Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 664
- 1,272
Upeo wa viongozi wa Afrika ni mdogo sana wamejitenga na Madaktari wamejitenga na naturalists, unaambiwa asilimia karibia 100 ya wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee kuanzia miaka 70+ kwa huku Afrika ni wachache mnoo almost negligible.
Unaambia mazingira ya kijiografia kiuchumi hayaruhusu viongozi kufanya wanayoyafanya watawaua Raia wao tu hatujui ugonjwa huu utaisha lini.
Unaambia mazingira ya kijiografia kiuchumi hayaruhusu viongozi kufanya wanayoyafanya watawaua Raia wao tu hatujui ugonjwa huu utaisha lini.