Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,191
- 4,104
Leo tarehe 5 Oktoba, katika Kongamano la Kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani lililoandaliwa na CWT, Dodoma, Rais John Pombe Magufuli alipiga simu 'live' na kuongea na washiriki wa kongamano na pia kukanusha kufutwa kwa ualimu wa ngazi ya cheti.
Rais Magufuli amewataka walimu kupuuza taarifa hiyo na kusema kuwa tangazo hilo ni la kipumbavu na kwamba ataendelea kuwa pamoja na walimu wote.
PIA SOMA: Siku ya Mwalimu Duniani: Wizara ya Elimu yafuta rasmi mafunzo ya Ualimu wa shule ya msingi na awali ngazi ya Cheti Tanzania
Rais Magufuli amewataka walimu kupuuza taarifa hiyo na kusema kuwa tangazo hilo ni la kipumbavu na kwamba ataendelea kuwa pamoja na walimu wote.
PIA SOMA: Siku ya Mwalimu Duniani: Wizara ya Elimu yafuta rasmi mafunzo ya Ualimu wa shule ya msingi na awali ngazi ya Cheti Tanzania