faida

Faida Hamdy (Arabic: فادية حمدي‎, born 1966) is a former Tunisian municipal inspector who contributed to the outbreak of the Tunisian revolution.

View More On Wikipedia.org
  1. palahingwe

    JamiiForums Tanzania Msaada wadau, naombeni kujua hasara na faida za "ingredients" zilizopo kwenye maji

    Wadau natakunguliza shukrani kwenu kwa majibu ntakayopata naamini ntakuwa nimejifunza jambo, mfano; TDS 40, CALCIUM 4, MAGNESIUM 12, SULPHATE, CLORIDE na nyinginezo. Naomba kujua kwanini zipo zinawekwa kwenye maji, na zina faida au hasara gani? na zinatengenezwa na nini? Kwenye chupa za maji...
  2. No Escape2

    JamiiForums Tanzania Hivi faida ya "show off" ni nini?

    Kujionesha kwamba una nyumba kubwa! Kujionesha kwamba una ujauzito (Tumbo kubwa!) Kujionesha kwamba na wewe unaitwa baba mtandaoni. Kujionesha kwamba una gari kali. Kujionesha kwamba wewe una Shamba kubwa! Tupia picha za mahindi yako, matikikiti yamejaa shambani huku umenyoosha mikono na...
  3. OLS

    JamiiForums Tanzania Ahadi za faida kubwa, hufanya masikini wengi watapeliwe kirahisi

    Maskini hutapeliwa zaidi na hii ni sababu kubwa, weka laki moja baada ya miezi mitatu utarudishiwa laki tatu Utapeli kimsingi upo tangu enzi na kila mtu anaweza kutapeliwa kwa namna moja au nyingine James Randi alisema, No matter how smart or educated you are, you can easily be deceived. So no...
  4. victor moshi

    JamiiForums Tanzania Dulla Planet wa East Africa akabidhiwa gari kali

    Wakuu pita pita zangu kule Instagram nimekutana na post ya Dulla wa planet bongo akishukuru uongozi wa East Afrca kwa kumkabidhi gari aina ya marcediz benz hii ni baada ya kukitumikia kituo hicho miaka 12. Je, hii ni mbinu mpya East Africa redio wamekujanayo baada yakuuona watangazaji wao wana...
  5. G Sam

    JamiiForums Tanzania Ipi faida ya Mzee Alli Hassan Mwinyi kuwepo Dodoma kama Baba wa Taifa aliyebakia?

    Upo uwezekano kuwa mzee wetu Alli Hassan Mwinyi alipewa uongozi wa nchi bila kuwa na upeo imara wa kiuongozi. Tofauti kabisa na wazee wenzake, huyu amekuwa hata haelewi umuhimu wa uwepo wa katiba Tanzania. Haelewi maana ya uongozi wa katiba katika nchi. Ni aibu kwa mzee kama Mwinyi ambaye...
  6. Chakorii

    JamiiForums Tanzania Biashara ipi inatoa faida ya haraka zaidi kati ya Genge duka na biashara ya chakula?

    Habari za mchana kila mmoja wetu. Poleni na majukumu. Naomba usaidizi wenu wakuu najua huku kuna watu wa namna tofauti,wafanyabiashara wakubwa,wadogo,wakati,waajiriwa na kuendelea. Kuna biashara mbili kati ya hizo 👆juu moja wapo naitamani kufanya lkni sina uzoefu nazo kwa upande faida na...
  7. 2019

    JamiiForums Tanzania Jana nimeona faida ya ukali kazini, hongereni Watumishi wakali kazini

    Kwanza kabisa pongezi kwa mkuu wa nchi kwa kuwa mkali. Kabla ya Rais Magufuli discipline kazini ili 20% kwa sasa imepanda sana tunaweza kukadiria 80%. Ule ujinga wa "unanijua mimi ni nani"? Haupo tena. Mada husika Jana katika Ofisi za Manispaa ya Temeke niliona umuhimu wa Rais Magufuli na...
  8. Wang Shu

    JamiiForums Tanzania Fahamu maua ya Rosela na faida zake

    Rosela ni ni maua yanaoteshwa au kupandwa mazingira ya kawaida haswa nyumbani, maua haya yanapatikana kirahisi katika nyumba za ndugu, jamaa na marafiki na sehemu zinginezo japo kuwa baadhi ya watu huyaita maua damu MATUMIZI YA ROSELA NA FAIDA ZAKE KWA BINADAMU Maua ya rosella utengenezwa...
  9. 2019

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio faida za kutofunga simu(lock)

    Kila mmoja ana mtazamo wake kuhusu kufunga simu au kutofunga hizi hapa ni baadhi ya faida za kutofunga. 1. Faida ya kwanza. Binadamu tunatembelea hatujui hata sek 1 ijayo,unaweza kudondoka ghafla na ikakosa msaada kama umefunga simu yako. Huwezi kuongea wala kugusa kitu. Cha kwanza huwa...
  10. T

    JamiiForums Tanzania GE2020 Faida zitatazotokana na upinzani kumweka Tundu Lissu au Bernard Membe kugombea Urais

    Hata kama hakutatokea Vyama vya Upinzani vikashinda lakini kutakuwa na faida kubwa sana kati ya hawa wawili wakipewa kipaumbele cha kugombea Urais hapa nchini. Kwangu mimi wote wakigombea ni sawa au hata mmoja kati ya hao ni sawa. Ukiacha hao hata Zitto Kabwe pia inagwa sijamtaja ila ana uwezo...
  11. Ze Bulldozer

    JamiiForums Tanzania GE2020 Boniface Budodi atangaza kugombea Ubunge Maswa Magh kwa TLP,atuma salamu kwa Mashimba Ndaki " Nakuja mtumishi wenu nisiye na faida Maswa nipokeeni "

    Hakika TLP kumenoga, Mhe Boniface Budodi atangaza nia ya kugombea Ubunge kupitia TLP, Atuma salamu kwa Mhe Mashimba Ndaki, Awaomba wana Maswa wampokee mtoto wao na mtumishi wao, Awaomba wamuunge mkono Mhe Dk John Pombe Joseph Magufuli kuelekea Oct 2020,
  12. T

    JamiiForums Tanzania Kuna faida gani nchi kuhamia kundi la nchi zenye uchumi wa kati?

    Ninavyojua mimi kuna nchi ambazo hazitaki kuhamia huko kwa sababu ukishakuwa huko unajiondoa kwenye kundi la nchi zinazotakiwa kusaidiwa na kupata misamaha baadhi na unahamia haraka kwenye kundi la nchi zinazokopesheka. Kwa maana hiyo Tanzania imepata sifa ya kuwa nchi ya kupata mikopo zaidi...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ipi faida yangu, mbona siioni?

    IPI FAIDA YANGU, MBONA SIIONI? Na, Robert Heriel Nipo nipo, sina hili wa lile, sina lila wala fila. Sina mbele wala nyuma. Nimekuwa mtu wa hivi hivi, Loooh! Niite Taikon wa Fasihi, nisiye na faida. Hata nyanya linatumika kwenye kachumbari, tena ni kiungo kizuri cha mboga. Tena lafaa kwa...
  14. N

    JamiiForums Tanzania Biashara ya hisa Tanzania, faida inapatikana?

    Nimeshawishiwa ni wekeze kwenye hisa, naambiwa hii ndio future. Wale mliowekeza huko, future mmeisha iona? Je, ni mahala sahihi kuwekeza?
  15. Mzukulu

    JamiiForums Tanzania Kwa jinsi tulivyo na Dreamliners na Bombardiers za kutosha hadi zinabeba Samaki badala ya Abiria, kwa Tanzania nahisi ATCL imepata Faida Kubwa sana

    Shirika la Ndege la Kenya (KQ) limekadiria kupata Hasara ya Dola Milioni 100 katika Kipindi hiki cha janga la CORONA. Kwa jinsi Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) lilivyo na Ndege zake nyingi tu na zikibeba Sato na Sangara wakikaa Vitini nadhani Wamepata Faida. ======== Kenya Airways...
  16. Agrila Farming

    JamiiForums Tanzania Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    PEAT MOSS NI NINI? Peat moss ni udongo maalumu unaotumika kwa ajili ya kuandaa miche hasa kwenye upande wa miche ya mboga mboga na matunda kama vile nyanya,hoho,papai n.k Udongo huu huzalishwa katika nchi za ulaya kama vile Norway,Finland na husambazwa duniani kote ili utumike katika shughuli...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Maana, aina na faida za "Connection"

    "CONNECTION" Nimekosa Kiswahili fasaha labda Watalaamu mtaniambia Kiswahili cha "Connection". " "Connection" hapa namaanisha kupata urahisi kutoka kwa mtu, watu au mazingira ili kuweza kukusaidia wewe na mwisho wa siku ufanikishe kusudi ulilonalo maishani mwako/jambo unalolifanya maishani...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Vyama vya upinzani jifunzeni kutumia unyanyasaji mnaofanyiwa kwa faida yenu - tumieni mahabusu kwa kuhamasisha maelfu kukamatwa dunia yote ione!

    Mara nyingine ili Magufuli na serikali yake waelewe kwamba wanafanya unyanyasaji usiokubalika kwa vyama vya upinzani, inatakiwa vyama vya upinzani waje na namna ya kutumia unyanyasaji huo kwa faida yao wenyewe. Wafuasi wa vyama vya upinzani wanapaswa kuelewa siku zote wale wanaopigania haki zao...
  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Faida za Mafuta ya Mkaratusi

    Mkaratusi ni mti wenye harufu nzuri na unapatikana kila sehemu duniani. Mafuta hukamuliwa kutoka kwenye majani yake na kuweza kutumika kama tiba Hutuliza kikohozi. Hii ni kwa kujichua kwa mafuta kwenye kifua na koo kuondoa dalili zote za kikohozi. Husafisha kifua, kwa vifua vya kubana na kamasi...
  20. President of China

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Faida na hasara za East Africa Community (EAC)

    Ndugu wana JF naomba kiwasilisha. Naomba tujikite kujadili kwa kina faida na hasara za kuungana na kuwa jumuiya ya Afrika mashariki. Kwa historian muungano huu uliwahi kuwepo na ukavunjika kwa sababu kadha wa kadha. Je, zile sababu zilizosababisha kuvunjika kwa Afrika mashariki ya zamani...
Back
Top Bottom