Bora useme ipelekwe kwa wauguzi huko .........kama matangazo wasanii kwa sasa na wao wajitolee tu
 
Nyinyi subirini tu muda wa kampeni uanze ili ccm iendelee kuwatumia kama toilet papers.
 
Huo ndio ushauri wangu, wasanii, kwa makundi na aina ya sanaa zao, wapewe fedha waandae matangazo, kama ni TV, basi wanaweza kuwa hata kumi kwa tangazo, matangazo yakawa mengi,vituo vya redio na TV na magazeti, serikali ikadondosha kwa hata milioni 500-700

#stimulus package
Huo mchakato wa wasanii kulipwa pindi nyimbo zao zitakapo sikika redio umeanzia tokea enzi ya Kikwete anaingia madarakani mpaka anatoka,Magufuli nae anamaliza awamu yake ya kwanza haujulikani umeishia wapi.

Mkombozi wa wasanii ni digital platforms basi kidogo unadunduliza za kukusukuma ukisubiria balaa la Corona liishe ili upige show.
 
Wasanii watoe matangazo ya nini?! Nchi inapumulia mashine mnazungumza wasanii. Hao wadeal na magonjwa nyemelezi kwanza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom