Me sijui kusceen shot subiri wataalamu waje watapostUngeweka hiyo comment humu basi mkuu!
Kuna watu watakufa kwa vijiba hapa.
Wewe unabisha wakati Neyo keshasema.Mapokezi yale hayawezi kufunika aliyopata Ali Kiba Iringa. Msiniambie niweke picha kwasababu siyo kila mtu anapenda show off.
Anayekutuma kufanya kazi hii mwambie akufundishe kufanya screenshot kila mara unaleta fakr news ukiambiwa tuwekee ushahidi jibu hujuiMe sijui kusceen shot subiri wataalamu waje watapost
🤣🤣🤣mtamuua Kiba kwa presha jamani muacheni😂😂😂Ali Kiba ana mashabiki wengi na hela nyingi kuliko msanii yeyote Afrika sema tu hapendi show off
Dawa ya Unayasema ni kuomba Daimond kuzuru iringa Kuona. Tuache ubishi, Nassibu ni balaa. Mbeya nako vilevile watu walikuwa wengiMapokezi yale hayawezi kufunika aliyopata Ali Kiba Iringa. Msiniambie niweke picha kwasababu siyo kila mtu anapenda show off.
Kwa kazi hiyo anayofanya? Siku zote tumwona mjini show afanyi Sasa Kenya na Dubai. WCB ulimwengini anafanya show. West Africa ndio kwake. Viti tunaviona. Wewe uliviona wapi? Au ni Kule kujitetea wake Ali kuna eti ajionyeshi... Weee wachana hizo binadamu Lazima kuonyesha ulivyo vyakoAli Kiba ana mashabiki wengi na hela nyingi kuliko msanii yeyote Afrika sema tu hapendi show off
Fake news ipi nimeleta?Anayekutuma kufanya kazi hii mwambie akufundishe kufanya screenshot kila mara unaleta fakr news ukiambiwa tuwekee ushahidi jibu hujui
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya diamond kupost mapokezi aliyopata kigoma msanii legend wa Marekani Neyo na mshindi wa tuzo ya Grammy akakoment nakusema A king period.comment hiyo imewafurahisha watu wengi ikiwemo professor Jay, ecejay na mastaa wengine
acha chuki nawe ufanikiwe alipewa kapewa.Mapokezi yale hayawezi kufunika aliyopata Ali Kiba Iringa. Msiniambie niweke picha kwasababu siyo kila mtu anapenda show off.
Hyo ni sarcastic comment mkuu usipanikiacha chuki nawe ufanikiwe alipewa kapewa.