diamond

  1. Mzee Mwanakijiji

    Pendekezo la Kidiplomasia: Diamond Platnumz Apewe Pasi ya Kibalozi (kama hana)

    Na. M. M. Mwanakijiji Naomba kupendekeza kuwa huyu kijana apewe rasmi hati ya kusafiria ya Kibalozi (Diplomatic Passport). Nimekuwa nikifuatilia jinsi anavyoshirikiana na wasanii wengine ndani na nje ya nchi lakini pia jinsi gani anakubalika katika sehemu mbalimbali za Afrika. Nimefuatilia kwa...
  2. hiram

    Diamond Platnumz anajulikana kuliko PEPSI!!!

    Issue ya Diamond Platnumz kuitangaza Pepsi linanifikirisha sana kwamba pepsi na Diamond nani maarufu kiasi cha kumtangaza mwenzake
  3. Slowly

    Video: Maelfu waimba wimbo wa mdogo mdogo, Diamond akitumbuiza kule Guinnea Bissau

    Juzi Diamond Platnumz alikuwa Guinnea Bissau akipiga show , Wimbo wa mdogo mdogo ulipopigwa uwanja wote ulizizima na ikawa shangwe kila Kona chek video, video ni fupi ya dk moja
  4. S

    Unaambiwa Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wa kike

    Fahamu: Diamond Platnumz anaogopa kuoa mapema kwa hofu ya kupoteza mashabiki wake wengi wa kike kwani wapo wanaompigia mahesabu ya kumnasa kimapenzi hivyo akioa mapema haijulikani watakuwa na hali gani! Queen Darleen pia amekiri hilo
  5. pinno

    Diamond/WCB, tuzo za muziki na tatizo la Watanzania kuridhika mapema

    Takribani mwezi au wiki mbili tatu mfululizo, Clouds Fm wamekuwa wakiendesha mjadala redioni unaoangazia mambo kadha wa kadha ya game ya muziki wa Bongo Fleva, tangu kuasisiwa kwake. Mijadala hii, iliyopewa jina la Bongo Fleva Round table, inayofanyika jumamosi kwenye kipindi cha Bongo Fleva...
  6. H

    Clouds mwacheni Diamond

    Hivi karibuni nimeona kwenye baadhi ya vipindi vya Clouds vikirusha madongo na kumpiga majungu Diamond Platnumz. Ushauri wangu: Clouds kama ngoma za Diamond hampigi kuna haja gani ya kumzungumzia kitu gani kinachowafanya mteseke na Diamond. Mbona wasanii wengi tu hampigi ngoma zao lakini...
  7. H

    Mapokezi ya Diamond Sierra Leone

    Kijana yupo kwenye level kubwa Sana tulizoea kuona mapokezi makubwa akiyapata hapa home lakini sasa anayapata hata nje ya nchi.Big up kwa hiyo step kubwa uliyopiga.
  8. aka2030

    Diamond Platinumz punguza uongo na kujikweza, wadanganye hukohuko Insta

    Umeenda kwenye fiesta ya Sierra Leone now unasema show ilikuwa ya peke yako?
  9. H

    Hiki ndio sijapenda kwenye 40 ya mtoto wa Diamond

    Kwanza nampongeza Mondi na Tanasha kupata mtoto iliopekea kufanyika kwa arobaini ya mtoto. Kwa sisi tulioangalia kwenye tv sharehe ilikuwa nzuri kuanzia mapambo na mambo mengine. Jambo ambalo honest sijafurahishwa nalo ni wakati kwenye kipengele cha utunzwaji wa Mondi ambapo Lulu Diva anaenda...
  10. H

    Stanley enow ft diamond my way remix ni noma

    Huu ni wimbo upo kwenye album ya Stanley enow track number 13 ambayo amemshirikisha kijana kutoka Tanzania na msanii mwingine anaitwa Ariel sheney.stanley enow ni msanii mkubwa kutoka nchini Cameroon pamoja na Ariel sheney. Vitu nilivyopenda kwenye wimbo Huu 1.ujumbe Huu wimbo unahusu...
  11. H

    Diamond: Nitakuja na kitabu changu kitakachoelezea maisha yangu

    Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania naseeb Abdul a.k.a baba lao amesema atakuja na kitabu chake kinachoelezea maisha yake binafsi na hii imekuja baada ya mashabiki wake kukuuliza leo kwenye Twitter wanataka kuona msanii wao ana kitabu chake ambacho kinaweza kusaidia watu wengi kujifunza na mondi...
  12. H

    Jux ft Diamond sugua ni fire

    Leo msanii jux ameachia video yake aliyomshirikisha mondi a.k.a baba lao.Hii video unaweza kusema mambo manne creativity, passionity, proactivity and timing 👏👏 Yaani imewakutanisha wakali wa fashion na wametisha ile mbaya.Hii ngoma itampaisha Sana jux kimataifa ni hit song
  13. H

    Diamond awapa tuzo Wizkid na Tiwa Savage

    Leo wakati diamond na crew nzima ya wasafi pamoja na baadhi ya wasanii wakifanya press conference ya kutoa shukrani zao kwa mashabiki kwa kuudhuria kwa wingi Sana pamoja na wadhamini waliosponsor tamasha la wasafi. Diamond ametumia fursa hiyo Kama suprise kwa kuwakabidhi tuzo za heshima Wizkid...
  14. H

    Mbunge wa Segerea ampongeza Diamond kwa show ya Wasafi Festival

    Mwanadada mbunge wa Segerea anaitwa Bonnah K Ladslaus ametoe pongezi za dhati kupitia mtandao wake wa Instagram kwa Diamond kwa kumuita baba lao kwenye show kali aliyofanya Jana kwenye tamasha lake la Wasafi Festival ambalo liliteka Jana jiji la Dar-Es-Salaam.Lakini pia akatoa pongezi kwa namna...
  15. kajengwa makunduch

    Ali Kiba ana cha kujifunza kwa Wizkid na Diamond, sanaa sio uadui

    Mdogo Wangu Ally Kiba acha uzazwa, umoja ni nguvu. Wizkid na mafanikio yote yuko humble na ameweza kuonesha upendo kwa kuimba na Diamond Platnumz lakini wewe unajiona mkubwa kuliko Wizkid. Kaka jishushe ili Mungu akupandishe
  16. muhala.jr

    Hili tamasha la Wasafi nadhani liitwe Diamond Festival na sio Wasafi Festival

    Najaribu kufuatilia show ya Wasafi Festival grand finaly, what I see jamaa bado wana long way to go. Kuna matchup na Fiesta maana hata arrangement yao ni hovyo plus wasanii wao wengi ni wale Old School tu. Sasa sijui wameshindwa kulipa hawa curently artsist!
  17. playboy babu

    Diamond, acha wizi wa nyimbo

    Baba lao ni copy ya ngoma ya Naira Marley inaitwa Soapy go YouTube andika soapy by Naira Marley utaona wizi wa huyo boss wa WANAFKI CLASSIC BABY --------------------- Nyimbo ya Diamond Platnumz Nyimbo ya Naira Marley
  18. Kanungila Karim

    Bora Diamond wa Mbagala kuliko huyu wa Madale

    Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ WANAOUCHEZEA muziki wa Bongo Fleva hawajui historia yake na hawawafahamu waliotoka jasho na damu kuufanya ukubalike na uwe biashara. Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ anayetamba kwa mafanikio anapita kwenye barabara ya kimuziki iliyochongwa na kuwekwa lami kwa...
  19. H

    Diamond umefanya la maana kumchukua Marlaw

    Kama mnakumbuka vizuri Diamond alikutana na Marlaw wakati Marlaw alienda kwenye Tamasha la Wasafi lilofanyika Tabora na kumuomba awe sehemu ya tamasha but hakumpa nafasi lakini kumbe lengo lake Diamond lilikuwa kumpa Marlaw hiyo nafasi Dar-es-Salaam na kweli kwenye Tamasha la Wasafi...
  20. EINSTEIN112

    Ali Kiba, Harmonize wamjibu Diamond kuhusu tamasha la Wasafi Festival

    ALI KIBA ANA MAJIBU YA KIKE, KAMA KUNA UMAFIA ALIFANYIWA NA MOND SI AFUNGUKE??
Back
Top Bottom