diamond

  1. Singida ndio home

    Man Water: Ali Kiba hajanilipa, kaenda kurudia nyimbo tulizofanya kwingine

    Man Water ni miongoni mwa ma producer hodari aliewatoa wasanii wengi kama kina 20% ila baada ya kutoelewana 20% akapotea. Katika mahojiano na Azam TV, amesema kuwa kuna nyimbo kadhaa alizofanya na msanii Ali Kiba lakini hawajazirelease kwa sababu hazijalipiwa. Anasema kuwa licha ya kwamba...
  2. H

    Diamond Platnumz interview with Sports Arena (Exclusive)

    Msanii nguli wa kimataifa diamond platnumz a.k.a baba lao and CEO wa WASAFI MEDIA akihojiwa na sports arena baada ya kurudi kutoka misri kwenye tuzo za CAF mahojiano Kama ifuatavyo Mtangazaji: kwanii una connection nyingi za kufanya show kubwa Diamond:Africa Kuna wasanii wengi Sana na niwazuri...
  3. Singida ndio home

    Ni cheche: Diamond atuwakilisha vilivyo katika hafla ya tuzo za FIFA Misri

    Kijana wetu Diamond Platnumz a.k.a Michael jackson wa Africa kaanza vzr na mwaka 2020,event kubwa sana ya utoaji tuzo za fifa kwa bara la africa, Kijana alipofika tu kwenye shughuli nje ya jengo hakuwa tofauti na ronaldo, watu wengi sana viongozi wa fifa na wachezaji maarufu walipanga foleni...
  4. Google Diggers

    Ali Kina, Diamond na Harmone

    Ok
  5. joseph1989

    Diamond Platnumz achaguliwa kutumbuiza katika Tuzo za CAF na Tuzo za Kituo cha Nigeria Sound City

    Diamond ana perform ktk hizi tuzo za CAF kwa mara ya tatu. ---------------------------- Diamond Platnumz aki-perform kwenye CAF
  6. Burnaboy

    Diamond sasa ni kubadili mafanikio kuwa hela

    Diamond amefanya vizuri 2019 hakuna ubishi. Amefanya shows za mafanikio na ameangaliwa zaidi kwenye You Tube kuliko msaanii mwingine yeyote Afrika!!! Wasanii wa West na South Afrika ambao Mondi kawazidi wanamiliki ukwasi mkubwa, majumba, ndege binafsi....!!! Sasa kilichobaki ni kubadili...
  7. Babu Kijiwe

    Kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba ni kumkosea nidhamu

    Nimekuwa nikisikia mara kadhaa mijadala ya vijana wakijaribu kumlinganisha Diamond Platnumz na Ali Kiba, nionavyo mimi kwa mahali alipofika Diamond, hakuna msanii wa kulinganisha naye kwa hapa nchini. Ali Kiba ni msanii mzuri kwamaana ya talent lakini level zake ni akina Harmonize tena...
  8. USSR

    Rais Magufuli ampigia simu Diamond akiwa jukwaani, Diamond amuhakikishia ushindi 2020

    Hii imetokea usiku wa kuamkia leo, mkesha wa mwaka mpya wa 2020 baada ya Rais kumpigia simu akiwa jukwaani na kumpongeza Diamond. Diamond amemhakikishia ushindi wa kishindo 2020 kwenye uchaguzi mkuu October. Hii inaitwa double target kwa wale waliopitia courses za strategies kama mimi from...
  9. DissDotCom

    Diamond na Harmonize wanatuzuga hawajatengana, show zao zina utata

    HABARI ZA KAZI WAKUU, Napenda kutumia muda huu kujadili kuhusu muziki wetu kwa sasa, mahali ulipotoka na unapoelekea... Awli ya yote tuwapongeze wasanii wetu baadhi wanaopeperusha bendera kimataifa. Wengi najua tunajua habari kubwa zilizotikisa kiburudani katika kufunga mwaka ni kuhusu tamasha...
  10. Maboso

    Miaka 10 ya Diamond ni tishio, stage ya kimataifa yashushwa katika viwanja vya Lake Tanganyika

    Katika kuthibitisha kuwa habahatishi kazi zake, Diamond kaweka stage ya hali ya juu kuelekea show yake ya leo.
  11. mludego

    Diamond huenda Kigoma kwa nani?

    Huyu jamaa ameenda Kigoma kwa 10 yrs yake kuanzimisha, Hivi huko pia ni asili ya baba yake. My take kama babu yupo hai amchimbe mkwala kuwa kwanza akapatane na mwanae kisha ndio amtambue kama.mjukuu,ila pesa sasa ndio tatizo
  12. H

    Msanii wa Marekani Neyo aguswa na mapokezi makubwa ya diamond kigoma nakumpa cheo Cha uking mond

    Baada ya diamond kupost mapokezi aliyopata kigoma msanii legend wa Marekani Neyo na mshindi wa tuzo ya Grammy akakoment nakusema A king period.comment hiyo imewafurahisha watu wengi ikiwemo professor Jay, ecejay na mastaa wengine
  13. gonamwitu

    Mrithi wa kiti cha ufalme wa bongofleva hawezi kutoka kwenye mikono ya Ali Kiba wala Diamond Platnumz,

    Ahlan wassalan wana jamvi, baada ya pilika pilika za sikuu ya Christmas hopefully mko poa, kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu mrithi wa kiti cha ufalme wa bongo fleva hatatoka kwenye mikono ya hawa manguli wawili wanaotifuana na kupelekana mchaka mchaka kunako game ya bongofleva...
  14. H

    10 years of Diamond Platnumz

    Kwanza kabisa na mpongeza kwa kufikisha miaka 10 ya mziki wake SI rahisi kuwa on top kwa miaka hiyo yote lakini huyu mwamba kaweza.Haya ni baadhi ya mambo aliyofanya kwenye kipindi chake chote Cha mziki 1.kutengeneza wasanii wakubwa from scratch kupitia label yake ya WCB Kama vile Rayvanny...
  15. N

    Shikamoo Alikiba, shikamoo Diamond!

    AliKiba: huyu jamaa ni mwanamuziki mzuri kwakweli. anafanya kazi kivyake na hana shobo za kijingajinga. anatoa nyimbo anapoona inafaa kufanya hivyo. anapondwa kweli humu JF na watu wanaojiita ni magreat thinkers. ukiziangalia sana sababu zenyewe za kupondwa kwake, utagundua kuwa shida ni wivu...
  16. joseph1989

    Diamond platnumz atawala chart za Kenya na Tanzania Boomplay kwa wanamuziki wa TZ.

    Rf
  17. H

    Mtazamo wangu kuhusu Diamond na Dk. Tulia jana Mbeya

    Jana Dk. Tulia Ackson alimpokea Diamond na Rayvanny Mbeya na baadhi ya mashabiki wa CHADEMA kiliwauma na kuuliza kwanini Mbunge wao Sugu asiwe mgeni rasmi badala ya Dk. Tulia Ackson. Kwanza kabisa Dk. Tulia ni fan wa Diamond na hilo lipo wazi na amekuwa akimsapoti Mondi kwenye kazi zake nyingi...
  18. H

    Diamond amesafishiwa Barabara na wanambeya

    Msanii ngwiji wa kimataifa kutoka Tanzania Jana alipata mapokezi makubwa mkoani mbeya ikiwemo kusafishiwa Barabara wakati gari lake linanapita na wanambeya Kama vile ni Raisi na shangwe kubwa wakiimba Simba Simba pamoja na kuimba wimbo baba lao kuanzia mwanzo mpaka mwisho. NB: binafsi...
  19. IAmShedeOne

    Zuio la kupiga nyimbo za Diamond: Ni watangazaji au wamiliki wa vituo husika?

    Kamwene! Binafsi si mfuatiliaji wa visa na mikasa ya wanamuziki hasa `Bongo`. Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia juu juu kuwepo kwa kinachosemekana kuwa 'beef' kati ya msanii Nasibu Abdul Juma maarufu kama Diamond Platnumz na baadhi ya vyombo vya habari nchini. Clouds Media, IPP Media na EFM...
  20. aka2030

    Diamond kuwa mbunifu unaiga mpaka unakera sasa

    Sikupendi aisee kwa hii tabia yako
Back
Top Bottom