BWANA MISOSI
Member
- Feb 11, 2020
- 39
- 24
wadau naomba kuuliza, mimi nilikuwa nafanya kazi kwenye taasis flani ya private lakini niliacha na kwenda serikalini. Nilikwenda kufuatilia pesa zangu NSSF wakaniambia kama umeacha huwezi kupewa labda ungefukuzwa, nikasema msinipe cash bali mpeleke kwenye mfuko wa serikali PSSSF lakini bado imekuwa ni tatizo. Wanasema sheria ya sasa hairuhusu kufanya hivyo. naomba kupata elimu juu ya ili na je pesa zangu nitazipataje?