Halmashauri zinazokula hela za Watumishi

Halmashauri zinazokula hela za Watumishi

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
15,913
Reaction score
40,718
Dada yangu ni mwalimu huko Tanzania kila siku namsikia akilalamika juu ya Halmashauri zinavyokula hela za WATUMISHI. Inauma Sana.

Uzi huu utumike kuzitaja halmashauri zote zinazotafuna hela za WATUMISHI ili magufuli azione akafanye yake maana kule Kuna majizi pia jicho lake halijawaona.

Hela za likizo
Malimbikizo nk.

Pia elezea namna zinavyoliwa na maofisa ili serikali ijue iwashuhulikie.

Dada yangu kuwa mvumilivu huu uzi utakupa faraja.

Msalimie shemeji Mateo.
 
Ha ha ha bongo noma Sana ufisadi hautaisha eti wanaanza kulipana mabosi wao hawakosagi hela za likizo kila baada ya miaka miwili wait Ni must halafu wanafata wakuu wa shule na hospitali.

hao pia akiwa na likizo kila baada ya miaka miwili lazima walipwe wanaobaki wale walimu na wauguzi hohehahe hawa wanachaguliwa wachache kialfabeti mfano A C J waliobaki mtabeti miaka nenda Rudi.

Daaa noma sana . Dada mshukuru Mungu shemeji ni Askari angalau maisha YANAENDA 🤣🤣🤣🤣
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom