IPI FAIDA YANGU, MBONA SIIONI?
Na, Robert Heriel
Nipo nipo, sina hili wa lile, sina lila wala fila. Sina mbele wala nyuma. Nimekuwa mtu wa hivi hivi, Loooh!
Niite Taikon wa Fasihi, nisiye na faida.
Hata nyanya linatumika kwenye kachumbari, tena ni kiungo kizuri cha mboga. Tena lafaa kwa...