Hadi wameweka faini kuzalia nyumbani inawezekana kijiji hicho kina zahanati ila mazoea yanafanya watu wasiende zahanati.Jamani inaskitisha, Badala wajitahidi kufahamu kwanini kazalia nyumbani na waangalie namna ya kumsaidia ndio kwanza wamemlima fine.
Je, sababu ikiwa hakuwa na ile pesa ya kujifungilia je?
Serikali inapaswa iwe makini na sera zake!
Kapigwa faini ili asirudie tena kuzalia nyumbani maana anaweza kufa kama ulivyosema.Angekufa je?fain zingine za kijinga.
Aisee....inawezekana kaandika kama anavyotamka!View attachment 1588757
Kama stakabadhi ya ofisi ya serikali Ina makosa ya kiuandishi namna hii, tena kwa lugha ya taifa. Hii inaashiria nini?
Kapigwa faini ili asirudie tena kuzalia nyumbani maana anaweza kufa kama ulivyosema.
Na bado utakuta wanaichagua ccm, wakati mwingine shida nyingi za watanzania ni za kujitakia.Jamani inaskitisha, Badala wajitahidi kufahamu kwanini kazalia nyumbani na waangalie namna ya kumsaidia ndio kwanza wamemlima fine.
Je, sababu ikiwa hakuwa na ile pesa ya kujifungilia je?
Serikali inapaswa iwe makini na sera zake!
Kwamba wangempa kesi ya kutaka kujiua?! Okay....Una uhakika hapo Kijijini zipo huduma za afya zinazotolewa bure kwa wa mama wajawazito?
Labda mhusika alikuwa hn pesa za kulipia ktk zahanati au hospitali.
Kama Ni hivyo wasinge mpiga wangempa kesi ya kutaka kujiua...
Kama wewe hapa unaekosoa, umesoma unachoandika?Kupata ajira sikuhizi ni mpaka uwe na elimu si chini ya darasa la 12. Sasa inamaana domo la mwandiko kuanzia darasa la kwanza huyu walimu wake Hawa kulipia hili tatizo!
Ukiwa huna pesa hutakiwi kuzaaJamani inaskitisha, Badala wajitahidi kufahamu kwanini kazalia nyumbani na waangalie namna ya kumsaidia ndio kwanza wamemlima fine.
Je, sababu ikiwa hakuwa na ile pesa ya kujifungilia je?
Serikali inapaswa iwe makini na sera zake!
Ni Engrish mkuuLabda anajua sana English