diamond

  1. Burnaboy

    JamiiForums Tanzania Somo kutoka kwa Davido na Wizkid: Bifu zina mchango gani kwenye kukuza au kuua wasanii?

    Jana nimemsikia presenta mmoja wa radio maarufu akidai kwamba "wasanii wa Nigeria wanaendelea sababu wana UMOJA, hawana ma-bifu". Hata wasanii wanaoheshimika bongo wamekua wakitoa hii hoja. Je, ni kweli wasanii wa Nigeria wana UMOJA? (kwa kuangalia mfano wa Davido na Wizkid).Je, bifu zina faida...
  2. aka2030

    JamiiForums Tanzania Kila anayefanya mahojiano wasafi fm/tv kwanini aulizwe kuhusu Diamond?

    Sijajua ni woga wa watangazaji ama mbinu za kumfanya aendelee Kuwa vinywani Mwa watu?ooh unamuongeleaje diamond? Vipi mchango wa diamond kwenye mziki? Unaonaje anavyowakilisha kimataifa? Waacheni huru wanaohojiwa
  3. YonDu Udonta

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz aweka wazi ratiba yake ya 'show' kwa nusu mwaka 2020

    Hii ni kutoka kwenye ukurasa wake wa Instagram. MY TAKE: Huyu jamaa kwa sasa hivi wamuache asifananishwe na mtu mwingine kabisa. Pia, Watanzania tuungane kumpa support ya kutosha maana anatutangaza kimataifa.
  4. K

    JamiiForums Tanzania Diamond na Harmonize chukueni tahadhari kabla ya maafa

    Ndg zangu amani iwe kwenu! Kwanza sipendi sana kuzungumzia mambo ya wasanii sana maana kwangu mimi mziki ninaoufagilia ni miziki ya zamani. Na wimbo wangu bora kabisa ni wa mzee marehemu Moses fan fan unaoitwa Papa lolo. Lakini kama mtanzania naomba niwape vijana wenzangu hawa tahadhari kwa...
  5. Slowly

    JamiiForums Tanzania Video: Baraka The Prince adai Alli Kiba ni level ya Best Naso na sio Diamond Platnumz

    Baracka the Prince ametamka hayo wakat akihojiwa na kituo fulan, amesema Kwa sasa ni kumkosea heshima Diamond kumfananisha na Ally Kiba , na hvyo Ally Kiba anatakiwa afananishwe na Best naso , video sekunde 38 waweza Ichek
  6. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Diamond kuanzisha Academy ya mpira wa miguu

    Mwanamuziki supa star nchini, Nasib Abdul (Diamond Platnumz) amefunguka kuwa atakutana na mshambuliaji wa zamani wa Barcelona Samweli Etoofu kuanzisha taaluma ya mpira wa miguu nchini. Akiongea jijini Dar es salaam mara baada ya kufika akitokea Misri, Diamond, anayefahamika kama Simba, alisema...
  7. Singida ndio home

    JamiiForums Tanzania Man Water: Ali Kiba hajanilipa, kaenda kurudia nyimbo tulizofanya kwingine

    Man Water ni miongoni mwa ma producer hodari aliewatoa wasanii wengi kama kina 20% ila baada ya kutoelewana 20% akapotea. Katika mahojiano na Azam TV, amesema kuwa kuna nyimbo kadhaa alizofanya na msanii Ali Kiba lakini hawajazirelease kwa sababu hazijalipiwa. Anasema kuwa licha ya kwamba...
  8. H

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz interview with Sports Arena (Exclusive)

    Msanii nguli wa kimataifa diamond platnumz a.k.a baba lao and CEO wa WASAFI MEDIA akihojiwa na sports arena baada ya kurudi kutoka misri kwenye tuzo za CAF mahojiano Kama ifuatavyo Mtangazaji: kwanii una connection nyingi za kufanya show kubwa Diamond:Africa Kuna wasanii wengi Sana na niwazuri...
  9. Singida ndio home

    JamiiForums Tanzania Ni cheche: Diamond atuwakilisha vilivyo katika hafla ya tuzo za FIFA Misri

    Kijana wetu Diamond Platnumz a.k.a Michael jackson wa Africa kaanza vzr na mwaka 2020,event kubwa sana ya utoaji tuzo za fifa kwa bara la africa, Kijana alipofika tu kwenye shughuli nje ya jengo hakuwa tofauti na ronaldo, watu wengi sana viongozi wa fifa na wachezaji maarufu walipanga foleni...
  10. Google Diggers

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ali Kina, Diamond na Harmone

    Ok
  11. joseph1989

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz achaguliwa kutumbuiza katika Tuzo za CAF na Tuzo za Kituo cha Nigeria Sound City

    Diamond ana perform ktk hizi tuzo za CAF kwa mara ya tatu. ---------------------------- Diamond Platnumz aki-perform kwenye CAF
  12. Burnaboy

    JamiiForums Tanzania Diamond sasa ni kubadili mafanikio kuwa hela

    Diamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!! Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi kawazidi wanamiliki ukwasi mkubwa, majumba, ndege binafsi....!!! Sasa kilichobaki ni kubadili...
  13. Babu Kijiwe

    JamiiForums Tanzania Kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba ni kumkosea nidhamu

    Nimekuwa nikisikia mara kadhaa mijadala ya vijana wakijaribu kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba, nionavyo mimi kwa mahali alipofika Diamond, hakuna msanii wa kulinganisha naye kwa hapa nchini. Ali Kiba ni msanii mzuri kwamaana ya talent lakini level zake ni akina Harmonize tena...
  14. USSR

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ampigia simu Diamond akiwa jukwaani, Diamond amuhakikishia ushindi 2020

    Hii imetokea usiku wa kuamkia leo, mkesha wa mwaka mpya wa 2020 baada ya Rais kumpigia simu akiwa jukwaani na kumpongeza Diamond. Diamond amemhakikishia ushindi wa kishindo 2020 kwenye uchaguzi mkuu October. Hii inaitwa double target kwa wale waliopitia courses za strategies kama mimi from...
  15. DissDotCom

    JamiiForums Tanzania Diamond na Harmonize wanatuzuga hawajatengana, show zao zina utata

    HABARI ZA KAZI WAKUU, Napenda kutumia muda huu kujadili kuhusu muziki wetu kwa sasa, mahali ulipotoka na unapoelekea... Awli ya yote tuwapongeze wasanii wetu baadhi wanaopeperusha bendera kimataifa. Wengi najua tunajua habari kubwa zilizotikisa kiburudani katika kufunga mwaka ni kuhusu tamasha...
  16. Maboso

    JamiiForums Tanzania Miaka 10 ya Diamond ni tishio, stage ya kimataifa yashushwa katika viwanja vya Lake Tanganyika

    Katika kuthibitisha kuwa habahatishi kazi zake, Diamond kaweka stage ya hali ya juu kuelekea show yake ya leo.
  17. mludego

    JamiiForums Tanzania Diamond huenda Kigoma kwa nani?

    Huyu jamaa ameenda Kigoma kwa 10 yrs yake kuanzimisha, Hivi huko pia ni asili ya baba yake. My take kama babu yupo hai amchimbe mkwala kuwa kwanza akapatane na mwanae kisha ndio amtambue kama.mjukuu,ila pesa sasa ndio tatizo
  18. H

    JamiiForums Tanzania Msanii wa Marekani Neyo aguswa na mapokezi makubwa ya diamond kigoma nakumpa cheo Cha uking mond

    Baada ya diamond kupost mapokezi aliyopata kigoma msanii legend wa Marekani Neyo na mshindi wa tuzo ya Grammy akakoment nakusema A king period.comment hiyo imewafurahisha watu wengi ikiwemo professor Jay, ecejay na mastaa wengine
  19. gonamwitu

    JamiiForums Tanzania Mrithi wa kiti cha ufalme wa bongofleva hawezi kutoka kwenye mikono ya Ali Kiba wala Diamond Platnumz,

    Ahlan wassalan wana jamvi, baada ya pilika pilika za sikuu ya Christmas hopefully mko poa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mrithi wa kiti cha ufalme wa bongo fleva hatatoka kwenye mikono ya hawa manguli wawili wanaotifuana na kupelekana mchaka mchaka kunako game ya bongofleva...
  20. H

    JamiiForums Tanzania 10 years of Diamond Platnumz

    Kwanza kabisa na mpongeza kwa kufikisha miaka 10 ya mziki wake SI rahisi kuwa on top kwa miaka hiyo yote lakini huyu mwamba kaweza.Haya ni baadhi ya mambo aliyofanya kwenye kipindi chake chote Cha mziki 1.kutengeneza wasanii wakubwa from scratch kupitia label yake ya WCB Kama vile Rayvanny...
Back
Top Bottom