Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,762
- 4,576
Nimekuwa nikisikia mara kadhaa mijadala ya vijana wakijaribu kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba, nionavyo mimi kwa mahali alipofika Diamond, hakuna msanii wa kulinganisha naye kwa hapa nchini.
Ali Kiba ni msanii mzuri kwamaana ya talent lakini level zake ni akina Harmonize tena asipokuwa serious hata Harmonize anaweza kumkimbiza siku chache zijazo. Sijui anakwama wapi, sijui ni ku panic maana alianza kutoka kabla ya Diamond pengine huenda akifikiri jinsi Diamond alivyokuwa underground wakati fulani alimwomba collabo labda haya yanampa frustration.
Kwanini nasema Kiba hana uwezo wa kujilinganisha na Diamond, nikwamba ukitoka nje ya Afrika Mashariki Kiba hajulikani, lakini nenda nchi yoyote Africa uliza Diamond uone shughuli. Nimefanya tafiti kwenye website kadhaa za Entertainment za Afrika kusini, nimeona zimemtaja Mond mara nyingi sana yaani wanamfuatilia kama vyombo vya huku kwetu vinavyo fuatilia wasanii kama Davido na wengineo.
Kuna siku Diamond alisema yuko tayari kumsaidia Ali Kiba kutoka kama Ali Kiba ataomba msaada, wito wangu kwa Ali ni kujishusha na kuomba Mond akupe msaada ili sauti yako na kipaji chako kivuke mipaka ya Afrika Mashariki na Tanzania iwe na ma giant wa Muziki hata 10 ambao wanatikisa Africa na Dunia. Mambo yakuwaona walio fanikiwa kuwa ni Wajenzi Huru ni mambo ya kipimbi, huu si wakati wa kujitutumua kujiweka katika level ambazo haupo.
Nawasilisha.
Ali Kiba ni msanii mzuri kwamaana ya talent lakini level zake ni akina Harmonize tena asipokuwa serious hata Harmonize anaweza kumkimbiza siku chache zijazo. Sijui anakwama wapi, sijui ni ku panic maana alianza kutoka kabla ya Diamond pengine huenda akifikiri jinsi Diamond alivyokuwa underground wakati fulani alimwomba collabo labda haya yanampa frustration.
Kwanini nasema Kiba hana uwezo wa kujilinganisha na Diamond, nikwamba ukitoka nje ya Afrika Mashariki Kiba hajulikani, lakini nenda nchi yoyote Africa uliza Diamond uone shughuli. Nimefanya tafiti kwenye website kadhaa za Entertainment za Afrika kusini, nimeona zimemtaja Mond mara nyingi sana yaani wanamfuatilia kama vyombo vya huku kwetu vinavyo fuatilia wasanii kama Davido na wengineo.
Kuna siku Diamond alisema yuko tayari kumsaidia Ali Kiba kutoka kama Ali Kiba ataomba msaada, wito wangu kwa Ali ni kujishusha na kuomba Mond akupe msaada ili sauti yako na kipaji chako kivuke mipaka ya Afrika Mashariki na Tanzania iwe na ma giant wa Muziki hata 10 ambao wanatikisa Africa na Dunia. Mambo yakuwaona walio fanikiwa kuwa ni Wajenzi Huru ni mambo ya kipimbi, huu si wakati wa kujitutumua kujiweka katika level ambazo haupo.
Nawasilisha.