Kila kona ya nchi yetu, watanzania wanafurahia kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na Mheshimiwa Rais Magufuli katika sekta ya elimu ikiwemo kutoa elimu bila malipo kwa shule za msingi na sekondari Mpaka mwezi Februari 2020, serikali iligharamia malipo hayo kwa shilingi trilioni 1.01 ikiwa inatoa...