Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Kijana wetu Diamond Platnumz a.k.a Michael jackson wa Africa kaanza vzr na mwaka 2020,event kubwa sana ya utoaji tuzo za fifa kwa bara la africa,
Kijana alipofika tu kwenye shughuli nje ya jengo hakuwa tofauti na ronaldo, watu wengi sana viongozi wa fifa na wachezaji maarufu walipanga foleni kupata lau picha ya ukumbusho na huyu msanii wetu maarufu barani.
Show ilianza kwa mchezaji mstaafu maarufu Samuel etoo akiitaja Tanzania nchi yetu wakati akimtambulisha diamond jukwaani
Kiukweli Imekuwa i habari njema kwa mashabiki na wazalenfo wa Tz ila kwa wachache umegeuka kuwa msumari wamoto uliogusa mfupa kama vile msanii H.Baba alivyoonesha wazi hisia zake za chuki.
povu ruksa ila tafakari kidogo tu, Ushajiuliza kuna wasanii wangaipi Africa na mbona hawakuitwa kutumbuiza kwenye tukio kubwa kama hili???? Ndio mujue kuwa Simba ni Baba lao
MAKTABA YA MATUKIO KATIKA PICHA MNATO NA VIDEO
Picha ya pamoja kuanzia kushoto kuja kulia ni. raisi wa Shirikisho la soka duniani, Diamond Platnumz, Katibu wa shirikisho la soka duniani, Raisi wa shirikisho la soka afrika
Watu wazito na wachezaji maarufu waliokuwa wakimuomba picha ya selfie msanii wetu Diamond platnumz, Kupata picha ilikuwa ni ngumukutokana na jopo la watu wengi kumuomba selfie kitu kilichofanya wengine wapige nae wakiwa wengi katika picha moja.
Alieshinda tuzo ya mchezaji bora Africa "Sadio Mane" ambaye anakipiga katika klabu ya liverpool alikuwa akiwa jukwaani akiburudika na burudani inayotolewa na mtumbuizaji kutoka Tanzania kijana wetu Diamond Platnumz
Tamasha: vIongozi wazito wa fifa, mchezaji bora na wachezaji walishindwa kuzuia hisia zao za kupenda burudani iliyotolewa ikabidi wapande stejini ili kumpa kampani kijana wetu
Kijana alipofika tu kwenye shughuli nje ya jengo hakuwa tofauti na ronaldo, watu wengi sana viongozi wa fifa na wachezaji maarufu walipanga foleni kupata lau picha ya ukumbusho na huyu msanii wetu maarufu barani.
Show ilianza kwa mchezaji mstaafu maarufu Samuel etoo akiitaja Tanzania nchi yetu wakati akimtambulisha diamond jukwaani
Kiukweli Imekuwa i habari njema kwa mashabiki na wazalenfo wa Tz ila kwa wachache umegeuka kuwa msumari wamoto uliogusa mfupa kama vile msanii H.Baba alivyoonesha wazi hisia zake za chuki.
povu ruksa ila tafakari kidogo tu, Ushajiuliza kuna wasanii wangaipi Africa na mbona hawakuitwa kutumbuiza kwenye tukio kubwa kama hili???? Ndio mujue kuwa Simba ni Baba lao
MAKTABA YA MATUKIO KATIKA PICHA MNATO NA VIDEO
Picha ya pamoja kuanzia kushoto kuja kulia ni. raisi wa Shirikisho la soka duniani, Diamond Platnumz, Katibu wa shirikisho la soka duniani, Raisi wa shirikisho la soka afrika
Watu wazito na wachezaji maarufu waliokuwa wakimuomba picha ya selfie msanii wetu Diamond platnumz, Kupata picha ilikuwa ni ngumukutokana na jopo la watu wengi kumuomba selfie kitu kilichofanya wengine wapige nae wakiwa wengi katika picha moja.
Alieshinda tuzo ya mchezaji bora Africa "Sadio Mane" ambaye anakipiga katika klabu ya liverpool alikuwa akiwa jukwaani akiburudika na burudani inayotolewa na mtumbuizaji kutoka Tanzania kijana wetu Diamond Platnumz
Tamasha: vIongozi wazito wa fifa, mchezaji bora na wachezaji walishindwa kuzuia hisia zao za kupenda burudani iliyotolewa ikabidi wapande stejini ili kumpa kampani kijana wetu