Dunia ina mambo ya ajabu sana. Naanza kuamini kuna watu wanaiendesha

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,540
15,178
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.

Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.

Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo tulilopangiwa kufikiri, kutafakari liishe.

Sasa tuwe wakweli. Kwa jinsi magaidi tunavyoaminishwa ni watata nani amewaambia wasikilizie kwanza hadi upepo wa Covid upite. Hizi kumbe huwa ni Sanaa za kimataifa. Hata Boko haram hawasikiki kabisa. Utadhani dunia inatimetable ya nini tusikie na kwa wakati gani.

Hata kwetu Tangu kadudu kalipokuwa imported na kukatimua kwa maombi na baadae shetani kukapenyeza kiaina japo tutakavyekelea mbali kwa dua tena soon.

1: Hakuna habari za kipindupindu, wakati zamani kila mwaka utasikia kuna kambi kwa mnyamani Buguruni.

2: Hakuna wasiojulikana.

3: Ajali za kuua watu wengi kwa mkupua hazipo.

4: Mafisadi na watu wa kutumbuliwa hawaonekani.

5: Mafuriko huko MTO mkondoa Kilosa hayasikiki.

6: Hakuna vita sijui vya wamasai na wakulima.

Najaribu kuwaza ni Mungu anatuepushia matatizo yasibebane au kuna jamaa wanaremoti wanatupangia sisi darasa la nne tusiojua kufikiri vya kufikiri na nini tusikilize kwa wakati gani.
 
Jibu linaweza kuwa rahisi tu kuwa hayo mengine siyo kwamba hayaendelei yanaendelea vizuri ila tu habari kubwa itakuwa ni hbr za corona hizo nyingine hazipati nafasi kubwa kihivyo maana hbr itakayokuwa inauza ni corona tu
Inafikirisha.
Siku hizi Mimi hakuna kitu ninachoangalia kwa makini kama habari. Nyingi huko duniani nimegundua sio habari ni kama vile mind programming tu. Tunaelekezwa

Tupende nini
Tuchukue nini
Tufanye nini
Tusifanye nini
 
Iyo ndo kazi ya mabeberu.kueneza propaganda. zao kufikia malengo yao.wanayotaka maana corona nikama maralia tu.kwetu kufa sio sana.wanaipa promoted ionekane tishio ili tununue chanjo.zao.wapige ela kuusu swala LA vita kupungua wao ndo wanaouza sirahaa sasa wametulia.wapige mchongo wa chajo.
 
Inafikirisha.
Siku hizi Mimi hakuna kitu ninachoangalia kwa makini kama habari. Nyingi huko duniani nimegundua sio habari ni kama vile mind programming tu. Tunaelekezwa

Tupende nini
Tuchukue nini
Tufanye nini
Tusifanye nini
ukiambiwa kuna watu wanaendesha dunia ue unaelewa.wanaamua habari ipi itoke.ipi isitoke.kwangu.EBOLA.ilikuwa tishio kuliko hii coronya.
 
Iyo ndo kazi ya mabeberu.kueneza propaganda. zao kufikia malengo yao.wanayotaka maana corona nikama maralia tu.kwetu kufa sio sana.wanaipa promoted ionekane tishio ili tununue chanjo.zao.wapige ela kuusu swala LA vita kupungua wao ndo wanaouza sirahaa sasa wametulia.wapige mchongo wa chajo.
Hao jamaa sio mazuri, kuna kipindi walituaninisha mwenye ndevu nyingi ni gaidi. Yaani hadi akikukaribia unamskani kanzu uone asijekuwa na RPG ndani.

Cha ajabu leo ndevu nyingi ni fasheni ya tuvulana Mjini. Na wao ndio wameabrain wash pia hao hao madogo waanze kufuga ndevu.

Hata vita vya Serbia propaganda kibao.

Nilisikia historia ya waisrael waliotekwa Entebbe. Wale wazungu wa Israel walimshawishi rais wa Misri amshawishi Idd amin awaachie mateka alafu wao watamfanyia mchongo apewe tuzo ya Nobel ya Amani.

Kama jamaa angekubali Leo KUPITIA wazungu IDD angekuwa yako juu kwa Amani kuliko Nyerere.
Zile media ni viwanda vya propaganda aisee. Vita vya Serbia huko nako ilikuwa ni full media propaganda ukifuatilia
 
Ni ngumu kuwahudumia mabwana wawili kwa wakati mmoja, hao halopigwa sana na Coronavirus ndo hao wanao operate ugaidi huku middle east na kwengineko,
 
Ni ngumu kuwahudumia mabwana wawili kwa wakati mmoja, hao halopigwa sana na Coronavirus ndo hao wanao operate ugaidi huku middle east na kwengineko,
Hapana mi nahisi hili wenda hata BINADAMU hahusiki nalo kabisa.

Ninachoweza fikiria hapa nijuu ya kilicho juu ya binadamu,.

Tunafahamu binadamu alistart hapa katika dunia na akaona kila kitu kipo kama kilivyo.
Mfano wanyama, mimea, milima maji nk je nini kilikuwepo/nyuma ya binadamu?

Tukipata jibu hapa waweza ona tukapata na jawabu la nini chanzo cha haya mambo yote..
 
January mwaka huu Rais wa Nigeria aliwatimua wakuu wa juu kabisa wanne wa Jeshi la Nigeria kutokana na hali ya usalama kuzidi kuzorota kwa sababu ya mashambulizi ya Boko haramu na ujambazi.
Ukiamua kufuatilia habari za Corona peke yake huwezi kuzisikia hizo habari nyingine.
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.

Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.

Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo tulilopangiwa kufikiri, kutafakari liishe.

Sasa tuwe wakweli. Kwa jinsi magaidi tunavyoaminishwa ni watata nani amewaambia wasikilizie kwanza hadi upepo wa Covid upite. Hizi kumbe huwa ni Sanaa za kimataifa. Hata Boko haram hawasikiki kabisa. Utadhani dunia inatimetable ya nini tusikie na kwa wakati gani.

Hata kwetu Tangu kadudu kalipokuwa imported na kukatimua kwa maombi na baadae shetani kukapenyeza kiaina japo tutakavyekelea mbali kwa dua tena soon.

1: Hakuna habari za kipindupindu, wakati zamani kila mwaka utasikia kuna kambi kwa mnyamani Buguruni.

2: Hakuna wasiojulikana.

3: Ajali za kuua watu wengi kwa mkupua hazipo.

4: Mafisadi na watu wa kutumbuliwa hawaonekani.

5: Mafuriko huko MTO mkondoa Kilosa hayasikiki.

6: Hakuna vita sijui vya wamasai na wakulima.

Najaribu kuwaza ni Mungu anatuepushia matatizo yasibebane au kuna jamaa wanaremoti wanatupangia sisi darasa la nne tusiojua kufikiri vya kufikiri na nini tusikilize kwa wakati gani.
 
Habari kubwa zaidi Marekani katika wiki mbili zilizopita ilikuwa ni Janga la baridi Texas lilisobabisha umeme na maji kukatika jimbo lote na vifo vingi.
Ukiamua kufuatilia habari za Corona peke yake huwezi kuzisikia hizo habari nyingine.
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.

Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.

Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo tulilopangiwa kufikiri, kutafakari liishe.

Sasa tuwe wakweli. Kwa jinsi magaidi tunavyoaminishwa ni watata nani amewaambia wasikilizie kwanza hadi upepo wa Covid upite. Hizi kumbe huwa ni Sanaa za kimataifa. Hata Boko haram hawasikiki kabisa. Utadhani dunia inatimetable ya nini tusikie na kwa wakati gani.

Hata kwetu Tangu kadudu kalipokuwa imported na kukatimua kwa maombi na baadae shetani kukapenyeza kiaina japo tutakavyekelea mbali kwa dua tena soon.

1: Hakuna habari za kipindupindu, wakati zamani kila mwaka utasikia kuna kambi kwa mnyamani Buguruni.

2: Hakuna wasiojulikana.

3: Ajali za kuua watu wengi kwa mkupua hazipo.

4: Mafisadi na watu wa kutumbuliwa hawaonekani.

5: Mafuriko huko MTO mkondoa Kilosa hayasikiki.

6: Hakuna vita sijui vya wamasai na wakulima.

Najaribu kuwaza ni Mungu anatuepushia matatizo yasibebane au kuna jamaa wanaremoti wanatupangia sisi darasa la nne tusiojua kufikiri vya kufikiri na nini tusikilize kwa wakati gani.
 
January 6 nchini marekani na dunia kote habari kubwa ilikuwa kuvamiwa na magaidi kwa US Capital Hill wakati bunge likimthibitisha Biden kuwa Rais.
Ukiamua kufuatilia habari za Corona peke yake huwezi kuzisikia hizo habari nyingine.
Haiwezekani ikitokea janga moja mengine yote yanasimama kusubiri utadhani wanaambiana.

Mfano:
Ilupotokea Corona, sijasikia ugaidi, vita vya Syria, sijui Boko haramu wala njaa duniani.

Ilipokuwa anapigwa sadamu ana Osama na Mullar Omari wanasakwa mambo mengine yote hayakusikika hadi hilo tulilopangiwa kufikiri, kutafakari liishe.

Sasa tuwe wakweli. Kwa jinsi magaidi tunavyoaminishwa ni watata nani amewaambia wasikilizie kwanza hadi upepo wa Covid upite. Hizi kumbe huwa ni Sanaa za kimataifa. Hata Boko haram hawasikiki kabisa. Utadhani dunia inatimetable ya nini tusikie na kwa wakati gani.

Hata kwetu Tangu kadudu kalipokuwa imported na kukatimua kwa maombi na baadae shetani kukapenyeza kiaina japo tutakavyekelea mbali kwa dua tena soon.

1: Hakuna habari za kipindupindu, wakati zamani kila mwaka utasikia kuna kambi kwa mnyamani Buguruni.

2: Hakuna wasiojulikana.

3: Ajali za kuua watu wengi kwa mkupua hazipo.

4: Mafisadi na watu wa kutumbuliwa hawaonekani.

5: Mafuriko huko MTO mkondoa Kilosa hayasikiki.

6: Hakuna vita sijui vya wamasai na wakulima.

Najaribu kuwaza ni Mungu anatuepushia matatizo yasibebane au kuna jamaa wanaremoti wanatupangia sisi darasa la nne tusiojua kufikiri vya kufikiri na nini tusikilize kwa wakati gani.
 
Iyo ndo kazi ya mabeberu.kueneza propaganda. zao kufikia malengo yao.wanayotaka maana corona nikama maralia tu.kwetu kufa sio sana.wanaipa promoted ionekane tishio ili tununue chanjo.zao.wapige ela kuusu swala LA vita kupungua wao ndo wanaouza sirahaa sasa wametulia.wapige mchongo wa chajo.
Kama soko la silaha lipo why wasituuzie.Umewaona Jamii iliyostaarabika inapigana hovyo kama mahayawani.Mbona wazungu awapigani hawauani hovyo kama weusi.
Kama ujapata ndugu au jamaa au jirani kapatwa msukosuko wa corona shukuru Mungu
 
Back
Top Bottom