Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,873
Rais wa Benki ya Dunia(WB) David Malpass amesema wamefurahishwa na namna Ghana inavyojizatiti kutoa dozi za chanjo kwa wananchi wake
WB ipo katika hatua za mwisho kuipa Ghana dola Milioni 100 sawa na takriban Tsh. Bilioni 232 ili kununua dozi zaidi za kuwatibu wananchi wake
Awali WB ilijiatiti kutoa msaada wa dola Milioni 230 sawa na takriban Tsh. Bilioni 533.2 iliyohusisha msaada wa kifedha na kitaalamu
WB ipo katika hatua za mwisho kuipa Ghana dola Milioni 100 sawa na takriban Tsh. Bilioni 232 ili kununua dozi zaidi za kuwatibu wananchi wake
Awali WB ilijiatiti kutoa msaada wa dola Milioni 230 sawa na takriban Tsh. Bilioni 533.2 iliyohusisha msaada wa kifedha na kitaalamu